Wanangu wa VEGA 100 kueni makini

Wanangu wa VEGA 100 kueni makini

Ukweli n kwamba, hta akiacha hayo bado sio kigezo cha nguvu za kiume kuongezeka.

Hua tunajidanganya na kula vyakula fulani, mazoezi etc. Hayo yanaongeza nguvu kwa % chache mno lkn hakujawah kutokea mtu akaongeza nguvu za kiume kupitia mazoea au vyakula.

Ndo mana wengi wanakimbilia kwenye buster.

Una safari ndefu sana,ebu kajielimishe kwanza halafu uje ufute comment yako​

 
jamni sasa wew ni mimi?,, kabla sijakutana na mtu unakuta nishajiandaa kisaikolojia kwahiyo akiloeka tu hivi na,mimi ndo mwisho wangu nakojoa sijui ndo mnaita kupizi🤭😅 huko kwingine ni yeye na sifa zake

Nimeshakupenda my love 😋
 
Dah! Vijana hawajui tu kuwa wao ni mashine kamili, hakuna haja ya madawa, jiamini ishi kawaida, usikamie wakati wa tendo, relax. Maandalizi muhimu.
Ukianza kuokoteza njia mbadala hapo ndipo kujiamini kunapotea na matokeo yake si mazuri. Utaishia kulaumu marafiki kuwa dawa waliokupa haikutoa matokeo chanya.
 
Siku moja nipo na (ke) tupo room tuna fanya yetu, Mtoto analili Mimi Nguvu hamna.
Nilishikwa shikwa mara nikanyonywa wapi! Nikamwambia mama tulle tu umefanya kila juhudi imeshindikana
nisamehe ata Mimi sielewi Basi bwana tushajitawadha nimelala naangalia Mali ya maana kabisa alafu ndio hivyo.

Nikatoka nje nimekasirika sijui cha kufanya, nahurumia mtoto wa watu anaangaika, nikasema ngoja nijitoe ufahamu nikaenda kuchukua k-Vant, Mimi siyo mnywaji wa pombe huwa naonjaga onjaga tu kwenye matukio au nikijisikia mara moja kwa miezi 2.
Nia ilikuwa nijileweshe ndio maana nikachukua pombe kali kadogo kale, nikarudi room Nikamwambia Bibie wewe lala ngoja nijileweshe labda ndio nachoweza nimezingua (maneno haya haya)
Bwana wee nikakuta kakafika nusu nikapanda kitandani dakika 10 hazikufika mnara unasoma 5g kwanza nikajishika ni kweli nikamgusa Hoya sogea, Baba tulipelekeshana Chuma hailali Risasi hazitoki,Mpaka akabaki mkavu yaani wote tumelowa majasho +Mashuka.
Tukakubaliana tulale tu chuma ikabkaki kwa hewa bila kutoa Risasi.
Huwa nina Desturi nikiwa nafanya Mapenzi manzi akikauka basi mchezo umeisha
Au kama ni mpango wa kando (kuchochora) nikikuandaa alafu utelezi hamna mpambano unaisha kabla haujaanza siwezi kamwe Hayo siyo Mapenzi.
 
Back
Top Bottom