Serikali haitaki ikosolewe wanachotaka ni kusifiwa hata pasipostahili. Wanataka ku paralyze taasisi zote za kiraia kama walivyofanya kwenye taasisi za umma.
Hakuna chombo cha habari kilicho huru main stream zote zina censorship hadi kwenye mitandao ya kijamii, Tik Talk, IG, Facebook.
Wamenunua vyama mamuluki vyote vya siasa na kuua vyama makini ili wabaki wao, wajichague wao wajiapishe wao.
Wameingilia uhuru wa kuabudu hawataki kuona dhehebu linalohubiri haki wanataka kuya control madhehebu yote na viongozi wao. Tukatae.
Wameona hiyo haitoshi wameanza kungia kwenye taasisi za Elimu hawataki wanafunzi waelimike juu ya utawala bora wanawakamata wahadhiri wao.
Hii ni hatari, huu sio uongozi ni udikteta utawala wa kiimra wa kisultani unaotaka kuabudiwa.
Watanzania hatujazoea aina hii ya uongozi, tuukatae ingali mapema.
Hakuna chombo cha habari kilicho huru main stream zote zina censorship hadi kwenye mitandao ya kijamii, Tik Talk, IG, Facebook.
Wamenunua vyama mamuluki vyote vya siasa na kuua vyama makini ili wabaki wao, wajichague wao wajiapishe wao.
Wameingilia uhuru wa kuabudu hawataki kuona dhehebu linalohubiri haki wanataka kuya control madhehebu yote na viongozi wao. Tukatae.
Wameona hiyo haitoshi wameanza kungia kwenye taasisi za Elimu hawataki wanafunzi waelimike juu ya utawala bora wanawakamata wahadhiri wao.
Hii ni hatari, huu sio uongozi ni udikteta utawala wa kiimra wa kisultani unaotaka kuabudiwa.
Watanzania hatujazoea aina hii ya uongozi, tuukatae ingali mapema.