POLE SANA NJENGA...Mungu ailaze roho ya dada mahali pema peponi...nilikutafuta sana kwa simu sikukupata..Nipo Morogoro sikuweza kuja kuhudhuria mazishi...POLE SANA NJENGAAAAAAAA
Nasikitika kuwafahamisha kuwa nimepata msiba leo alfajiri mke wangu kipenzi amenitoka. Kimsingi mazishi yamefanyika leo saa 10 kwenye makaburi ya changanyikeni...wife ameniachia watoto wawili wa kike 11 & 8.