Uhusiano wangu na baba yangu

Choosen85

JF-Expert Member
Jun 22, 2022
563
1,364
Wakuu mmebarikiwa sana sana.

Moja kwa moja kwny hoja, kwny familia yetu mimi ni first born bahati mbaya mimi na wadogo zng hatukulelewa na mama mzazi maana inasemekana mzee na mama waliachana tukiwa bdo wadogo so mzee alioa mke mwngne.

Mwaka nliomaliza kdato cha 4 ndo ilikuwa mara yng ya kwanza kukosana na mzee kwan alikuwa hataki niendelee kusoma aktaka niwe polisi nliamua kuondoka nyumbani nikiwa na vitabu vyangu na cheti na nguo nilizovaa tu.

Kufupisha story nlienda kuish kwa rafiki zake na ndugu yng mtoto wa aunt yng at last aunt alinitafutia shule kdato cha 5 mpk cha 6 nikamaliza nikafaulu vema ksha aunt akanishauri nirud home kwa mzee, kweli nilirud na mzee alinpokea kwa amani sn maisha yakaendelea nikafanya process za chuo nikapata na mkopo pia nikapata.

Nilipohitimu chuo kikuu skuwa na mawazo ya kurud kuish home hata kama nikirud bs nikae muda mfupi sn nipange chumba chng uzuri nilikuwa nimeshanunua kila ktu yan ktanda nk. Na pale home nilikuwa naish nyumba ya nje ndo kulikuwa geto kwng.

Niliporejea home toka chuo nikaanza mishe mishe zng wkt mwngn nlikuwa narud night si mnajua changamoto za usafiri dar na home ni karibia na chanika uko sa ikishafka jion uko town ujue mpk utoboe maeneo ya chanika hapo ni tano au sita usku. Itategemea sasa hiyo jion unatokea wp na umeanza safari saa ngapi. Kwaiyo mara nyng nlikuwa narud night, skuwa na wasiwasi ukzngatia room yng iko nje sisumbui mtu kunifungulia wala kudai chakula.

Siku moja asubuhi npo kwny daladala naona sms ya mzee akitaka ninapotoka nikfunga room yng nikabiz funguo kwa ma mdogo mmmh kweli ilinchukua muda kumjbu nikawa nawaza kuna shda gn tena na lengo ni nn je iktokea nimerud usku je niwagongee wanpe key? Nikapata majbu kwmb inatakiwa sasa nihame kbs home nikapange room then nikabz room kbs, so nikamjbu mzee naomba unpe wk 2 nikamilishe mambo ya kulipia room nikukabiz chumba ili kuepusha misuguano.

Mzee akanijbu kama nahama bs ktanda nikiache kwan wakija wageni watakuwa wanalala wp. Nikajiulza naachaje ktanda chng na sina hela ya kununua kngne?

Kweli nliamua kuacha ktanda ila godoro na vngnevyo nlibeba. Hapo ndpo mgogoro mkubwa ulianza mzee akawa ananilaumu kwann nlihama nyumban na tuhuma nyngn nyng sn. Hazkunisumbua kbs, tulipata msiba wa bibi sku ya kuzka watu walisema bibi hazkwi mpk tofauti zng na mzee ziishe niliamriwa kuomba msamaha, nlitii tena kwa magoti mzee akasema mbona sina tatzo na uyu mtoto kbs.

Basi mi nikajua yameisha sasa, msiba ulipokwsha nlikwenda mtembelea mzee nyumban yan hapo ilikuwa imepta miaka kama mitano sjakanyaga home kbs, nlimkuta mzee na mama mdogo sasa nikawa nimekaa kando na mzee story za hapa na pale nikamwambia mzee nashukuru sn kwa msamaha wake sa tuanze maisha mapya, aisee mzee alinigeuka hatari akasema alishani delete kbs haitaji mi nimuite baba kwan mtu yeyote anaweza kuwa baba, nliomba msamaha tena na tena bt aligoma at last akanpa masharti eti niende kijijin uko kanda ya ziwa nikaombe msamaha kwa kaka ake na dada ake ksha niende kwny kabuli la bibi napo niombe msamaha ksha ndo nirud kwake.

