Wana MMU wakike msaada pliiziii!

Hili nalo neno, asijekuwa kama yule jamaa walomkwanyulia mkwanja wake!!!
Lol, afu yule jamaa hajaitumia tena ile id yake, nafikiri ameamua tu kukubali yaishe...na ukata huu utapeliwe malaki mawili?? Hatasahau milele asee.
 
Duhh nimechelewa pole kwa yote .
Kama bado unataka wa kuongea naye
Ni dondoshe PM. Take care .
 
usinilazimishie ban. kama hutaki kuchangia kaa pembeni hujaitywa. afterall nimewaomba wanawake, we mwanamke? au hujui jinsia yako. au unabembeleza urafik kwa wanawake wa humu kupitia hii thred. usinilazimishe kuandika zaidi.

mkuu mbona una hasira sana?kwani alichoandika kikakufanya utoe povu hivyo ni nini?
 
Hehehe, ntakuingiza chaka hutaamini best! Sasa kama mke kakushinda, si itabidi utumie small house formula ya The Boss?
na mimi naomba ni ku PM,nina matatizo na mke wangu wa 30 years.
nalog off (source:Washawasha)
 
Nina matatizo makubwa sana ambayo nisingependa kuyaanika hapa upenuni. Naomba ridhaa ya mwanajf yoyote yule wakike anipm ili aweze kunisaidia tafadhali.

angalizo: huu si utani, nipo siriaz nina matatizo.
matusi na kejeli yatapuuzwa.
karibuni sana.

Una lako jambo la kifataki kwani mtaani kwenu hawapo?
 
Back
Top Bottom