Nini maana ya kuokoka..??Soma vzr hiyo post uliyoniquote,na ww una karibishwa saa ya wokovu ni sasa baada ya kifo ni hukumu ndiko kutakuwako kilio na kusaga meno
Sawa kabisa....Kuokoka ni kumkiri Yesu kuwa ni Bwana na Mwokozi wako
Hivyo tuu.....Bado maelezo haya hayajibu swali....Unachookokea ni kitu gani hasa..??Baada ya tendo hilo unaacha kabisa mambo yote mabaya na unahesabiwa haki bure,
Hapa bado hujajibu swali la msingi...Unokokea kitu gani hasa..? Nikimtoa mtoto mdogo kwenye nyumba inayoungua, hakika huyo mtoto atakuwa ameokoka na moto...unazaliwa upya kwa jinsi ya roho na kuishi kwa kumtegemea Mungu kwa 100%.
sio kweli?Religion is mental illness
Lazima uwaone wa ovyo sana maana wakikuona umevaa kama avatar yako inavyoonesha, lazima wakupige msumari wa Neno la Mungu! Tatizo lenu hamtaki kuambiwa ukweli. Makanisani kwenu dhambi haikemewi kwa kumaanisha. Ni yale makanisa ambayo utasikia mhubiri anasema, "fuata ninachohubiri, usifuate matendo yangu". Sasa hapo hakuna unafiki?Walokole ni watu wa ovyo sana
Umeongea kweli kabisa, hakuna wanafiki Kama walokole, Mimi Siku hizi siongei nao.
Pole sana, lakini huo ndio ukweli! Kama hujaookoka wewe ni mataifa.Ambao hatujaokoka wanatuita wa mataifa!!
Umesahau na hizi sifa mbiliWachoyo
Wabinafsi
Wanajidai wakamilifu
Wambea
Wachonganishi
Wanyanyasaji
Waongo
Wazinzi katika mikesha yao
......,....
Kwakifupi walokole wanaroho kubwa kama engine za fuso
Tutajie kanisa/Dhehebu gani hawafanyi hayo uliyoyataja.....Kuokoka ni kumkiri Yesu kuwa ni Bwana na Mwokozi wako . Baada ya tendo hilo unaacha kabisa mambo yote mabaya na unahesabiwa haki bure, unazaliwa upya kwa jinsi ya roho na kuishi kwa kumtegemea Mungu kwa 100%.
hivi lutheran huwa kuna walokole, nawafahamu hawa wa katoliki wanaojitenga. mwaka sasa sijakanyaga kanisani kwangu lutheran ngoja nijipange chrismass niende.
Mi ndoa yangu imeshavunjika kwa sababu ya ulokoleNa ukiona mwanamke wako n mlokole mchunguze sana ndoa yenu muda wowote inawez vunjika
Umeokoka. ?Mwogope Mungu mtoa Uzi, Tunza ulimi wako dhidi ya Watu wa Mungu
Amen,na haitakuja itokee nuru na Giza vikakaa pamojaJiwe walilo likataa waashi limekuwa jiwe kuu la pembeni
Nilichogundua ni kwamba siku za mikesha ya vijana wakati wenzako wanagegedana wewe huwa wanakutosa ndio maana umekasirika.Nilikuwa nawakubali sana walokole lakini hawana maana kabisa Majungu wao,unafki wao,wanajiona watakatifu kuliko wenzao.
kama haujaokoka wanakuona kama takataka vile wanakutenga,kwenye mikesha ya vijana wanagegedana c mchezo.
NB: Matusi sitaki tafadhali