Mmmh hakika nafsi iligoma na wala skumjbu chochote ila nilimuaga ksha nikaenda ndan kumuaga ma mdogo na kumwambia mzee bdo kabaki na msimamo wake kumbe hajasamehe kwaiyo mi ndo naondoka stakanyaga tena mji huu bs ma mdogo naye akajsemesha semesha hapo nikaondoka zng, leo ni miaka mi5 sjakanyaga home kbs.

Npo na maisha yng na family yng knachonisktisha mzee akawa anapga kampen ya kunigombanisha na wadogo zng na ndugu zng wengne wasje kwangu wala wasinisaidie chochote, nlifiwa na mtoto wng nlitoa taarifa kwa wote mpk na mzee ila hawakuja bt namshukuru MUNGU SN WALIKUJA BAADHI YA MADOGO BT KIFUPI MSIBA ULIBEBWA NA KANISA MI NILINUNUA JENEZA TU.

NAMSHUKURU MUNGU NAENDELEA NA MAISHA YNG NAISHI KAMA SINA NDUGU ILA NDUGU ZNG HUWA NI WATU WA KANISANI TU KULIKO WA UKOO AU WA DAMU KWNY SHIDA NA RAHA.

Sa wakuu naomba mniambie nimekosea wapi na nifanye nini, bnafs nina amani kbs sina tatzo.
KARIBUNI.
 
Wakuu mmebarikiwa sana sana.
Moja kwa moja kwny hoja, kwny familia yetu mimi ni first born bahati mbaya mimi na wadogo zng hatukulelewa na mama mzazi maana inasemekana mzee na mama waliachana tukiwa bdo wadogo so mzee alioa mke mwngne.
Mwaka nliomaliza kdato cha 4 ndo ilikuwa mara yng ya kwanza kukosana na mzee kwan alikuwa hataki niendelee kusoma aktaka niwe polisi nliamua kuondoka nyumbani nikiwa na vitabu vyangu na cheti na nguo nilizovaa tu.
Kufupisha story nlienda kuish kwa rafiki zake na ndugu yng mtoto wa aunt yng at last aunt alinitafutia shule kdato cha 5 mpk cha 6 nikamaliza nikafaulu vema ksha aunt akanishauri nirud home kwa mzee, kweli nilirud na mzee alinpokea kwa amani sn maisha yakaendelea nikafanya process za chuo nikapata na mkopo pia nikapata.
Nilipohitimu chuo kikuu skuwa na mawazo ya kurud kuish home hata kama nikirud bs nikae muda mfupi sn nipange chumba chng uzuri nilikuwa nimeshanunua kila ktu yan ktanda nk. Na pale home nilikuwa naish nyumba ya nje ndo kulikuwa geto kwng.
Niliporejea home toka chuo nikaanza mishe mishe zng wkt mwngn nlikuwa narud night si mnajua changamoto za usafiri dar na home ni karibia na chanika uko sa ikishafka jion uko town ujue mpk utoboe maeneo ya chanika hapo ni tano au sita usku. Itategemea sasa hiyo jion unatokea wp na umeanza safari saa ngapi. Kwaiyo mara nyng nlikuwa narud night, skuwa na wasiwasi ukzngatia room yng iko nje sisumbui mtu kunifungulia wala kudai chakula.

