pecial
JF-Expert Member
- Apr 4, 2017
- 735
- 556
asante kwa ushirikiano
asante kwa ushirikiano
Kaka hapo ni Abdulrahman kinanaAmbae hajaonekana kwenye picha ni Japhet Abdulaman Kinana. Hakuna ambae ni Mwakalift
Tuko pamojaasante kwa ushirikiano
Roho imekuuma kuona majina ya WAISLAM.
Genius Olmpiad siyo event ya Waislam.
Na ndiyo maana waafrika huongoza kulalamika kubaguliwa.Hivi maskini ndio wenye hati miliki ya hii nchi ???? ..
mbona watu mnakuwa na mawazo ya kimaskini hiviiii ????..
Yaani watanzania kuwa maskini ni ufahari fulani na ndio maana hatuendelei yaani tunaamini maskini akifanya kitu ndio wa kupongezwa kwa kuwa hakutarajiwa lakini vipi kwa mashindano ya nchi nyingi napo tunataka kuweka hii mitazamo ya kipuuzi
Yaani kwa sababu ni watoto wa matajiri bhasi hawatakiwi kushangiliwa kwa kuibeba bendera ya Taifa lao... Huu ni upunguwani
Hao magenius wakianza kuowana zile ndoa zao tena kwenye nyumba zao za ibada huwa mnawakataa hao.
Hakuna Mwislamu Geniuos Katika Hii Dunia......Magenious ni Wakristu .....Hata vyote tunavyotumia vimegunduliwa na Wakristu....!
Ikikuuma Andamana!
Humu jf,kuna wengi ambao,wanataka yatokee mabaya kuhusu waislamu,wakiona mazuri ya waislamu,roho zinauma sana.Wataka waone "vijana wa kiislamu,wamejilipuwa", au wameuwa au wameuwawa.Uko Uzi wa mafisadi,toka jana kufikishwa Mahakamani,katika orodha ya mgao wa pesa wamo viongozi wa dini wasio waislamu,laiti katika mgao huo,angekuwako hata mwenye jina linalofanana na muislamu,ungeona jinsi uislamu,ungeshambuliwa,lakini mpaka waliogawana kwa sandarusi ni wao kwa wao.Lakini dini zao,wala viongozi wao wq dini hawakushtumiwa.Msio waislamu wajifunze,jinsi waislamu walivyo na upeo mkubwa,wa kuchambua mambo,kama kosa kafanya mtu,asihusishwe na dini yake,kabila yake wala rangi yake.Roho imekuuma kuona majina ya WAISLAM.
Genius Olmpiad siyo event ya Waislam.
Wameambiwa mpaka Marekani wapeleke ushahidi kama zina husika na ugaidi,mpaka leo Uturuki hawajapeleka ushahidi,na wamebaki kimya.Wapeleke ushahidi ili wakabidhiwe mmiliki wa shule,mwaka umekwisha hakuna,ushahidi wowote.Hizo shule tuliambiwa na rais wa Uturuki zinafadhili Ugaidi nchini kwake na akaomba hapa zifungwe na Kule Rwanda zote zimefungwa kwa sababu Uturuki ndio wanaojenga ile reli ya standard,kwa hiyo kama mtoto wa mzee wetu pendwa anasoma hizo shule nijiuliza sipati jibu!!!
Ngogwe ndo nin mkuuKwa sie tunaolea watoto wetu kwa kula ugali na ngogwe kupenya hizi anga ni ndoto...
Acha siasa mkuu kwenye mambo ya msingi na ukiwa hivyo utakufa masikini cha msingi mind your own business.Hizo shule tuliambiwa na rais wa Uturuki zinafadhili Ugaidi nchini kwake na akaomba hapa zifungwe na Kule Rwanda zote zimefungwa kwa sababu Uturuki ndio wanaojenga ile reli ya standard,kwa hiyo kama mtoto wa mzee wetu pendwa anasoma hizo shule nijiuliza sipati jibu!!!
Asiyenacho hata kile kidogo alichonacho atanyang'anywa.(biblia)aliyenacho anaongezewa zaidi.
Ujinga ulionao ukifa nao basi utakuwa umekufa kifo kibaya kupata kutokea Duniani. Na pole sana kwa UJINGA level ya PhD.
Hakuna Mwislamu Geniuos Katika Hii Dunia......Magenious ni Wakristu .....Hata vyote tunavyotumia vimegunduliwa na Wakristu....!
Ikikuuma Andamana!