Man Mvua
JF-Expert Member
- Apr 12, 2016
- 2,184
- 3,517
Mkuu hata kama hauna PhD basi ujue umeelimika vya kutosha.Humu jf,kuna wengi ambao,wanataka yatokee mabaya kuhusu waislamu,wakiona mazuri ya waislamu,roho zinauma sana.Wataka waone "vijana wa kiislamu,wamejilipuwa", au wameuwa au wameuwawa.Uko Uzi wa mafisadi,toka jana kufikishwa Mahakamani,katika orodha ya mgao wa pesa wamo viongozi wa dini wasio waislamu,laiti katika mgao huo,angekuwako hata mwenye jina linalofanana na muislamu,ungeona jinsi uislamu,ungeshambuliwa,lakini mpaka waliogawana kwa sandarusi ni wao kwa wao.Lakini dini zao,wala viongozi wao wq dini hawakushtumiwa.Msio waislamu wajifunze,jinsi waislamu walivyo na upeo mkubwa,wa kuchambua mambo,kama kosa kafanya mtu,asihusishwe na dini yake,kabila yake wala rangi yake.