Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 371,426
- 860,147
Natambua kuna majukwaa mbalimbali ya kuandika chochote kulingana na maudhui ya jukwaa husika
Chitchat ndio jukwaa halisi la ku chill kwa kuandika mada za utani, vituko na kupunguza stress za maisha na sometimes Kuipumzisha akili baada ya mitifuano ya hoja kwenye majukwaa ya wajuvi na wajuaji
Lakini wanangu eeh hata kama lengo ni kuchangamsha genge tuandike vitu quality basi😀
Hata vitu haramu kama gongo na mjani navyo vina ubora wake na vina wataalam wake wa kuthibitisha ubora
Natambua sometimes tunaandika tukiwa tumetoa lock na kudhani tumeandika mapoit tupu😆 .. Ila medulla ikikaa sawa watu huzikimbia post zao🤣
Shukrani kwa Moderator huwa wanatuokoa sana kwa kuyafuta maboko yetu lakini nitoe rai ya kutafakari kabla ya kupost ili kuwapunguzia kazi hawa ndugu zetu
Ukinimaindi poa tu najua jiwe limetua penyewe😀🙌🏿🏃🏿
Chitchat ndio jukwaa halisi la ku chill kwa kuandika mada za utani, vituko na kupunguza stress za maisha na sometimes Kuipumzisha akili baada ya mitifuano ya hoja kwenye majukwaa ya wajuvi na wajuaji
Lakini wanangu eeh hata kama lengo ni kuchangamsha genge tuandike vitu quality basi😀
Hata vitu haramu kama gongo na mjani navyo vina ubora wake na vina wataalam wake wa kuthibitisha ubora
Natambua sometimes tunaandika tukiwa tumetoa lock na kudhani tumeandika mapoit tupu😆 .. Ila medulla ikikaa sawa watu huzikimbia post zao🤣
Shukrani kwa Moderator huwa wanatuokoa sana kwa kuyafuta maboko yetu lakini nitoe rai ya kutafakari kabla ya kupost ili kuwapunguzia kazi hawa ndugu zetu
Ukinimaindi poa tu najua jiwe limetua penyewe😀🙌🏿🏃🏿