Wanafunzi wa Kitanzania wang'ara Marekani

Wanafunzi wa Kitanzania wang'ara Marekani

Kwahiyo kila wanaosoma Ivy Leage Colleges ni bora kuliko waliosoma vyuo vya kawaida? Mtoto wa Kikwete aliyepata Three Olevel ni bora kuliko mtoto aliyepata division one ya shule ya Kata kwa sababu tu Feza ni shule bora kitaifa?

Nina uhakika 100% hujaelewa swali ndiyo maana hujajibu zaidi ya kuleta porojo.
Nimeuliza unajua vigezo vya mtu kuingia Ivy League pamoja na sifa za kutunukiwa digrii?

Kweli cha mzungu kitamu sana. Zikianzishwa mada za UDSM ni bora kuliko vyuo vyote na Mzumbe, Ilboru, Tabora na Kibaha ni bora kwa shule za serikali, watu povu zito linawatoka.

Leta ushahidi ni lini nimetoa hilo povu.

Watu wako kimbelembele kusema Chenge kasoma Harvard ndo maana ni mpiga dili maarufu lakin hawasemi alisoma law UDSM first degree na hakuwa best student.

Hivi unaifahamu CV ya Andrew Chenge kama mwanafunzi wa Llb wakati anasoma pale UDSM ?
Au unahisi alienda kusoma pale Harvard kwa matokeo ya G.P.A tu?

Nabaki na msimamo wangu kuwa sio kila mtu mfupi ana hasira. Sio wazaramo wote wanapenda ngoma

Yeah, Opinions are like Assholes, everybody has one.
 
Tuache unafiki na tukubali ukweli kwamba wakina Jakaya Kikwete ndiyo wameharibu Elimu ya watoto wa mkulima hapa Tanzania kwa maksudi kabisa huku watoto wao wakienda kusoma shule za Kimataifa. (That's just disgusting)

Na wala hakuna mwenye fikra hasi ila utakuwa ni wewe ambaye aidha huelewi hali halisi ya nchi ilivyo:
Au unaelewa lakini umejitia Upofu kwasababu ni moja ya wanufaika wa mfumo wa kifisadi uliotawala hii nchi.

Labda nikuulize maswali madogo tu:
Hivi unategemea huyo Kikwete Jr hapo juu akija kuwa mkubwa atakuwa na tofauti yoyote na kaka yake Ridhiwani?
Riz unayemsema amesoma shule na vyuo vya kawaida. Unayoyasema ni maneno ya mtaani ambayo hayana ushahidi. Lakini pia tabia ya mtu haijalishi kasomea wapi au kazaliwa na nani. Acheni kutoa hukumu ya jumla ya kiuokoo au kifamilia maana hiyo ni dhambi mbaya sana katika Taifa lolote na inajenga chuki na visasi. Utanzania wa mtu hauchagui mali au umasikini wake. Huo ni ukweli mchungu. Kuna wenzetu ambao wametokea koo masikini lakini leo ndio hao wanaovuruga nchi lakini wapo watu wema tu kutoka koo za matajiri ama watawala. Unamtaja JK na familia yake kwa sababu za misimamo na hisia za kisiasa na ndio maana hutaji watoto wa Mbowe wanaokula kuku Majuu au watoto wa wakubwa wengine. Nimekua nikikemea watu wanaopost picha za watoto wa Mbowe wakitanua majuu maisha ya gharama na kuwaambia watu hao watoto munawaonea bure acheni wajitegemee muone wataishije. Wengi hugeuka kuwa watu wema na Wazalendo zaidi na masikini wenzetu wakiingia wanakula bila kunawa na bila kusaza. Tubadilike Watanzania tuache HUKUMU ya jumlajumla (mob justice)
 
Riz unayemsema amesoma shule na vyuo vya kawaida. Unayoyasema ni maneno ya mtaani ambayo hayana ushahidi. Lakini pia tabia ya mtu haijalishi kasomea wapi au kazaliwa na nani. Acheni kutoa hukumu ya jumla ya kiuokoo au kifamilia maana hiyo ni dhambi mbaya sana katika Taifa lolote na inajenga chuki na visasi. Utanzania wa mtu hauchagui mali au umasikini wake. Huo ni ukweli mchungu. Kuna wenzetu ambao wametokea koo masikini lakini leo ndio hao wanaovuruga nchi lakini wapo watu wema tu kutoka koo za matajiri ama watawala. Unamtaja JK na familia yake kwa sababu za misimamo na hisia za kisiasa na ndio maana hutaji watoto wa Mbowe wanaokula kuku Majuu au watoto wa wakubwa wengine. Nimekua nikikemea watu wanaopost picha za watoto wa Mbowe wakitanua majuu maisha ya gharama na kuwaambia watu hao watoto munawaonea bure acheni wajitegemee muone wataishije. Wengi hugeuka kuwa watu wema na Wazalendo zaidi na masikini wenzetu wakiingia wanakula bila kunawa na bila kusaza. Tubadilike Watanzania tuache HUKUMU ya jumlajumla (mob justice)
Unahitaji ushahidi gani kujua kama Jakaya Kikwete na genge lake la Wahuni wamechangia kuharibu Elimu ya mtoto wa Mkulima nchini Tanzania?

