Natafuta Ajira
JF-Expert Member
- Mar 25, 2020
- 4,944
- 11,051
Kama mission aikua accomplished maana ake haikufanyika kwa usahihi..waliomshambulia Lissu hawakuwa wazembe.
..walimtupia risasi nyingi na 16 ziliingia mwilini mwake.
..they hit their target. Suala la target kufa hiyo ni habari nyingine.
..kilichotokea ni jambo la muujiza Lissu kuepuka kifo.
..mnaosema sniper angefanya kazi nzuri mnakosea.
..Kwasababu hata Snipers hawana uhakika wa 100% kufanikisha mission zao.
..Mwisho mnaweza kusema labda wangetumia BOMU LA NYUKLIA. lakini hata ktk shambulizi la nyuklia kuna wahanga wame-survive.