Kumbe HAWAJALIPWAA!!. View attachment 956888
Kwanini Hamtupi Pesa Zetu Za Korosho Au Mnatuona Wajinga?.
Mateso Yote Tuliyo Yapata Wakati Wa Kupalilia mikorosho Hamtuonei Huruma?. Wezenu Tunapata Tabu Watoto Njaa. Au Kama Imeshindikana Mutuambie Tuweke Ubani Tumshukuru Mungu Yaishe.
Bado nashangaa avatar yakiDuuuuuh labda membe atoe tafsiri yake maana sio wote wa kusin
. View attachment 956888
Kwanini Hamtupi Pesa Zetu Za Korosho Au Mnatuona Wajinga?.
Mateso Yote Tuliyo Yapata Wakati Wa Kupalilia mikorosho Hamtuonei Huruma?. Wezenu Tunapata Tabu Watoto Njaa. Au Kama Imeshindikana Mutuambie Tuweke Ubani Tumshukuru Mungu Yaishe.
. View attachment 956888
Kwanini Hamtupi Pesa Zetu Za Korosho Au Mnatuona Wajinga?.
Mateso Yote Tuliyo Yapata Wakati Wa Kupalilia mikorosho Hamtuonei Huruma?. Wezenu Tunapata Tabu Watoto Njaa. Au Kama Imeshindikana Mutuambie Tuweke Ubani Tumshukuru Mungu Yaishe.
Baba mwenye nyumba hapendi dharau, mambo ya kumnywesha mbuzi soda ilkua ni kama matusi kwake, hapa tunafundishwa hata kama ni pesa yako mwenyewe na umeipata kwa jasho lako bado unatakiwa uwe na nidhamu ktk matumizi.Duu....!
Baba mwenye nyumba hapendi dharau, mambo ya kumnywesha mbuzi soda ilkua ni kama matusi kwake, hapa tunafundishwa hata kama ni pesa yako mwenyewe na umeipata kwa jasho lako bado unatakiwa uwe na nidhamu ktk matumizi.
Nnahisi mwaka huu hapa nchini hatutakua na uhaba wa dawa ya kuondoa kutu.