Wamarekani Wenye Asili ya Afrika waamua kurejea Nyumbani hasa hasa Tanzania

Wengi wanawake! Hapo Hakuna kikubwa Cha ku gain. Hivi karibuni Ukraine imekuwa ikiwazuia wanaume kukimbia nchi yao, na kuwataka wabaki wapiganie nchi yao. Umeona imezuia wanawake? Hao Ni watu wakati wa amani, zaidi ya hapo no.
Hawajawazuia wanaume kutoroka bali wanaume wa Ukraine wameamua wenyewe kwa hiari kubaki kuipigania nchi yao.
 
Hongera yao .... Ila kwa system yetu bongo , watakaa miez kadhaa wakianza kusaga rumba wenyew wananyanyua mabegi wanasepa. Namfaham mmoja alikua mshkaj wangu miaka ya 2006, ali survive km miaka 2 akaona bora arud zake state.
 
Ndio uwekezaji wenyewe huo mkuu.

Wamefungua saluni pale mbezi beach na kituo cha kulea watoto wadogo.

Tanzania inapaa kimataifa.
Wameshindwa kuwaibia wazungu kwao wameamua kuja kwa uku kupitia kulea watt wadogo sio
China watu wao walirudi na ujuz na kuanzisha viwanda
 
Wengi wanaokuja huku ni wale "choka mbaya". Maisha yamewapiga huko ndo wanakimbilia huku. Hawana msaada wowote kiuchumi.
Huo ni ubaguzi . Wangekuwa wazungu weupe - wala usingezungumzia kwamba ni " choka mbaya" . Watu weusi tutabadilika lini- tuwakaribishe vizuri kama wawekezaji alafu tuone wanaleta nini? Kule marekani kama wewe ni mtu mweusi na unajipenda- ni vigumu sana kufurahishwa na maisha ya manyayaso kwa sababu tu ya rangi yako.
 
Huo ni ubaguzi . Wangekuwa wazungu weupe - wala usingezungumzia kwamba ni " choka mbaya" . Watu weusi tutabadilika lini- tuwakaribishe vizuri kama wawekezaji alafu tuone wanaleta nini? Kule marekani kama wewe ni mtu mweusi na unajipenda- ni vigumu sana kufurahishwa na maisha ya manyayaso kwa sababu tu ya rangi yako.
Sio ubaguzi ndugu. Ninaandika kutokana na uzoefu. Nimeshakutana nao kadhaa. Wengi niliokutana nao hata kulipia ada ya visa ya kuingia Tanzania ni changamoto kwao. Hivyo huo ndio ukweli. Wengi, lakini sio wote ni maskini, hawana uwezo wa kuwekeza.
 
Huna uhakika na unachoandika,ingekuwa na uhakika nacho ungeandika uzi humu jamvini,utujuze kabla hata ya uzi huu kuandikwa,nachelea kusema umedandia treni kwa mbele.
Wengi wanaokuja huku ni wale "choka mbaya". Maisha yamewapiga huko ndo wanakimbilia huku. Hawana msaada wowote kiuchumi.
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom