Walokole wengi nuksi sana

Walokole wengi nuksi sana

Dini zote upumbavu tuu...totally nonsenses...sema hao wamezidi aisee
Yaani kama Dini zingekuwa kama Siasa kwamba mtu anajihusisha nazo baada ya kufika miaka 18, tusingezikuta.....zingeshajifia mapema maana hazina mantiki.....Lakini kwa kuwa watu wanamezeshwa na kutishwa nazo tangu wakiwa wadogo, ndio maana hadi leo zipo.
 
Nilipokuwa chuo kuna mlokole mmoja alinichelewesha Dili ya pesa ndefu eti alikuwa anakwenda kumuombea mgonjwa kwanza... Mtu amepimwa akakutwa ana malaria yeye anamuombea mtu Wakati yupo kwenye dozi. Niliapa sitafanya tena kazi na walokole. Mimi ni mkristo na ninamwamini Mungu! Yesu na Roho mtakatifu.
Sihitaji kuujua ukirsto kuliko Yesu.
 
Na wale waislamu wenye itikadi kali wanaochinja wenzao pia maboya sana!
Unachinja mtu kama Kuku halafu unasema umetumwa na Mungu?

Mungu gani anayetegemea watu kufanya uhalifu?

Watu ni wakatili ila walitengeneza Dini iwe kama mwamvuli/sababu yao ya funyia uhalifu kama wizi, utapeli, uuaji, utumwa, n.k.
 
Yaani kama Dini zingekuwa kama Siasa kwamba mtu anajihusisha nazo baada ya kufika miaka 18, tusingezikuta.....zingeshajifia mapema maana hazina mantiki.....Lakini kwa kuwa watu wanamezeshwa na kutishwa nazo tangu wakiwa wadogo, ndio maana hadi leo zipo.
Kweli mkuu. Watoto wanalishwa matango pori toka wakiwa wadogo...eti kuna maisha baada ya kufa ukiwaambia lete evidence...eti subiri yesu arudi mana alikufa miaka buku 2 iliyopita.
Ukija kwa ndugu zetu waislam nao vile vile...wamebase kwnye elimu akhera...wanaacha elimu dunia eti ni boko haram!
 
Kama wewe ulivyo m.p.u.m.b.a.v.u! Na kukashifu imani za watu
We taaira kweli...kwa iyo kusema upumbavu ni kashfa.? Basi alaaniwe mwalimu nyerere aliyesema watanzania asilimia kubwa ni wajinga maana ni bora upumbavu kuliko ujinga
 
Sijui walokole ni watu gani, Mimi binafsi najua kuna wa Kristo, ikimaanisha wafuasi wa Yesu Kristo, walioyapokea mafundisho yake na kuamua kuishi maisha ya kumpendeza Mungu kwa kulifuata neno lake. Biblia inasema, mtawatambua kwa matendo yao, hivyo basi, sio suala la kusema tu, maisha ya mfuasi wa Kristo yatadhihirisha katika matendo yake.

"...Msingi wa Mungu ulio imara...kila alitajae jina LA Bwana, na auache uovu..."
 
Kuwa mlokole tu sio tiketi ya kuuona ufalme wa mungu Bali ni wale wenye moyo SAFI
 
Inategemea umekutana na walokole wa wapi! Walokole wengi wa makanisa ya Kipentekoste na Assemblies of God ndio wana nyodo sana. Wao hupenda kujiona ni bora kuliko watu wengine. Ila ukikutana na walokole wa Lutheran au Wakatoliki huwa ni watu poa sana...
Ukiona mtu anasifiwa kuwa yuko poa ujue anang'ata na kupuliza
 
Back
Top Bottom