Siku moja asubuhi npo kwny daladala naona sms ya mzee akitaka ninapotoka nikfunga room yng nikabiz funguo kwa ma mdogo mmmh kweli ilinchukua muda kumjbu nikawa nawaza kuna shda gn tena na lengo ni nn je iktokea nimerud usku je niwagongee wanpe key? Nikapata majbu kwmb inatakiwa sasa nihame kbs home nikapange room then nikabz room kbs, so nikamjbu mzee naomba unpe wk 2 nikamilishe mambo ya kulipia room nikukabiz chumba ili kuepusha misuguano.
Mzee akanijbu kama nahama bs ktanda nikiache kwan wakija wageni watakuwa wanalala wp. Nikajiulza naachaje ktanda chng na sina hela ya kununua kngne? Kweli nliamua kuacha ktanda ila godoro na vngnevyo nlibeba. Hapo ndpo mgogoro mkubwa ulianza mzee akawa ananilaumu kwann nlihama nyumban na tuhuma nyngn nyng sn. Hazkunisumbua kbs, tulipata msiba wa bibi sku ya kuzka watu walisema bibi hazkwi mpk tofauti zng na mzee ziishe niliamriwa kuomba msamaha, nlitii tena kwa magoti mzee akasema mbona sina tatzo na uyu mtoto kbs. Basi mi nikajua yameisha sasa, msiba ulipokwsha nlikwenda mtembelea mzee nyumban yan hapo ilikuwa imepta miaka kama mitano sjakanyaga home kbs, nlimkuta mzee na mama mdogo sasa nikawa nimekaa kando na mzee story za hapa na pale nikamwambia mzee nashukuru sn kwa msamaha wake sa tuanze maisha mapya, aisee mzee alinigeuka hatari akasema alishani delete kbs haitaji mi nimuite baba kwan mtu yeyote anaweza kuwa baba, nliomba msamaha tena na tena bt aligoma at last akanpa masharti eti niende kijijin uko kanda ya ziwa nikaombe msamaha kwa kaka ake na dada ake ksha niende kwny kabuli la bibi napo niombe msamaha ksha ndo nirud kwake.
Mmmh hakika nafsi iligoma na wala skumjbu chochote ila nilimuaga ksha nikaenda ndan kumuaga ma mdogo na kumwambia mzee bdo kabaki na msimamo wake kumbe hajasamehe kwaiyo mi ndo naondoka stakanyaga tena mji huu bs ma mdogo naye akajsemesha semesha hapo nikaondoka zng, leo ni miaka mi5 sjakanyaga home kbs. Npo na maisha yng na family yng knachonisktisha mzee akawa anapga kampen ya kunigombanisha na wadogo zng na ndugu zng wengne wasje kwangu wala wasinisaidie chochote, nlifiwa na mtoto wng nlitoa taarifa kwa wote mpk na mzee ila hawakuja bt namshukuru MUNGU SN WALIKUJA BAADHI YA MADOGO BT KIFUPI MSIBA ULIBEBWA NA KANISA MI NILINUNUA JENEZA TU.

NAMSHUKURU MUNGU NAENDELEA NA MAISHA YNG NAISHI KAMA SINA NDUGU ILA NDUGU ZNG HUWA NI WATU WA KANISANI TU KULIKO WA UKOO AU WA DAMU KWNY SHIDA NA RAHA.

Sa wakuu naomba mniambie nimekosea wapi na nifanye nini, bnafs nina amani kbs sina tatzo.
KARIBUNI.
Pole sana ikiwa usemayo ni kweli , ila nikuombe kurudi kwa baba yako na umueleze uko tayari kufanya yale aliyokueleza kubali yaishe , huyo ni baba yako .

Najua hukwenda kanda ya ziwa kisa wewe ni mtu wa kanisani so huwezi kwenda kaburini kuomba msamaha kwa bibi yako hivyo husijali kaongee na ndugu zake wa huko yaishe , habari za wewe kwenda kaburini au kutokwenda kaburini hatazijulia wapi na wakati yupo Dar .

Kubali yaishe maana unaonekana una mgogoro wa nafsi juu ya haya mahusiano na baba yako.
 
Pole sana ikiwa usemayo ni kweli , ila nikuombe kurudi kwa baba yako na umueleze uko tayari kufanya yale aliyokueleza kubali yaishe , huyo ni baba yako .

