darcity
JF-Expert Member
- Jul 20, 2009
- 9,208
- 18,226
na ufala vilevile
Aisee sio vizuri wajamen!Yeah...tena hovyo hasa i,e wana roho ya mpinga kristo hasa.
na ufala vilevile
Aisee sio vizuri wajamen!Yeah...tena hovyo hasa i,e wana roho ya mpinga kristo hasa.
We taaira kweli...kwa iyo kusema upumbavu ni kashfa.? Basi alaaniwe mwalimu nyerere aliyesema watanzania asilimia kubwa ni wajinga maana ni bora upumbavu kuliko ujinga
Aisee sio vizuri wajamen!
Nilikuwa nawakubali sana walokole lakini hawana maana kabisa Majungu wao,unafki wao,wanajiona watakatifu kuliko wenzao.
kama haujaokoka wanakuona kama takataka vile wanakutenga,kwenye mikesha ya vijana wanagegedana c mchezo.
NB:Matusi sitaki tafadhali
Katika watu wenye roho mbaya ni warokole ,,halafu karibia 80%ya wachawi wote ni warokole
ukimuona mtu yeyote anajinadi ni mlokole..kuwa mbali naye..
Hivi hao walokole wanaposema wamekoka huwa wameokokea nini hasa..?Nilikuwa nawakubali sana walokole lakini hawana maana kabisa Majungu wao,unafki wao,wanajiona watakatifu kuliko wenzao.
kama haujaokoka wanakuona kama takataka vile wanakutenga,kwenye mikesha ya vijana wanagegedana c mchezo.
NB:Matusi sitaki tafadhali
Ni kweli tupu...Ulokole manayake ni mbili tu
1unafiki
2na usukule
Na wewe unaenda kufanya nini kwenye hiyo mikutano yao..?Mikutano yao ni kukosoa wenzao tu
Moshi Ukatoliki na Ulutheri umekolea....Na ndio tunaongoza kwa maendeleo...Dini fanatics wote kwa ujumla wao ni nuksi bila kujali dini/dhehebu gani.
Dini ilipokolea maendeleo ni sifuri.
Lutheran na RC hakuna waliookoka ila wanaigiza tuInategemea umekutana na walokole wa wapi! Walokole wengi wa makanisa ya Kipentekoste na Assemblies of God ndio wana nyodo sana. Wao hupenda kujiona ni bora kuliko watu wengine. Ila ukikutana na walokole wa Lutheran au Wakatoliki huwa ni watu poa sana...
Hawa ni tabu ingine ya dunia....Akili zao ni ndogo kama punje ya haradali..Walokole ni watu wa ovyo sana
Kuokoka ni kitu gani..?Lutheran na RC hakuna waliookoka ila wanaigiza tu
Na ni kwanini mchukiwe..?Mtakuwa ni watu wa kuchukiwa na ulimwengu kwakuwa ninyi si wa ulimwengu huu,mjapo kuwa wajinga kamwe hamtapotea katika njia hii
Kuokoka ni kumkiri Yesu kuwa ni Bwana na Mwokozi wako . Baada ya tendo hilo unaacha kabisa mambo yote mabaya na unahesabiwa haki bure, unazaliwa upya kwa jinsi ya roho na kuishi kwa kumtegemea Mungu kwa 100%.Kuokoka ni kitu gani..?
Waloloke, wakatoliki karismatiki, waislam sala 5 na wasabato ni watu wabaya sana. Zaidi ya unavofikiria. Ni wachoyo na wana roho na chuki za kichoyo. Nakuambia kutoka kwa experience.
Hawa watu wa dini dini ni watu wabaya sana.
Bora sisi tusio na dini lakini tunaishi ktk misingi ya "RIGHT na WRONG"
Waloloke, wakatoliki karismatiki, waislam sala 5 na wasabato ni watu wabaya sana. Zaidi ya unavofikiria. Ni wachoyo na wana roho na chuki za kichoyo. Nakuambia kutoka kwa experience.
Hawa watu wa dini dini ni watu wabaya sana.
Bora sisi tusio na dini lakini tunaishi ktk misingi ya "RIGHT na WRONG"
hahahahah... jamaa kajihami kabisa hataki matusi wala kuhokjiwakama matusi hautaki wakati umeleta masimango kumbe na wewe nuksi pia,
ila ukisikia mtu ni mlokole ujue kuna mengi mabaya ashayatenda kwahiyo anajaribu kurudi kwenye mstari ili aende sambamba na jamii inayomzunguka,ingawa kiufupi ni kwamba tabia ni kama ngozi,kama alikuwa malaya atendelea kimya kimya kwa kutumia jina la yesu,ujambazi,uwongo and the rest,wote huwa wamebadirisha tu mitindo kwa kujifunika joho la ulokole,ila ndani yao they remain to be true them,ndio maana wana kipengere cha ushuhuda...
Soma vzr hiyo post uliyoniquote,na ww una karibishwa saa ya wokovu ni sasa baada ya kifo ni hukumu ndiko kutakuwako kilio na kusaga menoNa ni kwanini mchukiwe..?