Wanaofanya kazi ya kupoteza watu ndani ya "Kitengo" wanapataje kazi hii?

Criminology trait
1.Narcist ni wale Mbwa wanaojijali wao na wako aggressive ukiwapinga kwa chochote.

2.Marchiaveli hawa maadili sifuri na hawana Hisia kabisaa....Faida mbele utu hakuna.

3.Psycopath Hawa hawana huruma Wala uelewa wako Kama mafta ya taa wanalipuka TU wakiona target Yao.

Kiujumla Ni wajomba ambao ndani yao Kuna huzuni ili wawe na Raha lazima watafute wa kumpa huzuni au kumuumiza.
Wachunguze wakishatenda uovu utaona Wana Furaha flani hivi.
#Unaweza ukaeditiwa TU ikawa ndio stable position yako mupya.

Shikamoo
 
Wengi humu ndani hamfahu hili.
Hitmen ni nick name tu, hata ww unaweza kuwa under right condition.

Kwanza wale wote ni askari, huwa hand picked within taasis husika.
Ndani ya taasis kuna vitengo vingi, moja ya kitengo vinavyohusika na hiyo kitu viko classified as paramilitary units or special operation units, within hizi unit kuna specialized skills officer.
Kazi zao hasa ni direct actions, sabotage, kidnapping, dissapearance, political protections, judicial killings ( hizi hufanyika under orders kutoka serikalini )

selection zao hawa huwa recruited kutoka kwenye majeshi mbali mbali mostly commando. Na ni hand picked na viongozi wao ,Na mara chache regular soldiers ambao wana out perform kwenye field yao. The hupewa mafunzo zaid kwenye field husika. Remember si kila anaekuwa selected ana pass mafunzo.

Under goverment protection hawa jamaa wana operate kwa usiri mkubwa in such serikal nyingi duniani zenye vikos kama hivi hukana kuhusika na mambo hayo.

Yes they exist
Sio lazima atoke kwenye majeshi hata mtu ambae ni mhalifu aliebobea anaweza kuwa recruited na ukikamatwa au eneo la tukio ukiacha ushaidi wa kukutia hatiani wakubwa waliokutuma wanakukataa tena wanaweza wakapenyeza mpambe mwingine aje kukumalizia kabisa ili kuficha siri ni mara chache sana wanaweza wakakubali ni mtu wao ikiwa una umuhimu mkubwa sana. Hizi mishe noma sana
 
Sio lazima atoke kwenye majeshi hata mtu ambae ni mhalifu aliebobea anaweza kuwa recruited na ukikamatwa au eneo la tukio ukiacha ushaidi wa kukutia hatiani wakubwa waliokutuma wanakukataa tena wanaweza wakapenyeza mpambe mwingine aje kukumalizia kabisa ili kuficha siri ni mara chache sana wanaweza wakakubali ni mtu wao ikiwa una umuhimu mkubwa sana. Hizi mishe noma sana

Watu wengi hawafaham hili kabisaa. They will be amaized ni urefu gani serikal inaweza kwenda just tu kulinda usalama wa nchi.
 
Umesema ukweli, tofauti na mataifa uliyoyataja huwa wana Idara ndani ya Idara ambayo kazi yake ni kufanya counter check kama yanayofanya na Idara wakati wa operations zake hayana uonevu na yamepata kibali cha mamlaka ya juu kwa masrahi ya Taifa, kimsingi huwa ni kitengo kinacho audit ooerations za idara.Mara nyingi kitengo ndani ya kitengo u operate kati ya Deputy DG na president wa nchi, mfano ni KIDDON ndani ya Mossad. Hapa hakuna. Nafikiri tunahitaji kurekebisha

Sent from my Infinix X693 using JamiiForums mobile app
Tatizo nani atalekebisha sasa suala la kufanya checks and balance hata bunge tu limeshindwa kwa serikali
 
Hiyo ni principle ya Dunia, imempasa mmoja kufa kwa ajili ya Taifa zima. Dunia hu operate hivyo kwa kuwaondoa wanao kwamisha mambo. Kwani ushawahi jiuliza wanajeshi wanagombania nini? Chukulia mfano rais x kachukizana na rais y, then wanao kwenda kugombana/ kuuana ni wengine kabisa.
 
Kwa mwenye kujua, hivi watu wanaofanya hii kazi ya kikatili wanakuwa na sifa gani za kupewa hii kazi ndani ya Kitengo?

Kama ni vibarua, Je, hununuliwa vitu kama bangi waweze kuifanya hiyo kazi pasipo kujali wanachokiofanya?

Au watu wakishapata ajira, baadhi yao hupangiwa hii kazi wapende wasipende?

Na je, hii kazi ina mafunzo maalumu na ambayo yanapatikana nje ya nchi?

Au wanaofanya hii kazi ni watu wenye historia ya uhalifu na ambao ndio hupewa hii ajira?

Yaani unaweza kuwa unatoka nyumbani umetinga kaunda suti halafu kazi yako ikawa ni ya kupoteza watu au kusimamia operration/tukio la mtu kupotezwa na kisha siku ya ibada unaenda kuabudu?

