yani nimesoma comments za humu nimebaki hoi, hv kufanya majukumu ndani ya nyumba yenu ni kumsaidia mwanamke? unanisaidiaje kwa mfano wakati hicho chakula tunakula wote? hivyo vyombo hata wewe unatumia? usafi wa nyumba hata wewe unakuhusu mana ndimo unapoishi, sasa iweje mwanaume useme eti kufanya hayo ni kusaidia? kwani mnaoa ili mpate wafanyakazi wa ndani au partner wa maisha? yani wote tunatoka asubuhi kwenda kutafuta maisha, tunarud nyumbani jioni wote tumechoka, badala ya kusema niwahi tukasaidiane na mwenzangu eti unachelewa kisa utatumwa kazi, sasa ulitakaje? kwani punda wako huyo? Aisee nashukuru kwa mume niliyenae nyumbani anawahi kurudi vzr sana na kama kuna cha kufanya atafanya tu, sijawahi kumsikia anaongea utaopolo eti ananisaidia.
Isitoshe, mimi kwetu tumezaliwa wa4 wakike wawili na wakiume wawili, wazazi wetu walitulea kwa USAWA wote tulikuwa tunazamu za kazi za ndani kuanzia usafi hadi kupika, hakukuwa na kazi eti hii ya mwanaume hii ya mwanaume