Wanaofanya kazi ya kupoteza watu ndani ya "Kitengo" wanapataje kazi hii?

..waliomshambulia Lissu hawakuwa wazembe.

..walimtupia risasi nyingi na 16 ziliingia mwilini mwake.

..they hit their target. Suala la target kufa hiyo ni habari nyingine.

..kilichotokea ni jambo la muujiza Lissu kuepuka kifo.

..mnaosema sniper angefanya kazi nzuri mnakosea.

..Kwasababu hata Snipers hawana uhakika wa 100% kufanikisha mission zao.

..Mwisho mnaweza kusema labda wangetumia BOMU LA NYUKLIA. lakini hata ktk shambulizi la nyuklia kuna wahanga wame-survive.
Kama mission aikua accomplished maana ake haikufanyika kwa usahihi
 
Kama mission aikua accomplished maana ake haikufanyika kwa usahihi

..sio kweli.

..they shot their target 16 times.

..99.999% of the time ukimpiga mtu risasi 16 huwa anakufa.

..mission ingekuwa haikufanyika kwa usahihi kama wangejulikana au kutambuliwa, au wangeshambulia mtu ambaye hawakutumwa kumshambulia.
 
Te
..sio kweli.

..they shot their target 16 times.

..99.999% of the time ukimpiga mtu risasi 16 huwa anakufa.

..mission ingekuwa haikufanyika kwa usahihi kama wangejulikana au kutambuliwa, au wangeshambulia mtu ambaye hawakutumwa kumshambulia.
Tembo risasi moja tu analala chini.

Ukweli ni kwamba watu wema hawafi
 
Kwa mwenye kujua, hivi watu wanaofanya hii kazi ya kikatili wanakuwa na sifa gani za kupewa hii kazi ndani ya Kitengo?

Kama ni vibarua, Je, hununuliwa vitu kama bangi waweze kuifanya hiyo kazi pasipo kujali wanachokiofanya?

Au watu wakishapata ajira, baadhi yao hupangiwa hii kazi wapende wasipende?

Na je, hii kazi ina mafunzo maalumu na ambayo yanapatikana nje ya nchi?

Au wanaofanya hii kazi ni watu wenye historia ya uhalifu na ambao ndio hupewa hii ajira?

Yaani unaweza kuwa unatoka nyumbani umetinga kaunda suti halafu kazi yako ikawa ni ya kupoteza watu au kusimamia operration/tukio la mtu kupotezwa na kisha siku ya ibada unaenda kuabudu?

Yataka moyo na ni bora kufanya kazi mochwari kuliko kuwa ndani ya hiki kitengo.
Huwa Wana source kutoka Kwa ma Polisi
 
Amenikumbusha baba yangu Sokoine alichofanyiwa.
Jaribu kupitia huu uzi wa Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana na unatakiwa kuwa na UVUMILIVU WA KISIASA kama walivyo FAMILIA YA HAYATI KARUME, yaani mnapaswa kuiga SIASA ZA ZANZIBARI kwa upande wa CHAMA CHA MAPINDUZI-CCM.

Kwa sababu, UMAFIA huwa upo katika kila SERIKALI na WATU WA ZANZIBARI walishuhudia na kuona mambo mengi sana yakifanyika chini ya UTAWALA WA CHAMA CHA MAPINDUZI-CCM.

WAZANZIBARI kwa umoja wao, waliamua kutumia CHAMA CHA MAPINDUZI-CCM ili kukwea MNAZI, yaani wanakitumia CHAMA CHA MAPINDUZI-CCM kujijenga KIUCHUMI na KISIASA - ilhali fikra, mioyo na nafsi zao hazipo ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI-CCM.

Na wamefanikiwa pakubwa sana katika kujijenga KIUCHUMI, ngoja nikipata muda nitakuonesha moja ya kampuni za WAZANZIBARI zinazofanya vizuri ughaibuni kwenye uzi wa Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana. WAZANZIBARI ndio jamii mojawapo inayounda JAMII YA WATU WA PWANI na JAMII YA WATU WA PWANI ni JAMII ambayo imejijenga KIUCHUMI, ukiachana na JAMII YA SERENGETI yaani CHUI pamoja na JAMII YA MWASHITA yaani SIMBA.

Kwahiyo, muda na nyakati ndio utaamua hatima ya SIASA ZA ZANZIBARI.
 
Back
Top Bottom