Samahani wakuu
naomba nichukue muda wenu kidogo
kuwashukuru kwa kazi nzito mnayofanya
na kuwapa pole ..
Dhumuni ya kuandika hii thread
ni kuhusiana na thread iliyofunguliwa
na mwanajamvi mwenzetu VIKWAZO..
(saidia Mtanzia mwenzetu anateseka)
kweli wengi tumeisoma na imetugusa sana
na kuna wanajamvi ambao tuko tayari kujitolea
kidogo tulicho nacho. Ila tatizo hakuna wakukusaya.
Waheshimiwa tungeomba sana muda wenu kidogo
mtu tekelezee hili ( Kukusanya hizo fedha)
Hata kama hazitatosha kwa hospitali lakini zitamsaidia kwa sukari
..... Inapendeza sana kuona wana JF
tunajitolea kwa moyo na kumsaidia Mtanzania mwenzetu..
anaye taka kujionea na kusoma link hii hapa..
https://www.jamiiforums.com/habari-...mtanzania-mwenzetu-anateseka.html#post2209158
Asanteeni sana wakuu
Tunaomba sana tena sana
Na samahani kwa usumbufu...
AD.....
mbona nimeona kwenye gazeti la mwananchi la leo,page 3,kuwa tycoon wa Morogoro,mzee Hood amejitolea kwa gharama zote..yule mzee nimeshabahatika kukutana nae,ni mkarimu mno..Mungu amzidishie
Muanzisha thread afanye utaratibu wa kuwasiliana na wahusika ikiwezekana watupatie namba ya account au Mpesa/Tigo Pesa/Zpesa nk ili tuchangie kidogo tulichonacho
Samahani wakuu
naomba nichukue muda wenu kidogo
kuwashukuru kwa kazi nzito mnayofanya
na kuwapa pole ..
Dhumuni ya kuandika hii thread
ni kuhusiana na thread iliyofunguliwa
na mwanajamvi mwenzetu VIKWAZO..
(saidia Mtanzia mwenzetu anateseka)
kweli wengi tumeisoma na imetugusa sana
na kuna wanajamvi ambao tuko tayari kujitolea
kidogo tulicho nacho. Ila tatizo hakuna wakukusaya.
Waheshimiwa tungeomba sana muda wenu kidogo
mtu tekelezee hili ( Kukusanya hizo fedha)
Hata kama hazitatosha kwa hospitali lakini zitamsaidia kwa sukari
..... Inapendeza sana kuona wana JF
tunajitolea kwa moyo na kumsaidia Mtanzania mwenzetu..
anaye taka kujionea na kusoma link hii hapa..
https://www.jamiiforums.com/habari-...mtanzania-mwenzetu-anateseka.html#post2209158
Asanteeni sana wakuu
Tunaomba sana tena sana
Na samahani kwa usumbufu...
AD.....
mbona nimeona kwenye gazeti la mwananchi la leo,page 3,kuwa tycoon wa Morogoro,mzee Hood amejitolea kwa gharama zote..yule mzee nimeshabahatika kukutana nae,ni mkarimu mno..Mungu amzidishie
wazo zuri. hata hivyo nimeshangaa kukuona huku kwenye politiki nikataka kujua wasap. kumbe ni haya. sasa tunamsaidiaje?Samahani wakuu
naomba nichukue muda wenu kidogo
kuwashukuru kwa kazi nzito mnayofanya
na kuwapa pole ..
Dhumuni ya kuandika hii thread
ni kuhusiana na thread iliyofunguliwa
na mwanajamvi mwenzetu VIKWAZO..
(saidia Mtanzia mwenzetu anateseka)
kweli wengi tumeisoma na imetugusa sana
na kuna wanajamvi ambao tuko tayari kujitolea
kidogo tulicho nacho. Ila tatizo hakuna wakukusaya.
Waheshimiwa tungeomba sana muda wenu kidogo
mtu tekelezee hili ( Kukusanya hizo fedha)
Hata kama hazitatosha kwa hospitali lakini zitamsaidia kwa sukari
..... Inapendeza sana kuona wana JF
tunajitolea kwa moyo na kumsaidia Mtanzania mwenzetu..
anaye taka kujionea na kusoma link hii hapa..
https://www.jamiiforums.com/habari-...mtanzania-mwenzetu-anateseka.html#post2209158
Asanteeni sana wakuu
Tunaomba sana tena sana
Na samahani kwa usumbufu...
AD.....
Siitaji asante yako nahitaji nione ushachangia pesa ngapi juhudi zako zikoje kutatua matatizo haya otherwise utakuwa unatafuta umaarufu
Mbunge wa Babati Mjini ni Mhe. Kisyeri Werema Chambiri. Na ya simu ni 0784 388440.
pata maelezo zaidi kwenye link hii https://www.jamiiforums.com/habari-na-hoja-mchanganyiko/153553-muhimu-soma-saidia-mtanzania-mwenzetu-anateseka.html#post2209158
Tunajaribu kuwasiliana naye au nduguZake wa karibu .. tupe muda kidogotutaleta info zote... asante sana..Huyu bwana yupo wapi sasa? Ndugu zake mpaka sasa wamefanya mipango yeyote? Kama kuna information yeyote ile kwa wale wanamsaidia tupate hizi inform ili wale wanaotaka kumsaidia tufanye hivyo. I am sure huyu ndugu anahitaji huduma ya hosp na kikubwa apate msaada wa medical. Tunajua kuna wananchi duniani kote wanataka kuwa-involve na kutoa msaada. Lets work to help this gentleman.
thanx for update mamii.Update juu ya page ..Asanteni
Update juu ya page ..
Asanteni