Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,259
- 20,914
Ungekuwa Mke wangu leo ningekulima Talaka Rejea maana kama unajifunza kutoka kwa lara 1 utakuwa ushakuwa Nunda
Mwache mwenzio ajifunze KWA RAHAAA! Mimi nafundisha ELIMU DUNIA!!!!!!! Hiyo ya madarasani na vitabuni namuachia The Boss. Akifuzu mafunzo yangu hatoshindwa KUSURVIVE POPOTE PALE!!!!!!!!! Haya ngoja niendelee kutengeneza NOTSI Ticha wa ukwee mwenyewe.
pengine nasi tulichelewa au hatukujua kusema kuwa umetubadili nasi.Its always a two way traffic.
SnowBall, Kwangu mimi ni wengi sana wamenisaidia, ila nasita kuwataja wachache ili nisiwakatishe tamaa wengine waliojikunja na kuchangia mada zangu mbali mbali za kuomba ushauri kwa moyo mmoja!
Wapo walionikera pia, LOL!