Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,682
Lol, afu yule jamaa hajaitumia tena ile id yake, nafikiri ameamua tu kukubali yaishe...na ukata huu utapeliwe malaki mawili?? Hatasahau milele asee.
heheh jamaa alifanywa hakuna na kiherehere chake, alafu na yule aliyetafuna hizo pesa nae dah.......!! Hahahahaaa hilo tukio lilinichekesha sana, jf watu wako vere siriaz kazini lol!! Yani unahesabu laki ya 1, ya 2 loh, kama alikopa kweli hatasau aseee!