wewe si ulisema unaoa baamedi bwana?ndo kaleta matatizo?mimi sina experiece na mabaamaid siwezi kukushauri mkuu
baamedi sio mchezo mkuu asubui tu breakfast mchemsho na lager kret mbilimmeanza hivyo!
nOna hii thread inadhalilisha wanawake
DUUU! inaonekana uko hasira eeh!! tukana mwaya ndo hasira zitaisha other wise utapasuka!!! chezea baamedi ww!!usinilazimishie ban. kama hutaki kuchangia kaa pembeni hujaitywa. afterall nimewaomba wanawake, we mwanamke? au hujui jinsia yako. au unabembeleza urafik kwa wanawake wa humu kupitia hii thred. usinilazimishe kuandika zaidi.
wewe si ulisema unaoa baamedi bwana?ndo kaleta matatizo?mimi sina experiece na mabaamaid siwezi kukushauri mkuu
Sijui ni area ipi of concentration, pengine inahitaji wajuvi zaidi. Loh.....
kiritimba
17th November 2011 17:56
#1 JF Senior Expert Member Array
Join Date : 18th August 2011
Posts : 386
Rep Power : 21
Nimeamua kuoa baa medi
Kila mwanamke ninayekuwa naye tukifika mahali nagundua kuwa hatanifaa kwa kuoa kutokana na tabia zao...wengi hawatulii. Nimejaribu kila aina kuanzia wasomi wa elimu ya juu, warembo, wenye fedha....n.k; lakini wote wana matatizo mengine tofauti, mengine yanafanana. Kiufupi hawafai kuwa MKE.
Sasa jamaa yangu yeye alichukua baamedi kipindi kile tunaenda kwenye kilaji, akakolea akavuta kitu ndani. Yaani wana maisha ya raha ile mbaya. Hadi sasa wana watoto wawili na maisha yao yanaendelea raha mustarehe...hawajawahi kugombana wala kuzozana hata siku moja. Ni heshima na upendo kwa kwenda mbele.
Mshikaji amenishauri nami nivute baamedi nifanye kama yeye. Tayari kuna kitu kimoja kwenye baa moja maarufu sana hapa mjini nakivizia. Kikiingia laini tu nakiweka ndani.
POLE SANA TAREHE 17NOVEMBER 2011 NA LEO TAREHE 23 NOVEMBER2011 WIKI MOJA YAMEKUSHINDA ...LOL
Sijui ni area ipi of concentration, pengine inahitaji wajuvi zaidi. Loh.....
ndugu yangu hapa kuna mawili.......kumbuka ID zinazotumika hazionyeshi jinsia.....
labda wewe mwenyewe ungeamua kumPM yule ambae unaona umeridhika nae....
Hili nalo neno, asijekuwa kama yule jamaa walomkwanyulia mkwanja wake!!!
baamedi sio mchezo mkuu asubui tu breakfast mchemsho na lager kret mbili