Omary Ndama
JF-Expert Member
- Apr 16, 2017
- 3,367
- 4,072
All in all Vodacom tz Ni adui halisi wa mtanzania....





Dah! Miaka 10 imeshapita ni kipi hasa ulichokiona huko Vodacom Mzee?It is too late now but not too late enough.. kama uko kwenye mapambano dhidi ya ufisadi na hauko tayari kusalimu amri, nakushauri kuachilia namba za simu za Vodacom ASAP. As a matter of fact, hamia "kwingine" within the next 72 hours (beginning Monday). Do it or be ready to live with the consequences.
Nilikuwepo.
M.M.
👏👏👏Nafanya tuu rejea, kuna watu humu wanaonaga mbali! .
Paskali
Kumbe hawa wapuuzi voda wameanza kitamboIt is too late now but not too late enough.. kama uko kwenye mapambano dhidi ya ufisadi na hauko tayari kusalimu amri, nakushauri kuachilia namba za simu za Vodacom ASAP. As a matter of fact, hamia "kwingine" within the next 72 hours (beginning Monday). Do it or be ready to live with the consequences.
Nilikuwepo.
M.M.
Kaburi la miaka 10 limefukuliwa.
![]()
Huu mstari wa Pascal unaeleweka vyema? MwaikibakiWa TZ bwana....ina maana hadi sasa kuna ambaye hajui kosa la Voda ni lipi, haya tuendelee kujitoa akili ila yakikufika utaelewa!
1. Kama ni simu kusikilizwa kinyume cha sheria, mitandao yote iko monitored na wenye nchi, na sio hao tuu, bali mpaka mabwana wakubwa wa wenye nchi. Rule out sababu za kiusalama.
Hahaha hii ni 2009!!!! Ndio maana MM sipendi kumbishia kivilee ....Heshima mbele MMKJJ, kwanza nakushukuru kwa angalizo, ila hukutoa sababu ya angalizo hili. Mimi naamini issue sio gharama wala umiliki wa mafisadi.
ila sio tuu umetoa ushauri, bali pia umetoa tahadhari "Do it or be ready to live with the consequences". hii ikimaanisha yakishapita hayo masaa 72, yatatufika yakutufika.
Ushauri wangu ni kuwa naomba utusaidie kwanza sababu ambazo naamini ni za msingi, na pili sisi watu wa mazoea ambao hatuna mpango wowote wa kuhama voda, sio vibaya ukitujulisha yatakayo tukuta ili tuwe more prepared for the so called "be ready to live with the consequences".
Naomba na mimi niwape facts zangu,
1. Kama ni simu kusikilizwa kinyume cha sheria, mitandao yote iko monitored na wenye nchi, na sio hao tuu, bali mpaka mabwana wakubwa wa wenye nchi. Rule out sababu za kiusalama.
2. Naitumia sana voda hswa kwa mtandao, nakiri jamaa wako ghali sana, Zain wana 3.5 G wako faster, cheaper kuliko Voda, ila tatizo kwangu ni mazoea.
3.Nimesikia Zentel ndio the cheapest, hivyo kama kweli issue ni kuibiwa, watu washauriwe kujiunga Zentel.
Angalizo, wana JF lazima tuwe makini zaidi kwenye haya, tusijejikuta tunatumiwa bila sisi wenyewe kujijua katika vita vya biashara vya mafisadi, iwe ni mafisadi papa, nyangumi, ama hata visamaki vidogo mpaka vifisadi dagaa.