Maghayo
JF-Expert Member
- Oct 5, 2014
- 13,742
- 29,140
Hawajawazuia wanaume kutoroka bali wanaume wa Ukraine wameamua wenyewe kwa hiari kubaki kuipigania nchi yao.Wengi wanawake! Hapo Hakuna kikubwa Cha ku gain. Hivi karibuni Ukraine imekuwa ikiwazuia wanaume kukimbia nchi yao, na kuwataka wabaki wapiganie nchi yao. Umeona imezuia wanawake? Hao Ni watu wakati wa amani, zaidi ya hapo no.