Blaki Womani
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 11,229
- 13,431
Nafunga kunywa beer wiki hii ili Abbas apate matibabu samahani TBL
Nimeongea na TBL wameruhusi msamaha kwa miezi 3
Nafunga kunywa beer wiki hii ili Abbas apate matibabu samahani TBL
Nimeongea na TBL wameruhusi msamaha kwa miezi 3
hahahahahah lohhh
safi sana .....
Afrodenzi umeifanyia hii kazi nzuri sana. Safi sana...may u be blessed...
@afrodenzi, nimeahidi mchango wangu kwa muheshiwa hapo juu mwenye namba 0713444649. ila nipo moshi kwasasa kama kuna maelekezo unaweza nipatia jinsi ya kwenda kcmc kumuangalia mgonjwa. vile vile nikupongeze kwa kazi hii nzuri uliyoifanya.
mimi siwezi sema tena kitu chochote ila mchango unanihusu sana tu,
kusema kweli najisikia kama huyo ni kaka yangu amelazwa hospitali
anyway niko katika mchakato wa kukamilisha ahadi yangu
AD na MAX MELO MUNGU awabariki
Naomba sana tena sana
uzidi kukumbuka
haya yote yasinge tokea
kama si wewe kutuletea taarifa..
Daima tutakushukuru wewe kwa hili..
sante sana Vikwazo..
AD
Thanks AD, naona nimezingirwa na hizi kazi huku niliko kwa muda ila nimeongea na shemeji yako afanye MPESA haraka!, Mungu atamsaidia huyu kijana! Ahh!
Itakuwa vema JF tukianza kuongeaKwa vitendo..Sante mpendwa tuko pamoja..God Bless..
Asante, sana mimi najitolea kutoa damu lita moja kundi langu ni ORH+ kama sijakosea. Namba yangu ni 0755 557094 any time, kama jf doctor yupo anipe maelekezo even kwa sms.