Ntemi Kazwile
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 2,182
- 309
Afadhali mimi line yangu ya Voda nilitupa zamani. Kumuunga mkono Rostam kwa namna yoyote ile ni UHAINI.
Kwa mim nilivyomuelewa MM hii ni kwa wanaharakati/watu wenye mapenzi mema na Tanzania
mana Vodacom imekaa kuisadia sisim by any means kutrace watu kujua nani yuko wapi na anafanya nini
hii kwa watu wote mpaka sisi kajamba nani au wanasiasa na watu maarufu?
Mkuu, usinikumbushe ya wakati uleee wa akina Osama Bin Laden kuwaambia waislamu waisusie PEPSI kwavile inatengenezwa Marekani!!! It didn't work at all! It can work only if kama rivals wa Voda nao watachaji the same rate pale unapompigia mtu wa VOda( I mean, Tigo to Tigo = Tigo to Voda) !!!It is too late now but not too late enough.. kama uko kwenye mapambano dhidi ya ufisadi na hauko tayari kusalimu amri, nakushauri kuachilia namba za simu za Vodacom ASAP. As a matter of fact, hamia "kwingine" within the next 72 hours (beginning Monday). Do it or be ready to live with the consequences.
Nilikuwepo.
M.M.
Kwa mim nilivyomuelewa MM hii ni kwa wanaharakati/watu wenye mapenzi mema na Tanzania
mana Vodacom imekaa kuisadia sisim by any means kutrace watu kujua nani yuko wapi na anafanya nini
Kama ni hivyo siyo wanaharakati tu bali hata ndugu zao na marafiki kama wana laini za Voda. Ikiwa mtu wa laini nyingine akimpigia mtu wa Voda mazungumzo yanafuatiliwa basi posti hii ilitakiwa iguse siyo wanaharakati tu bali hata wazalendo wengine pia. MM kichwa cha habari kisomeke: Wazalendo na wanaharaki: Ziacheni simu za Vodacom.
It is too late now but not too late enough.. kama uko kwenye mapambano dhidi ya ufisadi na hauko tayari kusalimu amri, nakushauri kuachilia namba za simu za Vodacom ASAP. As a matter of fact, hamia "kwingine" within the next 72 hours (beginning Monday). Do it or be ready to live with the consequences.
Nilikuwepo.
M.M.
hii signature yako ndo imenikamata zaidi.......Mwanamke Mjamzito LAZIMA Alifanya TENDO LA NDOA na Anayeona Bilioni Moja ni 'VIJISENTI' LAZIMA ni FISADI...]
Miaka sita iliyopita ndipo niliacha kutumia vodabom.
hata mtu akiwa kwenye line hiyo huwa simpigii kabisa wala sms.
Haya ndio tunaita maendeleo leo unawaambia wananchi wagomee huduma fulani za kampuni fulani kwa upotovu wako wa mawazo binafsi kesho unakuwa mwanaharakati wa kujaribu kuchangia maendeo na maoni , ndugu hatuwezi kufika baba dunia haiko hivi na hata hao walioendelea hawajawahi kutumia forums kuzuga watu na kuwalagai kama mwanakijiji ulivyofanya kwa post hii ulitakiwa kuchukuliwa hatua na jukwaa la jamiiforums kuomba msamaha kwa kampuni ya vodacom