Yeye hawezi kuwafunza watoto? Kwanzaa hiyo ni kazi ya mwalimu shuleni. Nyumbani mke kazi yake ni kukumbusha watoto kumalizia homeworkfamilia zipo tofauti, wanafanya hivo wenye wake wasiojielewa, wengine hurudi mapema ajili yakukaa na watoto nakuwafunza.
Kawaida tu kwasababu natambua hilo ni jukumu langu kama mama na mke yeye anafanya msaada wa hiyari tu kama baba ili aweke mchango wake kwa malezi ya mtoto. Asipofanya haimaanishi kwamba hajali hapana atafanya mengine ya muhimu pia hata kama yasipohusika na majukumu ya nyumbani. Ni swala la kujitambua tu nafasi yako kama mke na mama na kama baba na mume. Mfano kama kuna tatizo linaitaji ela mama anazo ina maana hawezi kutoa mpaka baba aje kisa nijukumu lake kuhudumia familia ? Ni kusaidiana katika kila jambo na kila mtu atambue mipaka yake pia tusivuke mipaka.Siku asipokusaidia unajisikiaje?
Uchebe akasome [emoji23][emoji23][emoji23]Kuna jirani yangu ni fundi seremala ofisi yake haipo mbali na kwake. Siku moja kaamua kujiongeza na kubandika maharage mkewe alikua katoka, mkewe karudi akafurahi kweli. Siku nyingine mwamba kaendelea na shughuli zake mkewe alikua katoka bahati mbaya this time hakubandika maharage. Mkewe karudi kaanza kummind kwa nini hakufanya kama mwanzo na kuanza kuropoka kwa sauti. Bibi alitembezewa makonzi hayo Uchebe akasome.
Wanawake wenzio walioko humu humu tu hawawezi kununua hata luku incase imeisha kabla baba hajarudi. Unakutana na giza kama vile mama hawezi nunua umeme na sio kwamba hela hana ni ubinafsi tu.Kawaida tu kwasababu natambua hilo ni jukumu langu kama mama na mke yeye anafanya msaada wa hiyari tu kama baba ili aweke mchango wake kwa malezi ya mtoto. Asipofanya haimaanishi kwamba hajali hapana atafanya mengine ya muhimu pia hata kama yasipohusika na majukumu ya nyumbani. Ni swala la kujitambua tu nafasi yako kama mke na mama na kama baba na mume. Mfano kama kuna tatizo linaitaji ela mama anazo ina maana hawezi kutoa mpaka baba aje kisa nijukumu lake kuhudumia familia ? Ni kusaidiana katika kila jambo na kila mtu atambue mipaka yake pia tusivuke mipaka.
Wewe hufanyagi hivyo
Ni tabia mbaya tu kwa mwanaume kuchelewa na mbaya pia kwa mwanamke kumtuma tuma mikazi mmewe
Sijaolewa bado. Siwezi kumtuma kaka yangu au mdogo wangu wa kiume achambue mchele au kukata kitunguu wakati napika. Sembuse mume 🍆
baba wenye mawazo yako mara nyingi matoto yao hua tegemezi hadi uzeeni na mara nyingi hutamani ufe ili yajimilikishe mali zako, be care with ur family ucreat misingi bora itakayowawezesha kujitegemea mapema after school.Yeye hawezi kuwafunza watoto? Kwanzaa hiyo ni kazi ya mwalimu shuleni. Nyumbani mke kazi yake ni kukumbusha watoto kumalizia homework
wasiporudi hutokosa usingizi kweli mkuu? ina maana huna wivu na mumeo?Haya hata mkiamua msirudi kabisa.
ongea taratibu basiHaya hata mkiamua msirudi kabisa.
Hapo unakuwa umeoa au mmeoana!? Mnawatoaga wapi wa hivyo!?Mwanaume hakikisha unafika nyumbani kwako angalau kuanzia saa moja na nusu kwenda juu lakini usichelewe sana. Kimsingi mwanaume aliyeoa anatakiwa kuwa nyumbani kati ya saa moja na nusu na saa tatu japo wengine mpaka saa tano au saa sita. Hiyo sio nzuri
Ila ni kosa namba moja kwa mwanaume kurudi nyumbani saa kumi sijui saa kumi na moja, ukiwahi kurudi nyumbani na umekaa tu mke wako ataanza kukupa kazi zake umfanyie. Wewe kama mwanaume utaona anazingua, usipofanya ataona humpendi na ukizifanya atazifanya kuwa majukumu yako na inaweza kufika hatua atataka mpangiane mpaka zamu ya kudeki nyumba.
HASARA ZA MWANAUME KUWAHI KURUDI NYUMBANI NI PAMOJA NA....
1. " Sijisikii vizuri, nisaidie kuosha nyombo...."
2. " Sisi tunapika, we kanunue chumvi na nyanya..."
3. "Unapoangalia TV hapo nikuletee mchele uuchambue...."
4. " Kumbe ulifika mapema, mbona hujapika sasa...."
5.
6.
7.
8. Malizieni nyingine......
Hawa ndugu zetu ukiwafulia nguo leo basi atataka kila siku ufue, ukiosha vyombo leo atataka kila siku uoshe. Sasa wewe endelea kujifanya unawahi kurudi nyumbani mapema ukaona kwamba ni baba bora kumbe unabomoa nyumba yako, "UKIONA WANAUME WANACHELEWA KURUDI NYUMBANI UJUE SIO WAJINGA"
Baba kuwapetiti watoto kuanzia jioni baada ya kutoka kazini haisaidii kuwaandaa wajitegemee baadaye. Watch out! Kwanza ndo mwanzo wa kuwadekeza.baba wenye mawazo yako mara nyingi matoto yao hua tegemezi hadi uzeeni na mara nyingi hutamani ufe ili yajimilikishe mali zako, be care with ur family ucreat misingi bora itakayowawezesha kujitegemea mapema after school.
Niache kulala kisa hajarudi..nitakachofanya ni kumuombea huko aliko awe salama..wivu Sasa hivi!!!wasiporudi hutokosa usingizi kweli mkuu? ina maana huna wivu na mumeo?