Walokole wengi nuksi sana

Walokole wengi nuksi sana

M kuna demu wa kilokole tulipendana sana..mwanzoni nilimdanganya kua na mimi n mlokole..penzi likakolea sana..siku moja aligundua kua mimi ni msela tu wa kitaa..alinipiga chini kisa sijaokoka ingawa nilikua na malengo nae sana..
 
Nini maana ya kuokoka,ni kumuamini Yesu na kutubu dhambi kwa kumaanisha kuziacha,kwa kama mtu anasema ameokoka na bado anatenda dhambi huyo hajaokoka isipokua anasali kwenye makanisa ya watu waliookoka haijaalishi na cheo gani kanisani.Watu waliomwamini Yesu na kuishi maisha matakatifu wapo na ndio maana Zaburi 16:3 inasema watakatifu walioko duniani Mungu anapendezwa nao,nakukaribisha kwa Yesu okoka acha dhambi kwani baada ya kifo ni hukumu,Ebrania 9:27.
 
Inategemea umekutana na walokole wa wapi! Walokole wengi wa makanisa ya Kipentekoste na Assemblies of God ndio wana nyodo sana. Wao hupenda kujiona ni bora kuliko watu wengine. Ila ukikutana na walokole wa Lutheran au Wakatoliki huwa ni watu poa sana...
Nimekuelewa sanaaaa
 
We naona stress za uzee na usingo mom zinakusumbua. Go Deal with your menopause, not me!
Your Glory days are long gone now.

Sent from my SM-G955F using JamiiForums mobile app
bd6508efd7eb9711c205aa9237ed66c5.jpg
 
M kuna demu wa kilokole tulipendana sana..mwanzoni nilimdanganya kua na mimi n mlokole..penzi likakolea sana..siku moja aligundua kua mimi ni msela tu wa kitaa..alinipiga chini kisa sijaokoka ingawa nilikua na malengo nae sana..
Alikupa papuchi
 
Inategemea umekutana na walokole wa wapi! Walokole wengi wa makanisa ya Kipentekoste na Assemblies of God ndio wana nyodo sana. Wao hupenda kujiona ni bora kuliko watu wengine. Ila ukikutana na walokole wa Lutheran au Wakatoliki huwa ni watu poa sana...
Kweli kabisa walokole wa kirutheri na wakatoliki hawan majivuno na hiyo ndo maan ya wokovu. Hakuna kujikweza bali unyenyekevu tu
 
Nini maana ya kuokoka,ni kumuamini Yesu na kutubu dhambi kwa kumaanisha kuziacha,kwa kama mtu anasema ameokoka na bado anatenda dhambi huyo hajaokoka isipokua anasali kwenye makanisa ya watu waliookoka haijaalishi na cheo gani kanisani.Watu waliomwamini Yesu na kuishi maisha matakatifu wapo na ndio maana Zaburi 16:3 inasema watakatifu walioko duniani Mungu anapendezwa nao,nakukaribisha kwa Yesu okoka acha dhambi kwani baada ya kifo ni hukumu,Ebrania 9:27.
Umenena vema sana mtu wa Mungu. Kusanyiko la Bwana limevamiwa na wanafiki wanaochafua taswira ya mwili wa Kristo!
 
Back
Top Bottom