babu na mjukuu
JF-Expert Member
- Jun 23, 2016
- 3,822
- 6,514
Douh..!!!!?Mbona husemi kama ilikuwa ni event ya waislam!??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Douh..!!!!?Mbona husemi kama ilikuwa ni event ya waislam!??
Hahaha,mkuu umenifurahisha sana..Ila no way outKwa sie tuaolea watoto wetu kwa kula ugali na ngogwe kupenya hizi anga ni ndoto...
Huko hakuna kubebwa ili kuvutia shule za watakatifuMbona husemi kama ilikuwa ni event ya waislam!??
HAWA SIYO WATANZANIA, tupeleke watanzania kutoka kishumundu na katavi secondary school kisha tuone majibuWote watoto wa kishua..Ingekuwa vijana kutoka sitimbi hapo sawa!
hawa sio watanzania hawa ni vijana wenye mfano wa watanzania mtanzaania yuko kayumbaBaadhi ya wanafunzi wa shule ya kimataifa Feza wakiwa na furaha nchini Marekani baada ta kushinda medali za dhahabu kwenye mashindano ya Genius Olympiad. Kushoto ni Abdulrazak Juma Mkamia wa pili Rashid Jakaya Kikwete na watatu ni Abdalah Rubeya yaliyoshirikisha nchi zaid 63 duniani huko Marekani juzi.
View attachment 527368View attachment 527369View attachment 527370View attachment 527368View attachment 527369
Hizo shule tuliambiwa na rais wa Uturuki zinafadhili Ugaidi nchini kwake na akaomba hapa zifungwe na Kule Rwanda zote zimefungwa kwa sababu Uturuki ndio wanaojenga ile reli ya standard,kwa hiyo kama mtoto wa mzee wetu pendwa anasoma hizo shule nijiuliza sipati jibu!!!Hongera sana kwao. Mtoto anasoma Feza anakosaje kuwa vizuri.
hao wa kike ni wanafunzi au walimu?
Mwanaasha ni rafiki wa jeesika.
Kazi ipoMbona husemi kama ilikuwa ni event ya waislam!??
Dingi zao walifanya kolabo wakauza nyumba za serikali.
Acha chuki kwa matajiri jamaaWote watoto wa kishua..Ingekuwa vijana kutoka sitimbi hapo sawa!
Dingi zao walifanya kolabo wakauza nyumba za serikali.
Walitumia DNA za watoto wao.
haya mashindano yalihusisha waafrika tu au,, huko Marekani na Ulaya hawakutoa washiriki?