Yataka moyo na ni bora kufanya kazi mochwari kuliko kuwa ndani ya hiki kitengo.
Hao ni wale ambao walifeli shule na maisha,sasa kwa kuwa wazazi wao wanaukalibu na Viongozi basi wakapewa ajila kama hizo,hebu fikiri chuki yao itakuwaje dhidi ya watu wema
 
Wanaokwamisha mambo kwenye taifa ni mafisadi na wala rushwa sio wapiga kelele.
Hiyo ni principle ya Dunia, imempasa mmoja kufa kwa ajili ya Taifa zima. Dunia hu operate hivyo kwa kuwaondoa wanao kwamisha mambo. Kwani ushawahi jiuliza wanajeshi wanagombania nini? Chukulia mfano rais x kachukizana na rais y, then wanao kwenda kugombana/ kuuana ni wengine kabisa.
 
Kwa mwenye kujua, hivi watu wanaofanya hii kazi ya kikatili wanakuwa na sifa gani za kupewa hii kazi ndani ya Kitengo?

Kama ni vibarua, Je, hununuliwa vitu kama bangi waweze kuifanya hiyo kazi pasipo kujali wanachokiofanya?

Au watu wakishapata ajira, baadhi yao hupangiwa hii kazi wapende wasipende?

Na je, hii kazi ina mafunzo maalumu na ambayo yanapatikana nje ya nchi?

Au wanaofanya hii kazi ni watu wenye historia ya uhalifu na ambao ndio hupewa hii ajira?

Yaani unaweza kuwa unatoka nyumbani umetinga kaunda suti halafu kazi yako ikawa ni ya kupoteza watu au kusimamia operration/tukio la mtu kupotezwa na kisha siku ya ibada unaenda kuabudu?

Yataka moyo na ni bora kufanya kazi mochwari kuliko kuwa ndani ya hiki kitengo.
Vile vile jiulize wale wanaonyonga watu waliohukumiwa kunyongwa wanapatikana vipi?

Jibu ni moja tu, wanapatatikana miongoni mwa walioajiriwa ndani ya vyombo vya ulinzi na usalama kama polisi, magereza, jeshi la ulinzi nk.

Nafasi hizi ni maalum na hutangazwa ndani ya vyombo hivyo na wahusika hupewa baada ya kuwafanyia usaili na kuchunguzwa tabia zao!
 
Kwa mwenye kujua, hivi watu wanaofanya hii kazi ya kikatili wanakuwa na sifa gani za kupewa hii kazi ndani ya Kitengo?

Kama ni vibarua, Je, hununuliwa vitu kama bangi waweze kuifanya hiyo kazi pasipo kujali wanachokiofanya?

Au watu wakishapata ajira, baadhi yao hupangiwa hii kazi wapende wasipende?

Na je, hii kazi ina mafunzo maalumu na ambayo yanapatikana nje ya nchi?

Au wanaofanya hii kazi ni watu wenye historia ya uhalifu na ambao ndio hupewa hii ajira?

Yaani unaweza kuwa unatoka nyumbani umetinga kaunda suti halafu kazi yako ikawa ni ya kupoteza watu au kusimamia operration/tukio la mtu kupotezwa na kisha siku ya ibada unaenda kuabudu?

Yataka moyo na ni bora kufanya kazi mochwari kuliko kuwa ndani ya hiki kitengo.
Duuh angekuwepo baba yake Kinje tungemuuliza.
 
Kwa mwenye kujua, hivi watu wanaofanya hii kazi ya kikatili wanakuwa na sifa gani za kupewa hii kazi ndani ya Kitengo?

Kama ni vibarua, Je, hununuliwa vitu kama bangi waweze kuifanya hiyo kazi pasipo kujali wanachokiofanya?

Au watu wakishapata ajira, baadhi yao hupangiwa hii kazi wapende wasipende?

Na je, hii kazi ina mafunzo maalumu na ambayo yanapatikana nje ya nchi?

Au wanaofanya hii kazi ni watu wenye historia ya uhalifu na ambao ndio hupewa hii ajira?

Yaani unaweza kuwa unatoka nyumbani umetinga kaunda suti halafu kazi yako ikawa ni ya kupoteza watu au kusimamia operration/tukio la mtu kupotezwa na kisha siku ya ibada unaenda kuabudu?

Yataka moyo na ni bora kufanya kazi mochwari kuliko kuwa ndani ya hiki kitengo.
Uwe na uwezo wa kutumia plyer/Plies
 
Waliopewa ile kazi walikua wazembe sana sidhani kama watakua hai mpaka leo hii maana hii kazi mission isopokua accomplished inabidi wahusika wauliwe kutunza siri., hivi walishindwa hata kumtegesha sniper mmoja sehemu nzuri jamaa akishuka tu kwenye gari anapiga ya kichwa kazi imeisha
unajuaje kama ile mission ilikuwa ni ya kujeruhi tu?
 
Back
Top Bottom