IGWE
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 9,715
- 8,119
Yeah...tena hovyo hasa i,e wana roho ya mpinga kristo hasa.Walokole ni watu wa ovyo sana
Yeah...tena hovyo hasa i,e wana roho ya mpinga kristo hasa.Walokole ni watu wa ovyo sana
Said it all.......Dini fanatics wote kwa ujumla wao ni nuksi bila kujali dini/dhehebu gani.
Dini ilipokolea maendeleo ni sifuri.
Lazma ni mlokole tu weweKwa mvao huo, bora walokole.
Sema dini zote kwa ujumla mkuu,...hakuna penye uafadhali.....Kote ni uongo na uharibifu wa asili ya watu.Waloloke, wakatoliki karismatiki, waislam sala 5 na wasabato ni watu wabaya sana. Zaidi ya unavofikiria. Ni wachoyo na wana roho na chuki za kichoyo. Nakuambia kutoka kwa experience.
Hawa watu wa dini dini ni watu wabaya sana.
Bora sisi tusio na dini lakini tunaishi ktk misingi ya "RIGHT na WRONG"
UKWELI ni kwamba hili suala hajalifikisha mahali HUSIKA. huku amekuja kusimanga. na kama anasoma post yangu, namshauri aachane na mambo ya watu. yeye mwenyewe anayo mengi ya kuacha na ya kufanya piaMtoa mada inaonyesha alikua mlokole baada ya kufukuzwa amekuja kuwateta huku...
Swali: uliwaona wanagegedana.. Au na ww ulikua unagegeda kanisan ndo maana wakakutimua ??
Kwann hukuwapelekea haya malalamiko kwa wachungaji wahusika ??
Acha unafiki rudi kanisan utubu utasamehewa
Nilikuwa nawakubali sana walokole lakini hawana maana kabisa Majungu wao,unafki wao,wanajiona watakatifu kuliko wenzao.
kama haujaokoka wanakuona kama takataka vile wanakutenga,kwenye mikesha ya vijana wanagegedana c mchezo.
NB:Matusi sitaki tafadhali
na ufala vilevileUlokole manayake ni mbili tu
1unafiki
2na usukule
haya yesu mwenyewe hawatambui anawashangaaWalokole ni watu wa ovyo sana
wewe mwenyewe kiroho umekufa kabisaEeeh! Tupo tumejaa tele... Karibu sana tukuinue kiroho...
Jamani jamani!!!!Walokole ni watu wa ovyo sana
Nilikuwa nawakubali sana walokole lakini hawana maana kabisa Majungu wao,unafki wao,wanajiona watakatifu kuliko wenzao.
kama haujaokoka wanakuona kama takataka vile wanakutenga,kwenye mikesha ya vijana wanagegedana c mchezo.
NB:Matusi sitaki tafadhali
Inategemea umekutana na walokole wa wapi! Walokole wengi wa makanisa ya Kipentekoste na Assemblies of God ndio wana nyodo sana. Wao hupenda kujiona ni bora kuliko watu wengine. Ila ukikutana na walokole wa Lutheran au Wakatoliki huwa ni watu poa sana...
Wengi wao wanakuwa walifanya maasi mengi kabla ya ulokole hivyo ile silika ya roho mbaya bado wanakuwa nayo.Yeah...tena hovyo hasa i,e wana roho ya mpinga kristo hasa.
Tena atakuwa yule anayenena kwa lugha na kuponya ukimwi,akshablajamatrahashikatishikashi ameeeeniiiLazma ni mlokole tu wewe

Walokole tunawaita watakatifu wa vibanzi*waovu wa boriti*aka wanafikiMikutano yao ni kukosoa wenzao tu
Dini zote upumbavu tuu...totally nonsenses...sema hao wamezidi aiseeSema dini zote kwa ujumla mkuu,...hakuna penye uafadhali.....Kote ni uongo na uharibifu wa asili ya watu.
Mikutano yao ni kukosoa wenzao tu