Wana-jf nimefiwa na mke wangu!!

Wana-jf nimefiwa na mke wangu!!

Pole sana mkuu, kimsingi hakuna mwanadamu awezaye kukwambia neno la faraja kufifisha huzuni na majonzi uliyonayo. tukumbuke kuwa mungu ni mwema tena ndiye mfariji wetu. ampumzishe kipenzi chako pa amani palipo pema peponi amen.
 
Nasikitika kuwafahamisha kuwa nimepata msiba leo alfajiri mke wangu kipenzi amenitoka. Kimsingi mazishi yamefanyika leo saa 10 kwenye makaburi ya changanyikeni...wife ameniachia watoto wawili wa kike 11 & 8.
Pole sana mkuu.

Apumzike kwa amani.
 
Pole sana.inshallah mwenyezi atakupe subra kwenye kipindi kigumu kama hiki,na akupe nguvu na uwezo wakulea watoto wenu wapenzi..
 
Walanablu-wannakum-bi shay ìm-minal-khawf walijuu-ì wanaqswim-minal-àmwaali wal-anfusi wathamaraat:wa bash-shirs-Swaabiriin. Al-laziina ìzaaa àswaabat-hum muswiibatun-qaaluuu ìnnaa lillahi wa ìnnaaa ìlayhi raji-uun. Ùlaaa-ìka àlayhim swalawaatum-mir-Rabbihm wa rahmah: wa úlaaa ìka humul-Muhtaduun!
 
Pole sn kwa msiba mzito Sajenti. Mungu akutieni nguvu
 
sote waja na kwa Mola tutarejea,kaza roho ndugu yangu mtihani mkubwa huo hasa kulea wanetu.RIP marehemu mkeo.
 
pole sana mkuu sajenti
"umelia au umeonesha ushupavu wakiume kwa kumpoteza kipenzi chako.."
 
pole sana mkuu, Mungu akupe nguvu kipindi hiki kigumu.
 
Pole sana mkuu...Mungu akupe nguvu za kukabiliana na msiba huo mzito
 
Mwenyezi Mungu akupe faraja iliyo kuu. pole sana ndugu
 
pole sajenti,may she rest in peace. Mungu akupe ujasiri wewe na wanao ktk kipindi hiki cha majonzi
 
Mkuu Sajenti pole kwa msiba! Mungu mwingi wa rehema awarehemu wafiwa wote katika kipindi hiki kigumu. Amina.
 
Pole sana bwana Sajenti, Mungu akupe moyo wa ujasiri na subira katika kukabiliana na kipindi hiki kigumu. Pole sana
 
pole sana mkuu, upate nguvu na uvumilivu
 
Have my outmost condelences mr sajent. May her soul rest in peace.
 
pole sana mungu akupe nguvu katika kipindi hiki kigumu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom