FiQ
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 477
- 76
Samahani wakuu
naomba nichukue muda wenu kidogo kuwashukuru kwa kazi nzito mnayofanya na kuwapa pole .. Dhumuni ya kuandika hii thread
ni kuhusiana na thread iliyofunguliwa na mwanajamvi mwenzetu VIKWAZO.. (saidia Mtanzia mwenzetu anateseka) weli wengi tumeisoma na imetugusa sana na kuna wanajamvi ambao tuko tayari kujitolea kidogo tulicho nacho. Ila tatizo hakuna wakukusaya.
Waheshimiwa tungeomba sana muda wenu kidogo mtu tekelezee hili ( Kukusanya hizo fedha) Hata kama hazitatosha kwa hospitali lakini zitamsaidia kwa sukari ..... Inapendeza sana kuona wana JF tunajitolea kwa moyo na kumsaidia Mtanzania mwenzetu.. anaye taka kujionea na kusoma link hii hapa..
https://www.jamiiforums.com/habari-...mtanzania-mwenzetu-anateseka.html#post2209158
Asanteeni sana wakuu Tunaomba sana tena sana Na samahani kwa usumbufu...
Kwa watakao penda kuchangia directly Iko kwenye article ya gazeti la mwananchi :
Anayetaka kumsaidia awasiliane kwa namba 0786272409 au 0655304336
Article yenyewe hii hapa
http://www.mwananchi.co.tz/makala/-/...aidieni-jamani.
UPDATE:
- Kijana amefikishwa KCMC asubuhi hii kwa msaada mkubwa wa Mhe. Hood wa Mogorogoro ambaye amejitolea kugharimia mitibabu.
- Hadi hivi sasa haijajulikana bado gharama zote za matibabu zikuwa ni kiasi gani na kama matibabu hayo yanaweza kufanyika hapa nchini au la
- Familia ya Abbas ni maskini kwa maana ya neo "maskini" na hivyo pamoja gharama hizo bado kutakuwa na mzigo mkubwa kwa familia.
- Kampuni ya Mwananchi ambao wamekuwa wakicoordinate suala hili wanafanya mpango wa kuweza kufundua Abdallah Abbas Medical Fund ya kusaidia gharama za matibabu na nyingine kwa familia. Endapo litafanikiwa hili mapema leo au siku chache zijazo itakuwa ni njia rahisi ya kuweza kuchangia kutoka sehemu yoyote duniani.
Asante kwa update nawasiliana na hizo namba niweze kutupia chochote