Wanaharakati: Ziachieni simu za VodaCom!

Wanaharakati: Ziachieni simu za VodaCom!

Nashukuru sana kwa hii post-nazani voda kwa sasa basi tena-enough is enough...
 
It is too late now but not too late enough.. kama uko kwenye mapambano dhidi ya ufisadi na hauko tayari kusalimu amri, nakushauri kuachilia namba za simu za Vodacom ASAP. As a matter of fact, hamia "kwingine" within the next 72 hours (beginning Monday). Do it or be ready to live with the consequences.

Nilikuwepo.

M.M.

Nachomoa line. Now.
 
haya ni mageni kwangu, ila poleni kwa wanaharakati yaliyowakuta
 
So ni bora TIGO!msinifikirie vibaya na maanisha mtandao wa vijana.
 
Tigo, ni Bomba! Nimesoma nimeelewa vizuri, sijui kwa nini watu wanapindisha pindisha maana ya thread? "Wanaharakati"...:A S check_03:
 
i think isue here must be a reason why should'nt. tutafika mahali kila kampuni itakuwa ya kifisadi. mbona mnakunywa bia. have you asked yourself who is the owner?
 
i think isue here must be a reason why should'nt. tutafika mahali kila kampuni itakuwa ya kifisadi. mbona mnakunywa bia. have you asked yourself who is the owner?
Mimi sitaki kabisa Voda
Kutumia Voda ni kuendelea kumuongeze fisadi RA utajiri, ambapo utajiri huo anautumia kuinflunce wachache wenye mamlaka ili aweze kuwanyonya wanyonge kama sisi (tu wengi kweli kweli) !!!!!

Mimi nikiwa kama mnyonge ninasusa kununua chochete kile kutoka kampuni ambazo RA, EL na Chenge ni shareholders
VODACOM ni mojawapo , to hell with their services

Hii ndo njia yangu ya kupinga ufisadi , wewe je ?

Nina hasira sana agrrrrrrr mhhhhhhhh
 
Mimi sitaki kabisa Voda
Kutumia Voda ni kuendelea kumuongeze fisadi RA utajiri, ambapo utajiri huo anautumia kuinflunce wachache wenye mamlaka ili aweze kuwanyonya wanyonge kama sisi (tu wengi kweli kweli) !!!!!

Mimi nikiwa kama mnyonge ninasusa kununua chochete kile kutoka kampuni ambazo RA, EL na Chenge ni shareholders
VODACOM ni mojawapo , to hell with their services

Hii ndo njia yangu ya kupinga ufisadi , wewe je ?

Nina hasira sana agrrrrrrr mhhhhhhhh

Basi Usilie Jikaze mpaka 2015 kura yako mpe Dr. Slaa :bowl:
 
Mzee Mwanakijiji

Please tujuze ni kwani nini unatuambia hivyo...................tuache line ze2 za Voda.

Weka Mambo hadharani tupate Elimika

Ni hayo 2
 
Basi Usilie Jikaze mpaka 2015 kura yako mpe Dr. Slaa :bowl:
Ahsante Ndugu yangu
Nimekumbuka jinsi Vodacom and the technical Team yao walivyotumiwa kwenye kampeni chafu zidi ya SLAA na sms za ukabila , udini na ..........

Alafu naona hata katika walipa kodi wakubwa hawamo wakati turnover yao ni kubwa kuliko makampuni yote ya simu , kuna wakati TTCL ndo walikuwa walipa kodi wakubwa miongoni wa makampuni ya Simu ???? wakati imechoka ile mbaya sijui hata nani atumia simu zao
lakini wanaongoza kwa kulipa kodi ????????

ROSTAM ROSTAM unauuuuuuuuuua unauuuuuuuuuuuuuua

jamani lipa hata Kodi basi

Ni kweli Elimu bure inawezekana , Voda tu walikipa VAT bila kuchakachue watalipia gharama zote za elimu


KWELI NINA KILA SABABU YA KUISUSIA VODA
 
Huwa nachukia post kama hizi ambazo zinaacha mambo hewani. Kama hutaki watu wajue sababu bora usibandike... M . M kakuheshimu sana ila hili bandiko usipolielezea halina sababu ya kuwepo hapa unless kama ni marketing strategy ya kampuni pinzani na voda. Until umemwaga sababu, I will ignore the post!
 
hii kwa watu wote mpaka sisi kajamba nani au wanasiasa na watu maarufu?

wenger bwana unafurahisha,sasa ww prof gan huwezi elewa.kama ww ni mwnaharakati na unatumia mtandao kwa confidentila isues za kiharakati basi upo hatarini,haijalishi kama ww ni kajamba nani au mheshimiwa!
 
Back
Top Bottom