Najua hukwenda kanda ya ziwa kisa wewe ni mtu wa kanisani so huwezi kwenda kaburini kuomba msamaha kwa bibi yako hivyo husijali kaongee na ndugu zake wa huko yaishe , habari za wewe kwenda kaburini au kutokwenda kaburini hatazijulia wapi na wakati yupo Dar .

Kubali yaishe maana unaonekana una mgogoro wa nafsi juu ya haya mahusiano na baba yako.
Sawa
 
Mama ako yuko wapi kwanza aku shauri
mama hataki kbs kumskia mzee yuko uko kwao alishaolewa ana maisha yake kwan inasemekana chanzo cha yeye kuachana na mzee ndugu wa mzee wifi zake walimuunganishia mzee kwa dada wa kazi awe mkewe na amuache mama, wkt huo mama alikuwa kaenda kujfungua mdogo wangu wa mwsho aliporud akakuta dada wa kaz katawala mji akaamua kujiondokea tu hakuwahi kurudi tena. Na uyo dada wa kaz ndo ma mdogo nliyemzungumza hapo.
 
Huna tatizo lolote wewe focus na maisha yako ila usiache kumhudumia mzee nyumbani, hakikisha unamrushia kitu kidogo ale na ma' mdogo ajue huna shida naye.
 
1684418551451.png
 
Hatujasikia upande wa pili wa story bt lets assume ipo kama ulivyo eleza hapa.

Inaonekana mzee wako n mtu wa ku-take control over maisha ya wanae sana. Wewe ulienda kinyume nae ndo maana mlipishana.

Kiimani wazazi uwa tunawapa hadhi ya u-Mungu duniani. Ila kiuhalisia sio hivo. Sometime Your parent can ruin your life so bad kama ukimwendekeza. Wale ni binadamu pia.

Nimeona vijana wengi maisha yao yameharibika kwa kuacha njia zao wanazoziamini na kufuata wanazoelekezwa na mzazi kwa hofu ya kumkwaza endapo atakwenda kinyume nae.

Hivyo basi, kwakua baba yako anahulka ya kutaka kucontrol maisha yako, hata kama utafanya juhudi za kufuatisha alichokisema ili mpatane, bado in a long run mtakuja kukosana tena sababu atataka kuingilia maisha yako tena.

Ishi maisha yako. Wadogo zako watakapo kuwa wakubwa vyakutosha, wataujua undani na watakuwa upande wako tuu. As long as you are safe katika hili.

There might be a serious reason as for why mama yenu alichana na huyo mzee na hajataka hata kuwatafuta hadi leo.
 
Usidanganywe eti una maisha yako. Baba yako siyo mshikaji wako. Hata kiroho ana nguvu sn. Ninachokiona kwako na ambacho baba yako hakukigundua ni umri uliokuwa nao wakati unamaliza form 4. Ulikuwa kwenye kipindi Cha FOOLISH AGE ambacho huambatana na hulka mbalimbali km kujiona mkubwa na mwenye nguvu za mwili kuliko MTU yeyote. Ndiyo maana baada ya kuambiwa uingie kazi ya Police wewe uliamua kuondoka bila kujali impact ya uamuzi wako kwako mwenyewe na kwa baba yako. Kitendo hicho ni dhahiri ulimdharau sn baba yako. Hata km hukutaka kwenda u-police ulitakiwa kuongea kwa upole na staha na baba yako kwa kumshawishi uendelee na masomo na pengine hata kuwatumia ndugu wa baba yako km shangazi na baba zako wadogo au wakubwa au huyo mama yako wa kambo.

Kila mzazi anapenda kuona mtoto wake akifanikiwa. Najua wakati anakuambia uende police huenda kuna kitu alikiona ndani yako. Ila wewe kwa kibri kutokana na foolish age ukamdharau ukaamua kuhama nyumbani. Ukasahau kuwa "running away from a problem is not a way of solving a problem".

Km ni mimi hapo usingerudi milele. Ifike wakati tujue wazazi siyo wake wenza au sawa na mawifi kila mara kusuguana kwa maneno. Yakupasa kumsikiliza mzazi wako, penye shida unatufuta njia sahihi siyo kumuonesha kibri kuwa hata bila yeye wewe mwenyewe unasonga mbele. Huo ni ukosefu wa nidhamu na maadili. Leo ni mzima unaongea kwa kibri ipo siku unaweza kumuhitaj kwa lolote na ndiyo maana hata wakati unaomba mkopo Bidi ya elimu ya juu ulitumia jina lake km unajiona baba yako siyo kitu Wala lolote kwa nini usingeandika hata jina la mjomba wako kwenye hizo form za mkopo.

Mimi km mtu mzima nakushauti nenda kamuombe baba yako msamaha hata km unaona huna kosa, yeye analiona na hata mimi nineliona. Vijana msijianye wa mjini sana au kujitia ujuaji wa kipuuzi kwa sababu za marafiki waliokosa maadili ya wazazi wao, mtapotea. Hata uwe na elimu kiasi gani au mali kiasi gani hivyo vyote havijawahi kumzika mtu.

Alafu eti unajinasibu kuwa wewe ni mhitimu chuo kikuu. Chuo kikuu gani hicho ambacho huwezi kutumia intellects zako ku-solve mambo madogo km hayo hadi unakimbilia mitandaoni.

Usidharau maneno yangu, what goes around comes around. Na ukishupaza shingo kwa kuokoteleza ushauri wa humu wa baadhi ya watu wanaokusapiti ipo sku utakuja kujuta na tayari itakuwa too late. Take care.
 
Wakuu mmebarikiwa sana sana.

Moja kwa moja kwny hoja, kwny familia yetu mimi ni first born bahati mbaya mimi na wadogo zng hatukulelewa na mama mzazi maana inasemekana mzee na mama waliachana tukiwa bdo wadogo so mzee alioa mke mwngne.

Mwaka nliomaliza kdato cha 4 ndo ilikuwa mara yng ya kwanza kukosana na mzee kwan alikuwa hataki niendelee kusoma aktaka niwe polisi nliamua kuondoka nyumbani nikiwa na vitabu vyangu na cheti na nguo nilizovaa tu.

Kufupisha story nlienda kuish kwa rafiki zake na ndugu yng mtoto wa aunt yng at last aunt alinitafutia shule kdato cha 5 mpk cha 6 nikamaliza nikafaulu vema ksha aunt akanishauri nirud home kwa mzee, kweli nilirud na mzee alinpokea kwa amani sn maisha yakaendelea nikafanya process za chuo nikapata na mkopo pia nikapata.

Nilipohitimu chuo kikuu skuwa na mawazo ya kurud kuish home hata kama nikirud bs nikae muda mfupi sn nipange chumba chng uzuri nilikuwa nimeshanunua kila ktu yan ktanda nk. Na pale home nilikuwa naish nyumba ya nje ndo kulikuwa geto kwng.

Niliporejea home toka chuo nikaanza mishe mishe zng wkt mwngn nlikuwa narud night si mnajua changamoto za usafiri dar na home ni karibia na chanika uko sa ikishafka jion uko town ujue mpk utoboe maeneo ya chanika hapo ni tano au sita usku. Itategemea sasa hiyo jion unatokea wp na umeanza safari saa ngapi. Kwaiyo mara nyng nlikuwa narud night, skuwa na wasiwasi ukzngatia room yng iko nje sisumbui mtu kunifungulia wala kudai chakula.

Siku moja asubuhi npo kwny daladala naona sms ya mzee akitaka ninapotoka nikfunga room yng nikabiz funguo kwa ma mdogo mmmh kweli ilinchukua muda kumjbu nikawa nawaza kuna shda gn tena na lengo ni nn je iktokea nimerud usku je niwagongee wanpe key? Nikapata majbu kwmb inatakiwa sasa nihame kbs home nikapange room then nikabz room kbs, so nikamjbu mzee naomba unpe wk 2 nikamilishe mambo ya kulipia room nikukabiz chumba ili kuepusha misuguano.

Mzee akanijbu kama nahama bs ktanda nikiache kwan wakija wageni watakuwa wanalala wp. Nikajiulza naachaje ktanda chng na sina hela ya kununua kngne?

Kweli nliamua kuacha ktanda ila godoro na vngnevyo nlibeba. Hapo ndpo mgogoro mkubwa ulianza mzee akawa ananilaumu kwann nlihama nyumban na tuhuma nyngn nyng sn. Hazkunisumbua kbs, tulipata msiba wa bibi sku ya kuzka watu walisema bibi hazkwi mpk tofauti zng na mzee ziishe niliamriwa kuomba msamaha, nlitii tena kwa magoti mzee akasema mbona sina tatzo na uyu mtoto kbs.

Basi mi nikajua yameisha sasa, msiba ulipokwsha nlikwenda mtembelea mzee nyumban yan hapo ilikuwa imepta miaka kama mitano sjakanyaga home kbs, nlimkuta mzee na mama mdogo sasa nikawa nimekaa kando na mzee story za hapa na pale nikamwambia mzee nashukuru sn kwa msamaha wake sa tuanze maisha mapya, aisee mzee alinigeuka hatari akasema alishani delete kbs haitaji mi nimuite baba kwan mtu yeyote anaweza kuwa baba, nliomba msamaha tena na tena bt aligoma at last akanpa masharti eti niende kijijin uko kanda ya ziwa nikaombe msamaha kwa kaka ake na dada ake ksha niende kwny kabuli la bibi napo niombe msamaha ksha ndo nirud kwake.

Mmmh hakika nafsi iligoma na wala skumjbu chochote ila nilimuaga ksha nikaenda ndan kumuaga ma mdogo na kumwambia mzee bdo kabaki na msimamo wake kumbe hajasamehe kwaiyo mi ndo naondoka stakanyaga tena mji huu bs ma mdogo naye akajsemesha semesha hapo nikaondoka zng, leo ni miaka mi5 sjakanyaga home kbs.

Npo na maisha yng na family yng knachonisktisha mzee akawa anapga kampen ya kunigombanisha na wadogo zng na ndugu zng wengne wasje kwangu wala wasinisaidie chochote, nlifiwa na mtoto wng nlitoa taarifa kwa wote mpk na mzee ila hawakuja bt namshukuru MUNGU SN WALIKUJA BAADHI YA MADOGO BT KIFUPI MSIBA ULIBEBWA NA KANISA MI NILINUNUA JENEZA TU.

NAMSHUKURU MUNGU NAENDELEA NA MAISHA YNG NAISHI KAMA SINA NDUGU ILA NDUGU ZNG HUWA NI WATU WA KANISANI TU KULIKO WA UKOO AU WA DAMU KWNY SHIDA NA RAHA.

Sa wakuu naomba mniambie nimekosea wapi na nifanye nini, bnafs nina amani kbs sina tatzo.
KARIBUNI.
Kwanza, hakikisha haya uliyoyanena ni ukweli kutoka moyoni mwako;

Pili, ikiwa hayo uliyoyanena ni kweli, ongeza juhudi za kujikabidhi machoni pa Bwana Mungu wa Utatu Mtakatifu afunge kila mlango wa laana itakayo kwa mwanadam.

Tatu, kumbuka adui yako naye kwasasa atakuwa madhabahuni pa miungu aijuayo akiomba mabaya yakupate ili utambue ukuu wake kwako.

Nne, katika sala zako Muombe huyo Baba kwa Mwenyezi Mungu amsamehe lkn nawe pia umsamehe. Muombe na huyo umuitae Mamdogo, kuna uwezekano mkubwa ndiye mwenye pando la ibilisi moyoni mwa Mzee.

Tano, ukifanya sala niliyoisema hapo juu kwa kumaanisha kwa angalau siku 7 mfululizo asbh, mchana na usiku saa 10, anza kumuomba msamaha tena Mzee kwanza katika ulimwengu wa imani kabla ya kumwendea physically. Ukifanya hivyo kwa kumaanisha utajikuta katika ndoto mmefanya majadiliano. Hapo ndipo utakapoanza kujisogeza kwake physically. Kwa sasa usijisogeze haraka, atakudhuru. Usiende!

Sita, ujue tu kwamba wapo watu imewakumba mikasa mikubwa zaidi ya huo dhidi ya wazazi wao. Juzi tu nimeona Video Clip moja Mama mmoja huko kenya anamuonesha utupu wake mtoto wake kwa nia ya kumlaani.

Saba. Kaa nyumbani mwa Bwana.

Mwisho, mhimidi Bwana kwakuwa ni mwema lkn pia fadhili zake ni za milele Zab 117:2
 
Wakuu mmebarikiwa sana sana.

Moja kwa moja kwny hoja, kwny familia yetu mimi ni first born bahati mbaya mimi na wadogo zng hatukulelewa na mama mzazi maana inasemekana mzee na mama waliachana tukiwa bdo wadogo so mzee alioa mke mwngne.

Mwaka nliomaliza kdato cha 4 ndo ilikuwa mara yng ya kwanza kukosana na mzee kwan alikuwa hataki niendelee kusoma aktaka niwe polisi nliamua kuondoka nyumbani nikiwa na vitabu vyangu na cheti na nguo nilizovaa tu.

Kufupisha story nlienda kuish kwa rafiki zake na ndugu yng mtoto wa aunt yng at last aunt alinitafutia shule kdato cha 5 mpk cha 6 nikamaliza nikafaulu vema ksha aunt akanishauri nirud home kwa mzee, kweli nilirud na mzee alinpokea kwa amani sn maisha yakaendelea nikafanya process za chuo nikapata na mkopo pia nikapata.

Nilipohitimu chuo kikuu skuwa na mawazo ya kurud kuish home hata kama nikirud bs nikae muda mfupi sn nipange chumba chng uzuri nilikuwa nimeshanunua kila ktu yan ktanda nk. Na pale home nilikuwa naish nyumba ya nje ndo kulikuwa geto kwng.

Niliporejea home toka chuo nikaanza mishe mishe zng wkt mwngn nlikuwa narud night si mnajua changamoto za usafiri dar na home ni karibia na chanika uko sa ikishafka jion uko town ujue mpk utoboe maeneo ya chanika hapo ni tano au sita usku. Itategemea sasa hiyo jion unatokea wp na umeanza safari saa ngapi. Kwaiyo mara nyng nlikuwa narud night, skuwa na wasiwasi ukzngatia room yng iko nje sisumbui mtu kunifungulia wala kudai chakula.

Siku moja asubuhi npo kwny daladala naona sms ya mzee akitaka ninapotoka nikfunga room yng nikabiz funguo kwa ma mdogo mmmh kweli ilinchukua muda kumjbu nikawa nawaza kuna shda gn tena na lengo ni nn je iktokea nimerud usku je niwagongee wanpe key? Nikapata majbu kwmb inatakiwa sasa nihame kbs home nikapange room then nikabz room kbs, so nikamjbu mzee naomba unpe wk 2 nikamilishe mambo ya kulipia room nikukabiz chumba ili kuepusha misuguano.

Mzee akanijbu kama nahama bs ktanda nikiache kwan wakija wageni watakuwa wanalala wp. Nikajiulza naachaje ktanda chng na sina hela ya kununua kngne?

Kweli nliamua kuacha ktanda ila godoro na vngnevyo nlibeba. Hapo ndpo mgogoro mkubwa ulianza mzee akawa ananilaumu kwann nlihama nyumban na tuhuma nyngn nyng sn. Hazkunisumbua kbs, tulipata msiba wa bibi sku ya kuzka watu walisema bibi hazkwi mpk tofauti zng na mzee ziishe niliamriwa kuomba msamaha, nlitii tena kwa magoti mzee akasema mbona sina tatzo na uyu mtoto kbs.

