Wanafunzi wa Sekondari Mpaka Chuo Kikuu: Pata Vitabu vya Masomo Mbalimbali Hapa

Wakuu,kama kuna mtu ana vitabu au internet sources au notes about importance of communication skills for students who studying bachelor of laws anaweza kunisaidia.
 
Kitabu cha Historia kwa Wanafunzi wa Kidato cha Tano - Sita

How Europe Underdeveloped Africa - Walter Rodney


View attachment 1879226
Hkiki kitabu sijawahi kukisoma lakini "title" yake tu inaonyesha hakina kitu cha maana sana. Watu tunajua kuwa tuliibiwa, huwezi tena kuanza kutueleza namna ambavyo tuliibiwa, hilo halina maana kwetu kwa sasa. La maana ni kwamba mtu anatakiwa atueleze mbinu za kujikwamua kutoka hapa tulipo, baada ya kuwa tumeibiwa. Hicho ndicho cha maana alichotakiwa kufanya mwandishi wa kitabu hiki
 
Hkiki kitabu sijawahi kukisoma lakini "title" yake tu inaonyesha hakina kitu cha maana sana. Watu tunajua kuwa tuliibiwa, huwezi tena kuanza kutueleza namna ambavyo tuliibiwa, hilo halina maana kwetu kwa sasa. La maana ni kwamba mtu anatakiwa atueleze mbinu za kujikwamua kutoka hapa tulipo, baada ya kuwa tumeibiwa. Hicho ndicho cha maana alichotakiwa kufanya mwandishi wa kitabu hiki
Kitabu hujakisoma lakini unakikandia? We ulisikia wapi?

Hiki ni kitabu cha Historia. Na Historia maana yake nini? Ni kumulika tulikotoka, tumefikaje hapa tulipo na tufanyeje ili kuwa na future nzuri bila kurudia makosa yale yale ya zamani.

Ni kitabu kizuri sanana kinachopendwa duniani kote - kwa wale waliokwishakisoma na kuona yaliyomo. Ndiyo maana mwandishi wake (Walter Rodney) aliuawa kwa kutegeshewa bomu kwenye gari huko kwao Guyana!
 
Vitabu mbalimbali vya kingereza
 

Attachments

  • Spoken English_ Flourish Your Language ( PDFDrive ).pdf
    5.1 MB · Views: 179
  • Writing Better English for ESL Learners ( PDFDrive ).pdf
    812 KB · Views: 168
  • English Grammar in Use Book with Answers and Interactive eBook.pdf
    6.1 MB · Views: 165
Back
Top Bottom