babu na mjukuu
JF-Expert Member
- Jun 23, 2016
- 3,949
- 6,752
Hata ushoga wamegundua wao
Hakuna Mwislamu Geniuos Katika Hii Dunia......Magenious ni Wakristu .....Hata vyote tunavyotumia vimegunduliwa na Wakristu....!
Ikikuuma Andamana!
Hata ushoga wamegundua wao
Hakuna Mwislamu Geniuos Katika Hii Dunia......Magenious ni Wakristu .....Hata vyote tunavyotumia vimegunduliwa na Wakristu....!
Ikikuuma Andamana!
Ngogwe umenikumbusha morogoro samaki wa mtoni mwenyewe miba kama mtiKwa sie tunaolea watoto wetu kwa kula ugali na ngogwe kupenya hizi anga ni ndoto...
Kwa sie tunaolea watoto wetu kwa kula ugali na ngogwe kupenya hizi anga ni ndoto...








Mmmh yashakuwa haya
Hakuna Mwislamu Geniuos Katika Hii Dunia......Magenious ni Wakristu .....Hata vyote tunavyotumia vimegunduliwa na Wakristu....!
Ikikuuma Andamana!
Tunajishusha saaana alafu tukidharauliwa tunalalama ... daahh kuna mawazo yanasikitisha hadi unaweza kulia aseeeNa ndiyo maana waafrika huongoza kulalamika kubaguliwa.
Acha udini mkuuMbona husemi kama ilikuwa ni event ya waislam!??
Naskia ada 4 M tsh!HIVI USOME FEZA NA BADO UWE PUNGU
How!?Acha udini mkuu
Naskia ada 4 M tsh!
Mnhh..... Basi hatariii....
MBONA NILISIKIA NI MILLIONI 7?
Mnhh..... Basi hatariii....
Kwa maoni yangu hawa ni wanafunzi wenye uwezo wa kawaida...walioandaliwa mazingira mazuri ya kusomea....neno genious sio la mchezo mchezo....hao ni Mungu mwenyewe anawaletaga.....hawatengenezwi na mkono wa binadamu...
YEAH NILISIKIA MILLION 7, MBONA NDOGO MKUU.. CHEKI ADA ZA INTERNATIONAL SCHOOL OF TANGANYIKA UTADUWAA.. HALAFUKUNA ILE YA BUKOBA, KAIZEREGE
Dahhh... Hatari.. Kufru hizii..