Unajua kunakuwa na baadhi ya wanachama humu ndani lazima usikie kasema kitu kila siku, sasa akipotea ghafla, unaanza kujiuliza, kapotelea wapi, nini kilichomsibu? Ndio hayo ya mkuu Game Theory......Sijamsikia siku kadhaa humu ndani, au ndo mambo ya kubadilisha majina?
MKUU GAME THEORY....Nani kati ya hawa aliyekupiga marufuku tena??? Ili tukuombee ruhusa?
1) Mama watoto (Shemeji mkubwa).
2) Nyumba ndogo (Binti Maringo).
3) Bosi (Unazembea mzigoni).
4) Admin (Unabishana sana)
5) Name change (Uzime mabifu na watu).