Wanaochelewa kurudi nyumbani sio wajinga

Wanaochelewa kurudi nyumbani sio wajinga

Utasikia, we ayubu nenda kwa baba yako akakufundishe kusoma na kuhesabu yupo sebuleni.

Utashangaa ushaa kuwa mwalimu wa tuition.
Kesho yake na watoto wa jirani wanakuja na daftar na vitabu vya awali.!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbona sijasikia kama na wao wana viti vya kuenguliwa kama maccm?
Hawana, madhara yao ni zero kwa ccm, unajua ccm anadeal na wale wenye madhara tu wengine kama akina hashim rungwe, sijui mrema, and pro ccm hawaenguliwi kabisa
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] si umbadilishe tu Mkuu kwani inachukua dakika ngapi? Hata tano hazifiki [emoji12]
Hahaha duuh umenichekesha sana, kumbe ndio mbinu zenu eeh
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Utasikia, we ayubu nenda kwa baba yako akakufundishe kusoma na hesabu yupo sebuleni.

Utashangaa ushaa kuwa mwalimu wa tuition.
Kesho yake na watoto wa jirani wanakuja na daftar na vitabu vya awali.!
At least hii ina make sense kuliko kuchambua Michele au kutumwa dukani! Mimi huwa nakagua daftari za watoto, hili halina mjadala ila ndio ananiita nikachambue dagaa hahahahaha tutakula na Mawe yake
 
Utasikia, we ayubu nenda kwa baba yako akakufundishe kusoma na hesabu yupo sebuleni.

Utashangaa ushaa kuwa mwalimu wa tuition.
Kesho yake na watoto wa jirani wanakuja na daftar na vitabu vya awali.!
Hahaha ila wanaume akili zenu mnazijua wenyewe
 
At least hii ina make sense kuliko kuchambua Michele au kutumwa dukani! Mimi huwa nakagua daftari za watoto, hili halina mjadala ila ndio ananiita nikachambue dagaa hahahahaha tutakula na Mawe yake
[emoji23][emoji23][emoji23] kwa hiyo kuchambua mchele na dagaa ndo hutak kabisa.

Mi kufundisha mtoto mdogo aisee hapana, labda wa form one afadhali.!!
 
[emoji23][emoji23][emoji23] kwa hiyo kuchambua mchele na dagaa ndo hutak kabisa.

Mi kufundisha mtoto mdogo aisee hapana, labda wa form one afadhali.!!
Mimi ni Mwalimu kabisa kitaaluma, sifundishi ila napenda kukagua na kuuliza maswali ila sio kwa pressure ya mtu, "Baba Namkunda kawafundishe watoto"!! Aagh wapi, au nenda dukani kanunue sijui nini, labda nikanunue pombe (kidding)! Pengine kwa sababu tuna watoto wakubwa
 
Ni vizuri maana huo mda unaochelewa mkeo nae anapata mwanya wa kuchat na soulmate wake[emoji23][emoji23][emoji3]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nikimkamata ama zake ama zangu
 
Mimi ni Mwalimu kabisa kitaaluma, sifundishi ila napenda kukagua na kuuliza maswali ila sio kwa pressure ya mtu, "Baba Namkunda kawafundishe watoto"!! Aagh wapi, au nenda dukani kanunue sijui nini, labda nikanunue pombe (kidding)! Pengine kwa sababu tuna watoto wakubwa
Nawaheshimu sana walimu wanaofundisha watoto wa awali mpaka darasa la saba.
Ndo maana mwalimu wa mwanangu nikikutana nae lazima anywe ka soda maana dogo nikisema nimfundishe naona ananitia stress tu.
Nasema sema hivi yeye anasema hivi.!! Aaah no! no!
 
yani nimesoma comments za humu nimebaki hoi, hv kufanya majukumu ndani ya nyumba yenu ni kumsaidia mwanamke? unanisaidiaje kwa mfano wakati hicho chakula tunakula wote? hivyo vyombo hata wewe unatumia? usafi wa nyumba hata wewe unakuhusu mana ndimo unapoishi, sasa iweje mwanaume useme eti kufanya hayo ni kusaidia? kwani mnaoa ili mpate wafanyakazi wa ndani au partner wa maisha? yani wote tunatoka asubuhi kwenda kutafuta maisha, tunarud nyumbani jioni wote tumechoka, badala ya kusema niwahi tukasaidiane na mwenzangu eti unachelewa kisa utatumwa kazi, sasa ulitakaje? kwani punda wako huyo? Aisee nashukuru kwa mume niliyenae nyumbani anawahi kurudi vzr sana na kama kuna cha kufanya atafanya tu, sijawahi kumsikia anaongea utaopolo eti ananisaidia.

Isitoshe, mimi kwetu tumezaliwa wa4 wakike wawili na wakiume wawili, wazazi wetu walitulea kwa USAWA wote tulikuwa tunazamu za kazi za ndani kuanzia usafi hadi kupika, hakukuwa na kazi eti hii ya mwanamke hii ya mwanaume

daaaaah mkuu utakua una asili ya watu wa kaskazini na huyo mme wako ana asili ya pwani au pengine huyo mme wako ni tegemezi kwako.
hio ndoa yako itakua ni ya moto sababu ya uanaharakati wako.
NB samahani kwa maneno yangu yasio mazuri
but kama ungeolewa maeneo ya kanda ya ziwa ungekua na ukilema wa maisha
 
Nawaheshimu sana walimu wanaofundisha watoto wa awali mpaka darasa la saba.
Ndo maana mwalimu wa mwanangu nikikutana nae lazima anywe ka soda maana dogo nikisema nimfundishe naona ananitia stress tu.
Nasema sema hivi yeye anasema hivi.!! Aaah no! no!
Hahahahaha asante kwa niaba yao!
 
Habari ya mitama peleka kwa akina dula mbabe huko huku ni mambo ya kiss & hug, sawa eeh!
Mi siwezi pambana na mwanamke ati nisirudi mapema skani labda sio Mimi Mr kuharibu!.. kupika ntapika ila kitakachotoka hapo nauhakika hautakuja kuniambia Tena kupika..😂
Nyombo ntaosha ila ntavunja na kutoboa masufuria hutaniambia tena nioshe nyombo..😂

Sawima mama sema nikapike nini mke wangu..?😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom