Wana-jf nimefiwa na mke wangu!!

Wana-jf nimefiwa na mke wangu!!

Poleni sana. Mungu akujaalieni nguvu katika jambo hili zito
 
Pole sana mungu amlaze makali pema. nakuombea moyo na ujasiri kwa wakati mgumu ulio nao. Mungu akutie nguvu
 
Pole mkuu kwa msiba huu mkubwa!!! Mungu akutie nguvu katika kipindi hiki kigumu cha maombolezo.

Tiba
 
kaka huna kubwa kwake zaidi ya kumuombea kwa mwenyezi mungu ampumzishe peponi.kwa kweli ni pigo kubwa lakini kumbuka kuwa muda mfupi ujao nasi tutaelekea huko,mwenzetu ametangulia tu...cha msingi wewe amka usiku muombee mwenzetu,ndo silaha pekee iliyobaki.usikurupuke kutafuta mke mwingine sasa.
 
tuelekeze home tuje kuhani au weka namba yako hapa wasamaria wanaweza kukutumia hata M-PESA.
 
pole sana m'baba!

mungu akupe nguvu ya kukikabili kipindi hichi kigumu
 
Nasikitika kuwafahamisha kuwa nimepata msiba leo alfajiri mke wangu kipenzi amenitoka. Kimsingi mazishi yamefanyika leo saa 10 kwenye makaburi ya changanyikeni...wife ameniachia watoto wawili wa kike 11 & 8.

pole sana mkuu.

Jana nilikuwa kwenye ibada ya faraja hapa mwanza, kuna mzee anakadiriwa kuwa na 65syrs alifiwa na mke wake mwishoni mwa dec. alipokaribishwa kuongea lolote, alizungumza "....sina la kusema, nawashukuru kuja kunihani kwa kupotelewa na mpenzi wangu.........." maneno yalikatika, na uso wake ukajawa na machozi. Nilijaribu kutafakari how is so painful kuondokewa na jiko hasa kwa vijana iwapo mzee wa 65yrs analia, sisi itakuwaje?

any way, Mungu akutie nguvu katika kipindi hichi kigumu. kazi yake haina makosa.
 
Pole sana Mkuu. Mungu akupe nguvu katika wakati huu mgumu kwako.
 
Pole sana mkuu,tupo pamoja nawe katika kipindi hiki kigumu sana.
 
Pole sana mkuu , Mungu akutie nguvu wewe pamoja na wanao katika kipindi hiki kigumu . Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi na pumziko la milele umpe ee Bwana
 
Mkuu,
Ni muda wa uchungu wa aina yake chini ya jua.
LAKINI LIKO TUMAINI, AMBAPO Mungu aliye mfariji mkuu atakuongoza kuvuka katika bahari ya uchungu.
POle sana kiongozi!
 
Nasikitika kuwafahamisha kuwa nimepata msiba leo alfajiri mke wangu kipenzi amenitoka. Kimsingi mazishi yamefanyika leo saa 10 kwenye makaburi ya changanyikeni...wife ameniachia watoto wawili wa kike 11 & 8.
Dah! Sajenti,kaza moyo uwape nguvu na faraja watoto! Tunakuombea heri!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom