Wana-jf nimefiwa na mke wangu!!

Wana-jf nimefiwa na mke wangu!!

pole sana mkuu.............. mungu akutie nguvu................. kumbuka wewe ndiwe faraja pekee ya mabinti zako aliyobaki............. be strong..............
 
Pole sana Sajenti....hakuna maneno yanayoweza kupunguza machungu unayosikia sasa ila Mungu atakupa faraja moyoni. Apumzike kwa amani.
 
Pole sana
M/Mungu awape wafiwa wote faraja, amani na uvumilivu katika kipindi hiki
roho ya merehemu ipate rehema kwa mungu ipumzike kwa amani- Amina
 
Pole kaka Mungu akupe uvumilivu mkuu ktk kipindi hiki kigumu mno ila kumbuka Mungu atabaki kuwa Mungu hata katika wakati huu mgumu wa msiba cha msingi mshukuru Mungu hata katika hili Mungu akutie nguvu na uvumilivu
 
Nasikitika kuwafahamisha kuwa nimepata msiba leo alfajiri mke wangu kipenzi amenitoka. Kimsingi mazishi yamefanyika leo saa 10 kwenye makaburi ya changanyikeni...wife ameniachia watoto wawili wa kike 11 & 8.

Dah aisee, pole sana mkuu. Mungu akupe moyo wa uvumilivu kipindi hiki kigumu. Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema popo. AMINA
 
...pole sana, mwenyezi mungu amlaze pahala pema.
 
Pole sana Mkuu! Mungu ndie mwenye faraja ya pekee kwako na wanao. RIP Mke wa Sajenti.
 
Nasikitika kuwafahamisha kuwa nimepata msiba leo alfajiri mke wangu kipenzi amenitoka. Kimsingi mazishi yamefanyika leo saa 10 kwenye makaburi ya changanyikeni...wife ameniachia watoto wawili wa kike 11 & 8.

Pole mungu akupe amani
 
Pole sana mkuu, Mwenyezi Mungu akujalie nguvu na uvumilivu wewe na wanao. Kwa rehma zake Muumba awape subira yenye heri.
 
Inshaallah Mungu ampe safari ya kheri.
Poleni sn, Mungu awajaalie subra.
Amiiiinnn.
 
Pole sana sajent! Mwenyezi Mungu akutie nguvu na faraja katika kipindi hiki cha majonzi!
 
pole sana afande. Msiba uko kwa wapi ili kama ni karibu tuje msibani.

msiba uko makongo juu mkuu kitongoji cha kizota....kama unatumia usafiri wa dala dala unashuks mwisho basi linapogeuzia then utaelekezwa....ukija kwa private transport unafika hapo zinapoishia daladala then unasogea mbelemita 200 utakuta pub inaitwa summit kuna mark zimewekwa kuwaongoza.
 
Nasikitika kuwafahamisha kuwa nimepata msiba leo alfajiri mke wangu kipenzi amenitoka. Kimsingi mazishi yamefanyika leo saa 10 kwenye makaburi ya changanyikeni...wife ameniachia watoto wawili wa kike 11 & 8.

Kiongozi pole sana kwakweli, Mungu akujaze nguvu na uvumilivu katika hiki kipindi kigumu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom