Wana JF Hawa Wako Wapi?...

Wana JF Hawa Wako Wapi?...

Quite interesting! That is how people will miss you if you go!!

Mimi nayaona mwenyewe kwa macho yangu baada ya kurudi bongo. Ni makubwa kuliko yanavyoonekana kwenye internet. Hii vita ya ufisadi bado ni abstract zaidi kuliko reality. Ni vigumu mno kuushinda ufisadi katika hali ambayo watu wanashabikia na kusifia watu waliofanikiwa kwa ufisadi. Lakini inabidi vita iendelee, hakuna kurudi nyuma.


- Mkuu Kitila you always have my outmost respect, hatuwezi kurudi nyuma na hivi vita maana vimeanza tayari na bado vinaendelea, lakini ni vyema kujipanga na kujiangalia betweeen time and time na kukubali ukweli unapokuwa wazi, kukubali ukweli sio dalili za unyonge hapana, wa-Tanzania ni lazima tuendelee na vita hivi kwa sababu hatuwezi kuwapa mafisadi a free pass wataishia kutuchapa viboko mitaani.

Respect!
 
Haya Kamanda kila laheri kwenye uwanja mpya....tofauti za kifikra ukizikubali zitakujenga sana....utaendelea kubaki memba muhimu hapa JF michango yako ni lulu....hata kama wengine hupingana na wewe....sehemu ya maisha ya kijamii

Best wishes

Masa

- Respect!
 
Mkuu FMES nimekaa na kuyafikiria sana hayo uliyoandika especially the quoted ones. Lakini I have just come up with a solution, though that might sound harsh, primitive, innapropriate, or impracticable!!!!

Unakumbuka ule usemi usemao "UKITAKA KUUA NYOKA ANZA NA KICHWA" ?

- Mkuu Nyambala sina uhakika kama ninakuelewa unachosema, ninlichosema na ninachosema ni kwamba for now tumeshindwa hivi vita, haya maneno aliniambia kwa mara ya kwanza mbunge mmoja mpiganaji wakati wa ishu ya Masha na vitambulisho, na sasa ninaamini kwamba ndio ukweli wenyewe.

- Sasa katika vita kuna kushindwa na kushinda, na kutokata tamaa kwa sababu vita vingi duniani washindi walishindwa kwanza kabla ya kushinda nafikiri mifano iko mingi sana on that, lakini hata ukisoma history walipokuwa wanaelemewa walikuwa wanakubali na kujipanga upya.

- Mazingara ya siasa tuliyonayo Tanzania, vita hivi vinapiganiwa zaidi bungeni, sasa kule tayari mafisadi wamewa-recruit wabunge wengi sana hata usiowategmea, mpaka wa upinzani, sasa ukirudi huku kwetu uraiani sijui kama unajua kwamba hivi vita huwa vinaongozwa single handed na the mighty Mengi, ambaye naye anatakiwa kupigana bila kumuudhi rais, ambaye msimamo wake haueleweki,

- Sawa wananchi wasomi na wachache wenye kuelewa kinachoendelea tunaweza kuendelea kupiga kelele lakini kama ulivyoona kwenye vitambulisho our effect bila ya bunge ni ndogo sana, the minute bunge likikaaa pembeni na vita inakuwa almost dead, sasa ninaposmea kwa sasa tumeshindwa vita haina maana kwamba tutashindwa daima au kwamba sasa ninakubali ufisadi utawale, hapana I am juts being realistic kwamba kwa sasa tumeshindwa vita na kama alivyoniambia yule mbunge kwamba ni mpaka bunge lijalo kama wabunge seriuous watapita wengi that should be our next goal yaani wapiganaji kujaribu kuwapitisha wabunge serious. Na tunaweza kwa kujaribu kuwasiadia as much as we can na misaada midogo midogo ya hapa na pale which is my next goal baada ya kupumzika na siasa za hapa forums.

- Ukitaka kuua nyoka anza na kichwa, lakini so far tumeshindwa kuanza na kichwa kwa sababu tuna rais asiyeeleweka msimamo, na kichwa ni yeye ndio maana tunakwama, lakini hatufi tamaa.

Thanxs na Respect!

Wazee wa sauti ya umeme - FMES!
 
