WanaJF na MMU.....Karibuni tufunge mwaka 2013!

WanaJF na MMU.....Karibuni tufunge mwaka 2013!

Nikisema sikupata kitu toka jf nitakuwa sijatenda haki . Nilikua naingia humu kuperuzi mwaka jana na mwisho nilipoona siwezi kuchangia ndipo nilipoamua kujoin.

Nawashukuru sana members wote nimejifunza mengi toka kwenu. Ni vigumu kumtaja kila mmoja lkn wote nawashukuru nimepata mengi toka kwenu. Nimejifunza uvumilivu na kuchukuliana hasa mawazo yanapotofautiana. Kwa kifupi mmenifundisha mengi Mungu awabariki wote.

Nawatakia wote happy holidays nikianza na xmas na mwisho mwaka mpya naamini kwa uwezo wake Muumba tutafika salama kwenye new year. Shukrani zikufikie wewe uliyeanzisha uzi huu napata uzito kukuita babu naomba uniruhusu nikuite mkubwa mwenzangu.
 
ingawa hakuna ninayemfahamu hapa mmu kwa sura lakini ki ukweli nimeelimika sana kupitia michango yenu. long live mmu na mungu awe nasi ili tuweze kuuona mwaka mpya wa 2014.

DEMBA muke ya kaka mkubwa Kaizer hivi unaweza amini mfano wa comment yangu hapo juu kuna watu sijawahi onana nao ila the way tunavyointeract mpaka nasema jf ni kwingine kikubwa aina ya watu wa kusocialize nao [si unajua tena umakini muhimu kwenye msafara wa mamba na kenge wapo]yaani mpaka nashangaa madili mengine ya pesa ndefuuuu tunafanya na hatujaonana mawasiliano tu.
Afu nimesoma comment yangu kwa mara ya 2 nikajiona how lucky i am.
 
Last edited by a moderator:
Kuna wakati sura na matendo yetu yanaishi katika yale tuyaandikayo.

Panapo fursa watafute watu wawili watatu, onana nao. Naamini kuna jipya utapata zaidi marafiki wapya utawakaribisha maishani mwako.

Jf imekua sehemu kubwa ya maisha yangu kutokana na michango ya watu humu ndani..
..natamani kukutana na watu na kupata michango yao zaidi ila sijui nianze vipi,nisaidie kwa hili watu8
 
Last edited by a moderator:
Asante Mungu asante wana jf kwa kufika hapa. Mwaka ulikuwa mzuri kiasi siyo sana. Nimeweza kukutana na wana jf wachache sana . ...................................... Changamoto ni nyingi hasa kwenye suala la mapenzi. ............................................ Nimeumiss uzi wa NYUMBA NDOGO kila nikiuita siupati.
 
Nikisema sikupata kitu toka jf nitakuwa sijatenda haki . Nilikua naingia humu kuperuzi mwaka jana na mwisho nilipoona siwezi kuchangia ndipo nilipoamua kujoin.

Nawashukuru sana members wote nimejifunza mengi toka kwenu. Ni vigumu kumtaja kila mmoja lkn wote nawashukuru nimepata mengi toka kwenu. Nimejifunza uvumilivu na kuchukuliana hasa mawazo yanapotofautiana. Kwa kifupi mmenifundisha mengi Mungu awabariki wote.

Nawatakia wote happy holidays nikianza na xmas na mwisho mwaka mpya naamini kwa uwezo wake Muumba tutafika salama kwenye new year. Shukrani zikufikie wewe uliyeanzisha uzi huu napata uzito kukuita babu naomba uniruhusu nikuite mkubwa mwenzangu.

Ahsante sana Ablessed,

Kumbe na wewe ni mkubwa mwenzetu? Ngoja nimwambie katibu Fixed Point akuingize rasmi kwenye chama cha watu wazima a.k.a wakubwa wenzetu!

Mungu akubariki sana,

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
DEMBA muke ya kaka mkubwa Kaizer hivi unaweza amini mfano wa comment yangu hapo juu kuna watu sijawahi onana nao ila the way tunavyointeract mpaka nasema jf ni kwingine kikubwa aina ya watu wa kusocialize nao [si unajua tena umakini muhimu kwenye msafara wa mamba na kenge wapo]yaani mpaka nashangaa madili mengine ya pesa ndefuuuu tunafanya na hatujaonana mawasiliano tu.
Afu nimesoma comment yangu kwa mara ya 2 nikajiona how lucky i am.

Hivi wewe amu ni mtunzi wa mashairi??

Kama hukujua basi acha kuukalia huo uchumi..lol!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Jf imekua sehemu kubwa ya maisha yangu kutokana na michango ya watu humu ndani..
..natamani kukutana na watu na kupata michango yao zaidi ila sijui nianze vipi,nisaidie kwa hili watu8


Naomba uanze na watu8 mwenyewe....hutaamini akianza kukupitisha kwenye mtandao wake kama buibui..

Ila huyu dogo huyu....mhhhh!!

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
Asante Mungu asante wana jf kwa kufika hapa. Mwaka ulikuwa mzuri kiasi nimeweza kununua ekari kadhaa mikoa tofauti kazi iliyopo ni kuziendeleza. ...................................... Changamoto ni nyingi hasa kwenye mapenzi. ............................................ Nimeumiss uzi wa NYUMBA NDOGO kila nikiuita siupati.

Nimependa sana hapo dada yangu...unaweza kutumegea zaidi??

Ngoja niwaombe BAK, Kaizer na Mtambuzi watusaidie...

Babu DC!!
 
Last edited by a moderator:
DEMBA muke ya kaka mkubwa Kaizer hivi unaweza amini mfano wa comment yangu hapo juu kuna watu sijawahi onana nao ila the way tunavyointeract mpaka nasema jf ni kwingine kikubwa aina ya watu wa kusocialize nao [si unajua tena umakini muhimu kwenye msafara wa mamba na kenge wapo]yaani mpaka nashangaa madili mengine ya pesa ndefuuuu tunafanya na hatujaonana mawasiliano tu.
Afu nimesoma comment yangu kwa mara ya 2 nikajiona how lucky i am.
yaani jf is something else kwa kweli. ikitokea nimeshindwa kuingia jf kwa namna yeyote huwa najihisi kama naumwa.
 
Kupitia jf nimejifunza mengi sana ambayo nilikua siyajui na kumbe yalikua ni muhimu kwangu kuyaju, kuanzia MMU, jf doctor, na mengine mengi hata siwezi kutaja yote, nikijiangalia najiona nimekua akili, nimekua mkubwa kutokana na michango na fafanuzi nyingi za members wa humu...kwa ilipofikia jf ningependekeza kungeanzishwa kitu kwa ajili ya jf, kama kuitangaza ili wasioijua waweze kuijua..
 
Kwanza kabla ya yote napenda sote kwa pamoja hapa MMU tuutunuku uzi huu kuwa uzi bora wa kufungia mwaka kwa pamoja. Ni imani yangu kuwa kili mmoja wetu humu ataelezea namna ambavyo MMU imekuwa nzuri kwa upande wake.

Kwa upande wangu mie. Kiukweli sijawahi kujuta kuwepo humu na kufahamiana na yeyote humu. Nimepata marafiki wengi. Na wengine wamekuwa zaidi ya ndugu kwangu.

Kwa upande wa MMU kwa kweli nimepata mengi sana ya kujifunza. Zamani kidogo ilikuwa ngumu sana kuamini kama itawezekana kuishi na kuelewana na mtu ambaye hamjawahi kuonana hata kwa sura. Naweza kusema kuwa nimefahamiana na wengi humu na tumekuwa tukisaidiana, tukishauriana kwenye mambo mengi. Sasa kupitia MMU nimeamini kuwa jamii hii ya humu mtandaoni haina tofauti na hizi ambazo tuko nazo mitaani tuishipo.

Shukrani ziwafikie Mtambuzi, gfsonwin, snowhite, Dark City, Mentor, Heaven on Earth, KOKUTONA amu, Mwanyasi, YNNAH, Smile, Jiwe Linaloishi, AshaDii, Maxence Melo, watu8, Cantalisia, sweetlady, Preta, Mamndenyi, Madame B, Kijino, cacico, Asprin, @FP, Fixed Point, charminglady, Elizabeth Dominic, Kaunga, Zion Daughter, Arushaone, marejesho, Baba V, MMAHE, Asnam, christine ibrahim, Filipo, Remmy, Nivea, Ruhazwe JR, @c6, Kichwa mbovu, Kaizer, Husninyo ladyfurahia, BAK, nameless girl, @lara1 Arabela, Judgement, BAGAH, Erickb52, Crashwise, Mungi nitonye Kipaji Halisi, Lady doctor, Passion Lady, Ruttashobolwa, Sanctus Mtsimbe Bishanga, The secretary Rejao, Kaka Kiiza Ablessed King'asti, Paw, Mr Rocky, Kwa kweli kutoka moyoni mwangu wanaotakiwa kushukuriwa ni wengi sana. Hao niliowataja ni wachache sana. Ambao sijawataja msidhani nimewasahu. Nikisemaniwataje wote humu basi hii post itakuwa ndefu sana.nawashukuru wote kwa pamoja.

Mungu ibariki Afrika, Mungu Ibariki Tanzania, Mungu ibariki JF, Mungu awabariki viongozi wa JF na members wote.
 
Last edited by a moderator:
Shukrani Babu Dark City.... Kwanza Sh'kamoo babu naomba sh'ng mia! Hahahaaa wewe ni babu yangu lazima nkutanie kiduchu....

Back to topic..... Kama nilivyosema katika uzi wangu wa juzi katika "5th Anniversary" naomba kunukuu baadhi ya maneno.....

"Napenda kuwashukuru WANAJAMIIFORUM woooote kwa
kunitia moyo kwa namna moja ama
nyingine, nimekuwa nikisoma post
za watu waliopitia changamoto
zinazofanana na zangu na jinsi
gani wamekuwa wakizikabili.
Mmekuwa msaada kwangu
kimawazo, pia hata katika
kupunguza stress hasa jukwaa la
picha na Jokes. Huwa nafarijika
sana kwa kupita majukwaa hayo ili
kupunguza stress za kazi. Daddy
angu watu8 na Mzee Mtambuzi
hamkuwa nyuma kunitia moyo,
hakika mawazo na ushauri wenu
umenijenga sana. Mbarikiwe
saaaaaaaana, mnaweza msijue ni
kwa namna gani mmenifanya
nimekuwa strong katika kazi ila
napenda kuwaambia ushauri wenu
ni mkubwa sana na sitawasahau"

Kwa kuongezea JF imenipa marafiki wengi ambao wamekuwa.msaada kwangu kwa namna moja ama nyingine. Sitawasahau Rock City wing chini ya Mwenyekiti Rock City (your the best friend), Arusha Wing nawashukuru kwa kunipa muongozo hasa King Mswati Arushaone (Nashukuru kwa muongozo na tahadhari).

Na wale woote ambao tumekutana kupitia JF mbarikiwe saaaaana....

Mwenyezi Mungu awe pamoja nasi mpaka tutakapokutana tena mwakani, ingawa ni siku chache zimebaki ila ni nyingi sana katika ulimwengu wa roho!

Cheers

CL....
 
Last edited by a moderator:
Yaani jf!!!!
Sifahamiani na wengi nje ya hapa lakini nimepata marafiki na washauri ambao wanafanya magumu nisiyaone magumu tena maana kwa ushauri wao yanakuwa mepesi.
Nina wengi wa kuwashukuru ila kwa uchache JF Arusha Wing wote MziziMkavu, Dena Amsi (Naku miss ujue), Fixed Point, Mamdenyi amu(una nafasi ya pekee kwangu), Heaven on Earth, OLESAIDIMU, umbuje KOKUTONA, shem Young Master na wengine wengi.
Shukran za pekee kwa wana MMU wote.
Jf ni nyumba ambayo kila mtu angefurahia kuishi.
 
Last edited by a moderator:
..natamani kukutana na watu na kupata michango yao zaidi ila sijui nianze vipi,nisaidie kwa hili watu8

Mtihani nambari moja huwa ni kutengeneza nia halafu lifuatalo huwa ni kuweka sababu, mwisho huwa ni utekelezaji.