Ni mara ngapi Jakaya Kikwete ametuletea mitahala mibovu kabisa ya Elimu?

Umeviona vitabu ambavyo watoto wa Shule za Sekondari wanavisomea? Umesoma kilichoandikwa humo ndani?

Tangu lini mtoto anafika Kidato cha Kwanza bila kujua kusoma na kuandika?

Then came The Big Results now.
And the list goes on.

Unataka ushahidi gani zaidi ya huu?
Au unahisi kwamba Jakaya Kikwete anaonewa kwasababu za Kisiasa?

Disgusting!
 

Hakuna Mwislamu Geniuos Katika Hii Dunia......Magenious ni Wakristu .....Hata vyote tunavyotumia vimegunduliwa na Wakristu....!
Ikikuuma Andamana!

Pole kaisome quraani kwa kiswahili utajua hao waliogundua yote yalitoka kwenye quraan miaka hiyo
 
Unahitaji ushahidi gani kujua kama Jakaya Kikwete na genge lake la Wahuni wamechangia kuharibu Elimu ya mtoto wa Mkulima nchini Tanzania?

Ni mara ngapi Jakaya Kikwete ametuletea mitahala mibovu kabisa ya Elimu?

Umeviona vitabu ambavyo watoto wa Shule za Sekondari wanavisomea? Umesoma kilichoandikwa humo ndani?

Tangu lini mtoto anafika Kidato cha Kwanza bila kujua kusoma na kuandika?

Then came The Big Results now.
And the list goes on.

Unataka ushahidi gani zaidi ya huu?
Au unahisi kwamba Jakaya Kikwete anaonewa kwasababu za Kisiasa?

Disgusting!
Unamzungumzia JK kama Rais mwenye mfumo wenye watendaji na sio Jakaya kama binadamu lakini sio watoto ambao bado hawajafanya kazi popote. Mada hapa ni watoto wa shule ya Feza akiwamo mtoto wa JK, angalieni sana na nyie muna watoto ama muna ndugu. Tusihukumu watoto kwa makosa ya wazazi wao. Watoto wa wahalifu hawawezi kuwa wahalifu. Acheni kufikiri kwa jazba na jumlajumla. Kabla ya kumsema vibaya mwenzako jitizame wewe na familia yako. Tizama ndani ya familia yako na vizazi vyenu kama hakuna wakosaji na kama makosa yao yanaweza kuwa yenu nyote. Hata hivyo, leo hii ukimtukana JK ww unakua si mtu mwenye macho ya kuona kuwa anayo mema mengi aliyotufanyia kama Taifa ikiwamo hata kutuletea JPM tunayejivunia sasa. Bila JK Lowassa angekua Rais.
 
Acheni kufikiri kwa jazba na jumlajumla. Kabla ya kumsema vibaya mwenzako jitizame wewe na familia yako. Tizama ndani ya familia yako na vizazi vyenu kama hakuna wakosaji na kama makosa yao yanaweza kuwa yenu nyote.

Tina bwana!
Hivi kweli unalinganisha makosa ambayo Baba yangu asiye na ushawishi wowote anaweza kuyafanya:
Na yale ambayo Mkuu wa Nchi, Amri Jeshi Mkuu na Mkuu wa Serikali ya Tanzania anaweza kuyafanya ?
Hivi huoni Utofauti Mkubwa hapo?

Baba yangu Mzazi akifanya Makosa ni dhahiri yataniathiri mimi binafsi na baadhi ya wana ukoo.
Jakaya Kikwete alifanya makosa ambayo yameathiri mwelekeo wa taifa zima lenye watu zaidi ya Milioni Hamsini na Ushee.

Katika hili mfano wako hauna mashiko kabisa.
(A Very Wrong Analogy)

Hata hivyo, leo hii ukimtukana JK ww unakua si mtu mwenye macho ya kuona kuwa anayo mema mengi aliyotufanyia kama Taifa ikiwamo hata kutuletea JPM tunayejivunia sasa. Bila JK Lowassa angekua Rais.

Mosi, Sijamtukana Jakaya Kikwete au labda unioneshe ni hilo tusi.
Pili, Inawezekana Jakaya Kikwete amefanya mazuri lakini siyo katika hili la Sekta ya Elimu.
Tatu, Nani amekuambia Jakaya Kikwete ndiye ametuletea Raisi John Magufuli?
 
Back
Top Bottom