Hahaaaa...LOL....Unanichekesha sana mpwa...Kwamba unaivizia nafasi kubwa kitaifa...Unataka kusikia kitaifa zaidi....LOL...Haya kila la kheri(kwi kwi kwi)...Ukatuwakilishe vema huko...Penye nia pana njia mazee
Ndio mkuu maslahi ya taifa kwanza......kuna watu wananihitaji sana......heshima mbele wanaJF
Ungewachunia kimyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa ungekuwa umewapatia zaidi!! Wallahi tena......Kadampinzani aliondoka kimya kimya, Mchambuzi alisema anaondoka na hakurudi tena! Saa nyingine FMES unawapa ammo hawa "adui" zako, ukisha-declare kitu basi hakuna kuangalia nyuma, vinginevyo unakuwa unakula maneno yako na ndio maana jamaaz wanaendelea kukuzodoa!!

Uchune....
tehe tehe tehe mwenzio anatafuta attention.....
 
Ndio mkuu maslahi ya taifa kwanza......kuna watu wananihitaji sana......heshima mbele wanaJF

tehe tehe tehe mwenzio anatafuta attention.....

- Huwezi kupigana vita bila ya kua na attention ya unaopigana nao na wale mlio upande mmoja ni kweli kabisa ndio maana ninatafuta attention kubwa zaidi ya hii ya JF, kwenye hilo mku wangu uko right 100%.

Na cha muhimu zaidi ni what I am yaani pilot wa my own destiny sio anybody else!

Respect!
 
- Huwezi kupigana vita bila ya kua na attention ya unaopigana nao na wale mlio upande mmoja ni kweli kabisa ndio maana ninatafuta attention kubwa zaidi ya hii ya JF, kwenye hilo mku wangu uko right 100%.

Respect!
Kwa hiyo bado umeshikilia msimamo wako kuwa unakaa pembeni ya JF au umeghairisha?
 
- Nitaendelea kujibu concerns za members wenzangu katika hii thread, in the end mimi ndiye pilot wa safari yangu.
Kwa hiyo sema kabisa bado upo JF.......kwenu wanasiasa lugha yenu ndio kama hiyo......pia kwa maneno yako ni kuwa hutachangia thread nyingine? nakusoma
 
- Mkuu Nyambala sina uhakika kama ninakuelewa unachosema, ninlichosema na ninachosema ni kwamba for now tumeshindwa hivi vita, haya maneno aliniambia kwa mara ya kwanza mbunge mmoja mpiganaji wakati wa ishu ya Masha na vitambulisho, na sasa ninaamini kwamba ndio ukweli wenyewe.

- Sasa katika vita kuna kushindwa na kushinda, na kutokata tamaa kwa sababu vita vingi duniani washindi walishindwa kwanza kabla ya kushinda nafikiri mifano iko mingi sana on that, lakini hata ukisoma history walipokuwa wanaelemewa walikuwa wanakubali na kujipanga upya.

- Mazingara ya siasa tuliyonayo Tanzania, vita hivi vinapiganiwa zaidi bungeni, sasa kule tayari mafisadi wamewa-recruit wabunge wengi sana hata usiowategmea, mpaka wa upinzani, sasa ukirudi huku kwetu uraiani sijui kama unajua kwamba hivi vita huwa vinaongozwa single handed na the mighty Mengi, ambaye naye anatakiwa kupigana bila kumuudhi rais, ambaye msimamo wake haueleweki,

- Sawa wananchi wasomi na wachache wenye kuelewa kinachoendelea tunaweza kuendelea kupiga kelele lakini kama ulivyoona kwenye vitambulisho our effect bila ya bunge ni ndogo sana, the minute bunge likikaaa pembeni na vita inakuwa almost dead, sasa ninaposmea kwa sasa tumeshindwa vita haina maana kwamba tutashindwa daima au kwamba sasa ninakubali ufisadi utawale, hapana I am juts being realistic kwamba kwa sasa tumeshindwa vita na kama alivyoniambia yule mbunge kwamba ni mpaka bunge lijalo kama wabunge seriuous watapita wengi that should be our next goal yaani wapiganaji kujaribu kuwapitisha wabunge serious. Na tunaweza kwa kujaribu kuwasiadia as much as we can na misaada midogo midogo ya hapa na pale which is my next goal baada ya kupumzika na siasa za hapa forums.

- Ukitaka kuua nyoka anza na kichwa, lakini so far tumeshindwa kuanza na kichwa kwa sababu tuna rais asiyeeleweka msimamo, na kichwa ni yeye ndio maana tunakwama, lakini hatufi tamaa.