Nina imani hadi sasa moyoni kwako huwa kuna watu unatamani dana kuwaona na pengine kubadilishana nao mawazo.

Kwa kuanzia kama upo Dar es Salaama basi anza na lile kusanyiko la tarehe 25 Januari, uzuri ni kwamba unawrza bado kuficha identity yako na bado utachanganyika na watu.
 
Last edited by a moderator:
Naomba uanze na watu8 mwenyewe....hutaamini akianza kukupitisha kwenye mtandao wake kama buibui..

Ila huyu dogo huyu....mhhhh!!

Babu DC!!

Babu huu mguno ni kheri kweli huu...hahahah!!!
 
Last edited by a moderator:
Kwanza kabla ya yote napenda sote kwa pamoja hapa MMU tuutunuku uzi huu kuwa uzi bora wa kufungia mwaka kwa pamoja. Ni imani yangu kuwa kili mmoja wetu humu ataelezea namna ambavyo MMU imekuwa nzuri kwa upande wake.

Kwa upande wangu mie. Kiukweli sijawahi kujuta kuwepo humu na kufahamiana na yeyote humu. Nimepata marafiki wengi. Na wengine wamekuwa zaidi ya ndugu kwangu.

Kwa upande wa MMU kwa kweli nimepata mengi sana ya kujifunza. Zamani kidogo ilikuwa ngumu sana kuamini kama itawezekana kuishi na kuelewana na mtu ambaye hamjawahi kuonana hata kwa sura. Naweza kusema kuwa nimefahamiana na wengi humu na tumekuwa tukisaidiana, tukishauriana kwenye mambo mengi. Sasa kupitia MMU nimeamini kuwa jamii hii ya humu mtandaoni haina tofauti na hizi ambazo tuko nazo mitaani tuishipo.

Shukrani ziwafikie Mtambuzi, gfsonwin, snowhite, Dark City, Mentor, Heaven on Earth, KOKUTONA amu, Mwanyasi, YNNAH, Smile, Jiwe Linaloishi, AshaDii, Maxence Melo, watu8, Cantalisia, sweetlady, Preta, Mamndenyi, Madame B, Kijino, cacico, Asprin, @FP, Fixed Point, charminglady, Elizabeth Dominic, Kaunga, Zion Daughter, Arushaone, marejesho, Baba V, MMAHE, Asnam, christine ibrahim, Filipo, Remmy, Nivea, Ruhazwe JR, @c6, Kichwa mbovu, Kaizer, Husninyo ladyfurahia, BAK, nameless girl, @lara1 Arabela, Judgement, BAGAH, Erickb52, Crashwise, Mungi nitonye Kipaji Halisi, Lady doctor, Passion Lady, Ruttashobolwa, Sanctus Mtsimbe Bishanga, The secretary Rejao, n.k. Kwa kweli kutoka moyoni mwangu wanaotakiwa kushukuriwa ni wengi sana. Hao niliowataja ni wachache sana. Ambao sijawataja msidhani nimewasahu. Nikisemaniwataje wote humu basi hii post itakuwa ndefu sana.nawashukuru wote kwa pamoja.

Mungu ibariki Afrika, Mungu Ibariki Tanzania, Mungu ibariki JF, Mungu awabariki viongozi wa JF na members wote.

Asante kwa kushukuru...
 
Last edited by a moderator:
Naishukuru sana JF imenifanya nijue vitu vingi muhimu katika maisha yangu ya kila siku. Nilichogundua ni kwamba hapa Jf kuna watu ni wakarimu sana tena zaidi ya ukarimu wakawaida.

Wana MMU nawashukuru sana kwa ushauri wenu mlionipa pindi niliposalitiwa na Grace na sasa naendelea vizuri na maisha yangu yako vizuri bila stress yoyote.

Kwangu Jf Members wote ni ndugu maana tunasaidiana bila kubaguana.

Ingawaje sio mkongwe sana lakini naweza kusema kwa sasa Jf imekua sehemu ya Maisha yangu.

Mungu Ibariki Jf Mungu Wabariki wana Jf wote.
 
Back
Top Bottom