Basi mi nikajua yameisha sasa, msiba ulipokwsha nlikwenda mtembelea mzee nyumban yan hapo ilikuwa imepta miaka kama mitano sjakanyaga home kbs, nlimkuta mzee na mama mdogo sasa nikawa nimekaa kando na mzee story za hapa na pale nikamwambia mzee nashukuru sn kwa msamaha wake sa tuanze maisha mapya, aisee mzee alinigeuka hatari akasema alishani delete kbs haitaji mi nimuite baba kwan mtu yeyote anaweza kuwa baba, nliomba msamaha tena na tena bt aligoma at last akanpa masharti eti niende kijijin uko kanda ya ziwa nikaombe msamaha kwa kaka ake na dada ake ksha niende kwny kabuli la bibi napo niombe msamaha ksha ndo nirud kwake.

Mmmh hakika nafsi iligoma na wala skumjbu chochote ila nilimuaga ksha nikaenda ndan kumuaga ma mdogo na kumwambia mzee bdo kabaki na msimamo wake kumbe hajasamehe kwaiyo mi ndo naondoka stakanyaga tena mji huu bs ma mdogo naye akajsemesha semesha hapo nikaondoka zng, leo ni miaka mi5 sjakanyaga home kbs.

Npo na maisha yng na family yng knachonisktisha mzee akawa anapga kampen ya kunigombanisha na wadogo zng na ndugu zng wengne wasje kwangu wala wasinisaidie chochote, nlifiwa na mtoto wng nlitoa taarifa kwa wote mpk na mzee ila hawakuja bt namshukuru MUNGU SN WALIKUJA BAADHI YA MADOGO BT KIFUPI MSIBA ULIBEBWA NA KANISA MI NILINUNUA JENEZA TU.

NAMSHUKURU MUNGU NAENDELEA NA MAISHA YNG NAISHI KAMA SINA NDUGU ILA NDUGU ZNG HUWA NI WATU WA KANISANI TU KULIKO WA UKOO AU WA DAMU KWNY SHIDA NA RAHA.

Sa wakuu naomba mniambie nimekosea wapi na nifanye nini, bnafs nina amani kbs sina tatzo.
KARIBUNI.
Maelezo ni ya upande mmoja hivyo kutoa hukumu haiwezekani. Lkn ninahisi mama mdogo wako ni hatari,huenda ndiye aliye chomoa betri (devide and rule). Ukihisi ni hivyo wapende na wasalimie ila ki maso maso kwani baba yako atachelewa sana kufahamu ukweli na haipaswi umueleweshe.
 
Shukilia hapo hapo !! Hata wapumbavu wanazeeka !!.


Shikilia hapohapo, endelea kumwomba Mungu !!.
Baba hata azeeke vipi hawezi kuwa mpumbavu, hata awe na mambo gani ya hovyo hawezi kuwa mpumbavu, tujifunze kutowawekea vinyongo na kupuuza baadhi ya mambo ya mambo yao.

Kikubwa ni kujishusha zaidi na kutoonyesha hasira zako, chuki zako mbele yake kwa kuwa tunahitaji baraka zao zaidi.
 
Pole sana ikiwa usemayo ni kweli , ila nikuombe kurudi kwa baba yako na umueleze uko tayari kufanya yale aliyokueleza kubali yaishe , huyo ni baba yako .

Najua hukwenda kanda ya ziwa kisa wewe ni mtu wa kanisani so huwezi kwenda kaburini kuomba msamaha kwa bibi yako hivyo husijali kaongee na ndugu zake wa huko yaishe , habari za wewe kwenda kaburini au kutokwenda kaburini hatazijulia wapi na wakati yupo Dar .

Kubali yaishe maana unaonekana una mgogoro wa nafsi juu ya haya mahusiano na baba yako.
Jipime kama tatizo niwewe kaombe msamaha ila kama tatizo ni baba achana nae babaako Kesha shikwa. Kwasasa ishi maisha yako YEYE ana yake.
 
Back
Top Bottom