raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 9,103
- 26,421
Rasta kama unavyomuona jamaa wa kwanza kushoto apoWamerudi na nini?
Rasta kama unavyomuona jamaa wa kwanza kushoto apoWamerudi na nini?
Ni wengi sana 6Wachache hao
Yaani hao ni viazi,wanakuja kuwekeza saloon za buku 2,vituo vya kulea watoto vipo toka nyerere kifupi hawana jipya..wangeleta maujuzi ya kisayansi,sanaa,biashara,michezo na teknolojia wangefungua vituo vya elimu ya vitu nilivyotaja mwanzo tungewapokea vizuri.Ndio uwekezaji wenyewe huo mkuu.
Wamefungua saluni pale mbezi beach na kituo cha kulea watoto wadogo.
Tanzania inapaa kimataifa.
Basi mkuu tuwasamehe maana wametupenda bure.Yaani hao ni viazi,wanakuja kuwekeza saloon za buku 2,vituo vya kulea watoto vipo toka nyerere kifupi hawana jipya..wangeleta maujuzi ya kisayansi,sanaa,biashara,michezo na teknolojia wangefungua vituo vya elimu ya vitu nilivyotaja mwanzo tungewapokea vizuri.
Ila mimi kwangu sio ngeni kaka niliiona kitamboOk ila ukifuata hiyo link hiyo habari imekua posted jana 5th March,2022.
Unlesss nayo hiyo jana ni miaka mingi.
Sawa,tuwapokee kimya kimya tuwaonyeshe mabonde ya kulima bamiaBasi mkuu tuwasamehe maana wametupenda bure.
Wengi wanawake! Hapo Hakuna kikubwa Cha ku gain. Hivi karibuni Ukraine imekuwa ikiwazuia wanaume kukimbia nchi yao, na kuwataka wabaki wapiganie nchi yao. Umeona imezuia wanawake? Hao Ni watu wakati wa amani, zaidi ya hapo no.
Hamna nasema ukwela,nimewahi kuiona hii habariSawa time traveller.
Maana uliiona news ya 5th March,2022 kabla yetu sisi.
Wanaishia kulia lia youtubeWengi huwa wanaondoka kutokana na mambo ya "Kiswahili". Huwa wanashindwa kusurvive.
Yees, tatizo lao kubwa na wao pia ni "waswahili sana sema hawajijui tuu, na wakija bongo hawataki kujichanganya na wenyeji asilia wanaishia Masaki, Mbezi Beach nk.Wanaishia kulia lia youtube