Wana JF tumsaidie kijana huyu!

Wana JF tumsaidie kijana huyu!

Status
Not open for further replies.
naomba sana tena sana
uzidi kukumbuka
haya yote yasinge tokea
kama si wewe kutuletea taarifa..
Daima tutakushukuru wewe kwa hili..

Sante sana vikwazo..
Ad

vipi kuna update zozote mpaka sasa ndugu
 
MPAKA SASA: Tumeshapokea TZS 125,000/= (hata michango iliyokuja kuisaidia JF imeunganishwa)
Watakaochangia zaidi list itawekwa chini hapa, tujitahidi kufikia mwisho wa juma hili tuwe tumewasilisha.

====================
Michango kuanzia Julai 18, 2011

  1. Chakaza - TZS 50,000/=
  2. Kilewo - TZS 50,000/= (kapeleka mwenyewe)
  3. SOMEONE - $100.00
  4. Arabian Falcon - TZS 50,000
  5. Maxence Melo - TZS 100,000
  6. Fidel80 - TZS 30,000
  7. Hakutoa ID - TZS 25,000
  8. Hakutoa ID - TZS 30,000
  9. BAK - TZS 23,000 (hazijachukuliwa, will confirm)
  10. afrodenzi - USD 158.00
  11. Aine - TZS 20,000
  12. First Born - TZS 10,000
  13. SOMEONE - USD 47.00 (30GBP)

Wakuu, ningependa wahusika warekebishe hiyo jumla ya fedha yote ambayo imeshakusanywa, maana mchanganuo wa kiashi kilichochangwa na mtu mmoja mmoja jumla yake hailingani kabisa na kiasi kilichooneshwa kwamba ndio jumla ya fedha iliyokusanywa.

Tuko pamoja!
 
vipi kuna update zozote mpaka sasa ndugu

Mgonjwa anawasalimu sana JF members ....... anawashukuru sana kwa michango yetu niliweza kuwasilisha shilingi 500,000/= tarehe 27/07/2010 ambazo nilikabidhiwa na Maxence.... amefurahi sana anaomba tuzidi kumwombea aweze kupona.....bado haijajulikana tarehe rasmi ya kufanyiwa operation............ msaada huo ni kwa ajili ya mahitaji ya chakula pamoja na matumizi mengine.
AD hongera sana kwa kututia moyo wa kuweza kumsaidia kijana Abas
 
Mgonjwa anawasalimu sana JF members ....... anawashukuru sana kwa michango yetu niliweza kuwasilisha shilingi 500,000/= tarehe 27/07/2010 ambazo nilikabidhiwa na Maxence.... amefurahi sana anaomba tuzidi kumwombea aweze kupona.....bado haijajulikana tarehe rasmi ya kufanyiwa operation............ msaada huo ni kwa ajili ya mahitaji ya chakula pamoja na matumizi mengine.
AD hongera sana kwa kututia moyo wa kuweza kumsaidia kijana Abas

Asante sana kwa taarifa,Mungu akupe nguvu pia
 
Siamini kama zinamfikia mlengwa kweli kutaka msaada ndo udraft smas kitaalamu hvo si buree ,i daught
 
UPDATE:
- Kijana amefikishwa KCMC asubuhi hii kwa msaada mkubwa wa Mhe. Hood wa Mogorogoro ambaye amejitolea kugharimia mitibabu.
- Hadi hivi sasa haijajulikana bado gharama zote za matibabu zikuwa ni kiasi gani na kama matibabu hayo yanaweza kufanyika hapa nchini au la
- Familia ya Abbas ni maskini kwa maana ya neo "maskini" na hivyo pamoja gharama hizo bado kutakuwa na mzigo mkubwa kwa familia.
- Kampuni ya Mwananchi ambao wamekuwa wakicoordinate suala hili wanafanya mpango wa kuweza kufundua Abdallah Abbas Medical Fund ya kusaidia gharama za matibabu na nyingine kwa familia. Endapo litafanikiwa hili mapema leo au siku chache zijazo itakuwa ni njia rahisi ya kuweza kuchangia kutoka sehemu yoyote duniani.

UPDATE:
Maxence atapokea michango yote ya wana Jamii Forums.
Na ata toa report baada ya kupokea michango ...
Kwa anaye taka kuwasiliana na Maxence directly ..
Number hii hapa +255713444649 ...(
0713444649 )

KUCHANGIA:
M-PESA: +255 755 642929
ZAP: +255 784 526 444
BANK: CRDB - Acc # 01J2092391800 - Maxence M. Melo
CREDIT Cards:
https://www.jamiiforums.com/payments.php
PayPal, send to: mwanakijiji@klhnews.com


MPAKA SASA: (hata michango iliyokuja kuisaidia JF imeunganishwa)
Watakaochangia zaidi list itawekwa chini ...


====================
Michango kuanzia Julai 18, 2011


  1. Chakaza - TZS 50,000/=
  2. Kilewo - TZS 50,000/= (kapeleka mwenyewe)
  3. SOMEONE - $100.00
  4. Arabian Falcon - TZS 50,000
  5. Maxence Melo - TZS 100,000
  6. Fidel80 - TZS 30,000
  7. Hakutoa ID - TZS 25,000
  8. Hakutoa ID - TZS 30,000
  9. BAK - TZS 23,000 (hazijachukuliwa, will confirm)
  10. afrodenzi - USD 158.00
  11. Aine - TZS 20,000
  12. First Born - TZS 10,000
  13. VIKWAZO - USD 47.00 (30GBP)

Waendeshaji wa harambee hii tunawaomba updates tafadhali. Mfano mimi nilichangia kwa njia yua ZAP ila mpaka sasa sioni jina langu kwenye list hapo juu. Na nilipata acknowledgment kwamba pesa imepokelewa!
 
Mungu ibariki tanzania na watu wake.
Mungu mbariki kijana huyu apone ugonjwa unaomwandama.
Mungu wabariki wanajitoa na watakaojitoa kumsaidia kijana huyu.
Mungu wabariki wote watakaoona huruma au kumwombea kijana huyu hata kama hawana uwezo wa kuchangia.
 
Inatia moyo sana. Tuko pamoja na nikijaaliwa nitafika KCMC Inshaalah
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom