Mahesabu
JF-Expert Member
- Jan 27, 2008
- 6,759
- 6,851
Labda maternity........
yaani wame m-mimba...?
Labda maternity........
Is it SteveD?
How come you are not able to know me now?
But at least you've made my day!
It shows you people care for others.
"Men and Women for others"
I forgot my passwords!
labda wamekuwa burned, si unajua tena hapa? mimi nashangaa ile thread yangu ya Yko wapi Raila wa Tanzania imeamishiwa kule upande wa East AFRICA na sijui nani kaiamisha na kwa lengo gani, sijui hapa haki iko wapi? nadhani ni kile kitu kisichopendwa na wahusika, tunapenda demokrasia hiyo ianzie hapa kwanza.
Kwani akiwa Tanzania hawezi kupata net work ya internet? mbona wengi wa wachangiaji ni wadanganyika?Mwafrika wa kike yuko tanzania kwa ajili ya likizo na kumtambulisha mchumba wake wa afrika magharibi kuhani alikuwa banned kitila nae safarini ila najua alikuwa mjini siku za karibuni si unajua huku uswahilini mtandao taabu baba yangu
Na mtasemaje kuhusu Brazameni?
ni kweli hapa bongo internet zinaboa sana siku za karibuni, very slow in deed, hasa dar es alam. nilikuwa dsm last week end, nilihama internet kama tatu ili kujaribu ku-down load file lenye 2mb. nilianza mlimani city pale very hopeless kuna internet inaitwa alpha internet nasikia ni ya fisadi lowasa imechoka kama yeye. nikaenda pale millenium tower kijito nyama ndo kwanza snail speed, baadaye nikaamua nikapate moja hapo maeda club. nikiwa pale nikaagiziwa ingine iko hapo hapo maeda ukiiona imechoka lakini nikafaulu
unless kuna mapinduzi kwenye networks ukweli ni kuwa cafee za dsm zinachosha, labda ukiwa kwenye internet uwe na magazeti pembeni
Mwafrika wa kike yuko tanzania kwa ajili ya likizo na kumtambulisha mchumba wake wa afrika magharibi kuhani alikuwa banned kitila nae safarini ila najua alikuwa mjini siku za karibuni si unajua huku uswahilini mtandao taabu baba yangu
..mmemsahau mchangiaji machachari jmushi1.
Mushi alisema anarudi shule hivyo ushiriki wake hapa utakuwa mdogo sana maana atakuwa busy na vitabu.
Bubu ataka Kusema said:Mushi alisema anarudi shule hivyo ushiriki wake hapa utakuwa mdogo sana maana atakuwa busy na vitabu.
Una maana wapopo wamebeba kitu??....Shy ushahidi wa Mama Kilango bado nausubiri....bado unatafiti mkuu?is she marriagable?????na mnigeria???