Mkuu maneno yako yana ukweri ndan yake,,,big up xana umewaza xana mkuu.Nilikuwa nawakubali sana walokole lakini hawana maana kabisa Majungu wao,unafki wao,wanajiona watakatifu kuliko wenzao.
kama haujaokoka wanakuona kama takataka vile wanakutenga,kwenye mikesha ya vijana wanagegedana c mchezo.
NB:Matusi sitaki tafadhali
Ila ukimuona mke wako anahudhuria baa na disco ni poa siyo.Na ukiona mwanamke wako n mlokole mchunguze sana ndoa yenu muda wowote inawez vunjika
We taaira umevurugwa na stress za ndoa nenda kwa walokole wenzako wakakutoe pepo la kisirani. Mana asubuhi yote hii unaanza na kisirani.Kama wewe ulivyo m.p.u.m.b.a.v.u! Na kukashifu imani za watu
Boko haram wakati wanatumia kila kitu kilichotokana na hiyo haram wanayoipinga?Kweli mkuu. Watoto wanalishwa matango pori toka wakiwa wadogo...eti kuna maisha baada ya kufa ukiwaambia lete evidence...eti subiri yesu arudi mana alikufa miaka buku 2 iliyopita.
Ukija kwa ndugu zetu waislam nao vile vile...wamebase kwnye elimu akhera...wanaacha elimu dunia eti ni boko haram!
Halafu wao wanajiita mpendwa, mtumishi dahAmbao hatujaokoka wanatuita wa mataifa!!
Naked truthWaloloke, wakatoliki karismatiki, waislam sala 5 na wasabato ni watu wabaya sana. Zaidi ya unavofikiria. Ni wachoyo na wana roho na chuki za kichoyo. Nakuambia kutoka kwa experience.
Hawa watu wa dini dini ni watu wabaya sana.
Bora sisi tusio na dini lakini tunaishi ktk misingi ya "RIGHT na WRONG"
Ulikataliwa na mlokole ww. Inaonyesha ulimpenda sana sasa hv unamaliza hasira zako JF. Pole sana ndugu yangu o
naona roho mtakavitu kakufunulia hayoWAO NI WAYAHUDI ETI
Sio kibua,vibuaUmekula kibua asubuhi sio bure
Wangekabidhiwa mamlaka hao tungekoma
Jamanii, umetumia kigezo gani kunipima?wewe mwenyewe kiroho umekufa kabisa
Kweli mkuu.Boko haram wakati wanatumia kila kitu kilichotokana na hiyo haram wanayoipinga?
Moja kati ya sababu ya hizi dini kuwepo ni kwamba watu wanalishwa tangu wakiwa wadogo kabisa hata kabla ya kujua chochote.Kubwa zaidi wanazifundishwa kwa vitisho vya moto wa milele, hivi ukimtisha mtoto kwa moto ataacha kukufuata kweli?.....ndio maana watu wanakuwa huku wakiwa na hizo hofu za utotoni na kurithisha.
Yesu alipo ondoka aliwaahidi watu aliowaaga kuwa atarudi kabla hawajafa, lakini wale watu walikufa kabla ya Yesu kurudi.....Sasa atarudi lini?
Huo moto wa akhera kuna mtu mwenye ushahidi juu ya uwepo wake?
Dini siyo tatizo muamadi na yesu na musa wote walikuwa waadilifu kinyume na hawa majambazi ya sikuizi makanisani na misikitini wanakenda kumfanyia mungu dhihaka tuDini zote upumbavu tuu...totally nonsenses...sema hao wamezidi aisee