Inna lilahi wa Inna illahi Rajjun!
Pole sana mkuu. Mungu akupe moyo wa subra na akuwezeshe kushinda uchungu wa kipindi hiki.
Ailaze roho ya marhem mahala pema.
Nasikitika kuwafahamisha kuwa nimepata msiba leo alfajiri mke wangu kipenzi amenitoka. Kimsingi mazishi yamefanyika leo saa 10 kwenye makaburi ya changanyikeni...wife ameniachia watoto wawili wa kike 11 & 8.