Thanxs na Respect!

Wazee wa sauti ya umeme - FMES!


Mkuu FMES well I do concur na wewe kwamba kuna kila dalili kwamba tumeshindwa/ tunashindwa hii vita ya ufisadi na mimi nilianza kuliona hili mara tu kesi za EPA na kina Mramba zilipoanza. Any educated mind could see kwamba kuna uoga fulani in handling those cases na cha ajabu wananchi wameamini na wanaamini kwamba kuna commitment ya serikali kudeal na ufisadi.

Well back to my point:

Inaonekana wazi kwamba kuna kila uwezekano wa kuendelea na upuuzi huu wa kulea lea ufisadi. Mafisadi hawaogopi and for sure they don't care!! Why??? Nadahani ni kwa sababu they are some influence to the government or have the hoe influence. Sasa basi kwa sababu kichwa ni mkulu tumuondoe madarakani kidemokrasia kabisa in 2010. Swali sasa linakuja je tunaweza?? Mimi naamini inawezekana !

Je kuna namna nyingine ya kuanza na kichwa apart from the mentioned approach above?????? Hapo ndipo kwenye utata na probably ndio kwenye jibu.

Pls naomba nieleweke simaanishi anything evil!!!!!
 
JARIBU JUKWAA HILI HAPA CHINI ILA WANATUMIA MAJINA HALISI TU NA UJUMBE HUWA UNACHUJWA

Bidii Afrika Mashariki - East Africa | Google Groups

Shy hapa mbona unamtia majaribuni huyu FMES? maana tutamfahamu kwa jina yeye ni nani maana kuna watu wameweka posts zao hapa kwa majina bandia na wameweka same posts kwa majina halisi kwenye link hiyo uliyomuonyesha. Na hiyo imetufanya tuwafahamu ni wakina nani haswa! mimi nawashauri ni bora wajiunge hata hapa JF kwa majina yao halisi yale yale maana hakuna haja ya kujificha tena .
 
Jamani party ya kumuaga ndugu yeetu FMES vipi? au anaondoka hivi hivi tu?
Mi nashauri tumfanyie party katika hotel moja kubwa ya kifahari popote pale atakapopenda na tusisahau kwenda na zawadi zetu mikononi. MC napendekeza awe Yo Yo
 
fmes nakutakia kila la heri katika mapambano.

binafsi siamini kama mafisadi wameshinda kwani
bado mapambano yanaendelea isipokuwa inaonekana
mafisadi wana silaha kali zaidi na hawasiti kuzitumia.
hata hivyo ipo mifano ambapo washindi wamekuwa
na silaha hafifu ila kilichowasaidia ni commitment na
kutumia silaha "hafifu" walizonazo kwa umakini zaidi.

hivyo naamini mafisadi wataanguka na kuanguka kwao
kutakuwa kwa kasi sana. muhimu ni kutafuta njia bora zaidi
ya kutumia silaha "hafifu" zilizopo kwa kulenga sehemu ambazo
zitakuwa na madhara makubwa zaidi kwa mafisadi. sasa tukune
vichwa kuzitambua hizo sehemu zenye madhara makubwa kwa mafisadi.
 
..kamanda FMES ..kwa heshima na taadhima si kwamba nakuomba ..kama wengine wanavojaribu kubeza la!!!

ukweli ni kuwa usiwe kama MUSSA ambaye alikufa kabla ya kufikisha watu wake nchi ya ahadi!!!,,,...MIJADALA HAPA INAKUHITAJI NA INATUHITAJI WOTE KULIKO TUNAVODHANI....NAPENDEKEZA KUWA MTU AKISHAFIKIA PREMIUM MEMBERSHIP KAMA WEWE NA WENGINE ...TUONGEZEE NENO ,,...LIFE MEMBER!!!

of recent nimegundua kuwa quality ya michango inapungua humu ndani kwa kuwa members wazoefu hawaingii mara kwa mara....SASA JUKWAA LA SIASA LINAJAA CLIP ZA MAGAZETI...WAKATI MIAKA MIWILI ILIYOPITA MOST OF THREADS ZILKUWA VIRGIN ....NYINGI ZIKIFIKIA WANANCHI MAGAZETINI BAADA YA KUPITA HAPA....

JAMANI WOTE HUMU NDANI NASEMA WE ARE REVOLUTIONERIES ....AND REVOLUTIONERIES NEVER RETIRES..HE ALWAYS GOES WHERE WAR RAGE....AND NEVER RENEGAGE!!!

MWANAMAPINDUZI FIELD MARSHALL ES...LIFE MEMBER JF!!!!!
 
Nadhani jamaa alishasema kwamba anakaa pembeni baada ya kuisaidia jamiiforum kwa longtime sasa naona watu hawaelewi kabisa,au aongee kifaransa??Au mnachotaka muone haingii hapa jamiii???Yeye kasema yupo ila anajitoa kwenye mambo ya siasa sasa hapo hamjaelewa nini zaidi???ila pia kasema itakapombidi atafanya anachoweza sasa tatizo nini jamani???
 
fmes nakutakia kila la heri katika mapambano.

binafsi siamini kama mafisadi wameshinda kwani
bado mapambano yanaendelea isipokuwa inaonekana
mafisadi wana silaha kali zaidi na hawasiti kuzitumia.
hata hivyo ipo mifano ambapo washindi wamekuwa
na silaha hafifu ila kilichowasaidia ni commitment na
kutumia silaha "hafifu" walizonazo kwa umakini zaidi.

hivyo naamini mafisadi wataanguka na kuanguka kwao
kutakuwa kwa kasi sana. muhimu ni kutafuta njia bora zaidi
ya kutumia silaha "hafifu" zilizopo kwa kulenga sehemu ambazo
zitakuwa na madhara makubwa zaidi kwa mafisadi. sasa tukune
vichwa kuzitambua hizo sehemu zenye madhara makubwa kwa mafisadi.

- Respect!
 
..kamanda FMES ..kwa heshima na taadhima si kwamba nakuomba ..kama wengine wanavojaribu kubeza la!!!

ukweli ni kuwa usiwe kama MUSSA ambaye alikufa kabla ya kufikisha watu wake nchi ya ahadi!!!,,,...MIJADALA HAPA INAKUHITAJI NA INATUHITAJI WOTE KULIKO TUNAVODHANI....NAPENDEKEZA KUWA MTU AKISHAFIKIA PREMIUM MEMBERSHIP KAMA WEWE NA WENGINE ...TUONGEZEE NENO ,,...LIFE MEMBER!!!

of recent nimegundua kuwa quality ya michango inapungua humu ndani kwa kuwa members wazoefu hawaingii mara kwa mara....SASA JUKWAA LA SIASA LINAJAA CLIP ZA MAGAZETI...WAKATI MIAKA MIWILI ILIYOPITA MOST OF THREADS ZILKUWA VIRGIN ....NYINGI ZIKIFIKIA WANANCHI MAGAZETINI BAADA YA KUPITA HAPA....

JAMANI WOTE HUMU NDANI NASEMA WE ARE REVOLUTIONERIES ....AND REVOLUTIONERIES NEVER RETIRES..HE ALWAYS GOES WHERE WAR RAGE....AND NEVER RENEGAGE!!!

MWANAMAPINDUZI FIELD MARSHALL ES...LIFE MEMBER JF!!!!!


- Respect!
 
Nadhani jamaa alishasema kwamba anakaa pembeni baada ya kuisaidia jamiiforum kwa longtime sasa naona watu hawaelewi kabisa,au aongee kifaransa??Au mnachotaka muone haingii hapa jamiii???Yeye kasema yupo ila anajitoa kwenye mambo ya siasa sasa hapo hamjaelewa nini zaidi???ila pia kasema itakapombidi atafanya anachoweza sasa tatizo nini jamani???

- Ahsante kwa kunielewa kuliko wengine wengi na Respect! Naona hakuna la zaidi yakiwepo tutachungulia tena on the week end!


Wazee wa sauti ya umeme - FMES!
 
FMES,
Kure kwetu Tarime tuna usemi kuwa Mpiganaji haweki chini siraha yake. No retreat no surrender!
 
FMES,
Kure kwetu Tarime tuna usemi kuwa Mpiganaji haweki chini siraha yake. No retreat no surrender!

- Mkuu wangu Jasusi, heshima mbele sana, bado sijasahau zile nyama choma nilizopata nyumbani kwako kwako recently, mapambano yanaendelea tena sana ila kwenye another level sio hii ys forums tena, otherwise silaha bado zipo begani hatutakuja kuweka chini mpaka kieleweke,

Salimia familia na hasa mama watoto, mwambie zile nyama choma hazikuwa na mfano.

Respect Mkuu!
 
Back
Top Bottom