Umenikumbusha stor ya jamaa mmojs Arusha alikua anaitwa Madumba. Yeye alikata moto uku amedinda.Vega za siku hizi bure kabisaa.Mara ya kwanza naitumia miaka 12 nyumaa,kwanza picha linaanza nikazima kwenye kochi,kuamka damu zinatoka puani,uume ulisimama siku tatu bila kusahau kichwa Cha utosi kinauma balaa.
Mwisho kabisa ilibidi nijifanye nimekitupa.Mrembo ananiuliza mbona sioni manii Yako.Nikamjibu sijui yamepotea.
Duh aisee 😂😂😂😂 Kwaiyo alikuwa anataka kuondoka nayo ama?Vega za siku hizi bure kabisaa.Mara ya kwanza naitumia miaka 12 nyumaa,kwanza picha linaanza nikazima kwenye kochi,kuamka damu zinatoka puani,uume ulisimama siku tatu bila kusahau kichwa Cha utosi kinauma balaa.
Mwisho kabisa ilibidi nijifanye nimekitupa.Mrembo ananiuliza mbona sioni manii Yako.Nikamjibu sijui yamepotea.
Kumbe ila sometime wanaume mpo serous sana aiseeeViagra ushawahi sikia ? Hii ndo brand maarufu
Hizi ndo njia pekee .. msosi wa nguvu. Km kadhaa asubuhi, maji mengi.Unashindwa kupunguza pombe, sigara, vyakula vibaya na ufanye mazoezi kidogo unakimbilia njia rahisi.
Wanaume hatukimbilii njia rahisi tunakimbilia njia sahihi.
Sawa sawa kila la kheri kwenu mpka hizo dawa ziwauwemambo ya kuchapiwa. lazima uhakikishe my unamkata kiu yote 😂
Ukute anafanya haya yote kwa mchepukoHii yote n ili kumpa furaha mwanamke 😂 wanaume tutafika jehanamu tumechoka Sana 😎
Hakuna baby girl anayependa show ya dkk 10 kitu ambacho ndio uhalisia wa nguvu za kiume zinavyotakiwa zicheze hapo, hamtaki kijidudu Bali mnataka mashine iwe nzito.😂 sio wote tunafurahi mkuu
alf ni kijana mdogo sidhani hata kama kafikisha 35yrs imebidi nimwambie tu asisahau kunywa maji mengi maana hizo dawa ni kama zina changia mapigo ya moyo kwenda kasi ili pumzi isije ikakata😅😅,,, Walah nimesikitika😥😓Watu wako serious. 🔥
Dah Hilo tatizo lingine tena 😂Ukute anafanya haya yote kwa mchepuko
nitoe huko😅laiti kama ningekua mwanaume nahisi ningekua kwenye lile group la kimoja chali sipendi heka heka jamni uwihHakuna baby girl anayependa show ya dkk 10 kitu ambacho ndio uhalisia wa nguvu za kiume zinavyotakiwa zicheze hapo, hamtaki kijidudu Bali mnataka mashine iwe nzito.
Ndo mana boys wanakula hayo madawa ili kuwaridhisha.