Wana-jf nimefiwa na mke wangu!!

Wana-jf nimefiwa na mke wangu!!

pole sana ndugu.dunia mapito sote tunaelekea..mwenyezi mungu amlaze mahali pema.amina.
 
Nasikitika kuwafahamisha kuwa nimepata msiba leo alfajiri mke wangu kipenzi amenitoka. Kimsingi mazishi yamefanyika leo saa 10 kwenye makaburi ya changanyikeni...wife ameniachia watoto wawili wa kike 11 & 8.






Pole sana man Soldier! may her R.I.N
 
Pole sana kaka..Mungu wetu akupe nguvu sote tunaenda huko.
 
pole sana sajent kwa kuopoteza kipenzi chako
aisee pole.
tuambie msiba uko wapi.Mungu akupe nguvu.
 
Pole mkuu, kwako na watoto (angalau utamkumbuka wife thru' them)....
Ampumzike kwa amani shem wetu...
 
pole sana mkuu.
marehemu apumzike kwa amani.
 
Pole sana mkuu, tunakuombea mungu akupe faraja na ukupe hekima na uwezo wa kuwatunza na kuwakuza hao watoto.
Mungu alitoa na ametwaa mapenzi yake yahimidiwe!
 
dah pole sana sajenti. Ni ngumu sana kujipanga tena kwani mlishazoeana. Take courage
 
Nasikitika kuwafahamisha kuwa nimepata msiba leo alfajiri mke wangu kipenzi amenitoka. Kimsingi mazishi yamefanyika leo saa 10 kwenye makaburi ya changanyikeni...wife ameniachia watoto wawili wa kike 11 & 8.
Pole sana ndugu yangu; kazi ya Mungu haina makosa. Sote njia yetu ni hiyo hiyo japo kwa ratiba tofauti.

Mwenyezi Mungu ailaze roho ya merehemu pema peponi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom