Walokole wengi nuksi sana

Walokole wengi nuksi sana

Huu upuuzi sana.

Kwanzia mleta mada na wachangiaji mnaonekana kuwa na matatizo makubwa sana yanayosababishwa na chuki iliyoshamiri katika mioyo yenu.

You all need to undergo pyschometric test if not spirutual deliverence.
 
Yawezekana kuna ukweli sijawahi kukutana na mlokole yupo sawasawa, kiakili, kitabia, kisaikolojia...... lazima dakika 3 mbele ama dakika 7 nyuma na ubishi juu yake..... Gwajima na watu wake utadhani wamelishwa dawa fulani
 
Kweli mkuu.
Kuna msikiti mmoja ni kero kwa jamii inayouzunguka mana saa 10 alfajiri wanapiga kelele kuwaamsha watu eti amkeni mkaswali..amka amka eti kitanda ulicholalia ni jeneza...shuka ndo sanda..
yani maspika yanapiga kelele.

Yani hizi dini ni utumbo na upumbavu mkubwa sana.

Cha msingi ni kuishi katika misingi kipu kizuri na kipi kibaya
Umewahi kuishi Moro ama Tanga?....maana ndiko nilikoshuhudia hayo mambo.
Kimsingi dini ni upotohaji wa uhalisia wa maisha ya watu.
 
bila shaka ulitengwa kanisan ndyo maana unakuja kutolea povu hapa
 
Walokole ni kiwanda gani. Kipo hapa Tanzania au ni cha kigeni
 
Nilikuwa nawakubali sana walokole lakini hawana maana kabisa Majungu wao,unafki wao,wanajiona watakatifu kuliko wenzao.
kama haujaokoka wanakuona kama takataka vile wanakutenga,kwenye mikesha ya vijana wanagegedana c mchezo.
NB:Matusi sitaki tafadhali
 
.."Mikesha ya vijana wanagegedana si mchezo" sema tu umri umekwisha kutupa mkono...THATZ WHY unawaonea wivu vijana wanavyo itumia FURSA...Katika harakati zozote, iwe ni za KISIASA, BURUDANI, ELIMU, MAJANGA n.k. Swala la jamii kuitumia nafasi (Hadhira) kujenga mahusiano ni swala la NATURE. Watu wagegedana uwanja wa VITA, Vyuo vikuu, Wapo wanaojenga mahusiano ndani ya BUNGE tukufu, ni kila kona. PENYE WENGI..PANA UPENDO...so waache walokole wajinafasi na walokole wao....NI MTAZAMO TU..
 
Mm nilikuwa nawagegeda mmoja mmoja huku akinena kwa lugha ....hahaa ulokolo raha sana ...wake za watu ndo usiseme yaan ukiona mkeo ni mlokole ujue lazima kwenye mkesha au maombi watu wamgegede...at mchungaj naye nilikuwa nampelekea kondoo wazur wa kugegeda
 
Huu upuuzi sana.

Kwanzia mleta mada na wachangiaji mnaonekana kuwa na matatizo makubwa sana yanayosababishwa na chuki iliyoshamiri katika mioyo yenu.

You all need to undergo pyschometric test if not spirutual deliverence.
Including you!
 
Dini na mafundisho yake havina tatizo shida IPO kwetu waumini.Waafrica wengi tunashika dini kama desturi bila kuyaacha mienendo na tabia zetu za asili mfano uvivu, choyo,chuki, ubinafsi,masengenyo nk.
 
Acheni chuki juu ya dini za watu wachache hawawezi kuwakilisha wengi bado mchango wao ni Mkubwa ktk jamii wangapi walikuwa waovu Leo wamebadilishwa na dini.Ukishindwa kuielewa dini acha wanayoielewa waendelee nayo
 
Nilikuwa nawakubali sana walokole lakini hawana maana kabisa Majungu wao,unafki wao,wanajiona watakatifu kuliko wenzao.
kama haujaokoka wanakuona kama takataka vile wanakutenga,kwenye mikesha ya vijana wanagegedana c mchezo.
NB:Matusi sitaki tafadhali
Kuna hoja za kipuuuzi na kuna hoja murua za kujadili......!
 
Tena walokole wauliwe kabisa, uwiiiiiiiieeee yeuwiiiiiiiii auwiiiiiiiiiii
 
Umasikini ni jambo baya sana, tatizo sio walokole wala nini, tatizo ni umasikini ndio unaotutesa. Ukifutilia kwa makini watu wenye kipato kizuri hawanaga time na mambo ya ajabuajabu(sijui unafiki, masimango, ulalamishi, na upuuzi puuzi wa kijingajinga) hawanaga. Ila sisi masikini tuna shida kweli kweli, kazi kufuatiliana kwa mambo hata yasiyotuhusu
 
Back
Top Bottom