Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 37,406
- 79,653
Vizuri sana, na wewe unampa muda wa kuwasiliana na michepuko yake. Maisha haya raha sana...unahisi unamkomoa mtu kumbe mwenzio anayoyafanya kutokana na uboya wako wa kumkwepa ni makubwa hata shetani mwenyewe anashangaaMwanaume kuwai nyumbani noma sana Kwanza waweza kubambwa mana iyo mida ndo yakuongea na michepuko sasa jifanye unawai maskani kumbe unajikamatisha mwenyewe