Walio ndoani wanaongoza kutoa mimba

Walio ndoani wanaongoza kutoa mimba

Ni dhambi moja mbaya sana, kipindi fulani tulitaka kuifanya namshukuru malaika aliyenitembelea saiv baby boy ndiye rafiki na mfariji wangu

Halafu wanawake tujue kuwa hawa wanaume unaposhiriki nae kwenye hii kitu ipo siku isiyo na jina atakutukania hilo tukio

Kama umedhamiria kuwa mama wa marehemu fanya iwe siri yako lkn kutaka na mumeo ajue kuwa ni baba wa marehemu ni kujiandalia masimango yatakayokuumiza mwenyewe

Kwenye hili ni mwanamke tu ndiye mwamuzi hivyo basi tunastahili kulaumiwa na kuubeba huu mzigo,,,, ukiitoa mimba hata km mumeo mmekubaliana lkn ujue mwenye mzigo wa dhambi ni wewe mwanamke
Mwanamke na mwanaume wote wanapata dhambi maana saa ingine wanashauriana
 
Mwenye mzigo mzito ni yule aliyeubeba (mwanamke)
Kama mpo kwenye ndoa, mzigo sio wa mwanamke peke yake, na mara nyingi lazima mshauriane kwanza kabla ya kufanya abortion, huwezi kumbebesha mwanamke kisa yeye ndio kabeba mimba.

Mistakes za namna hiyo zikifanywa na mdada single(ambaye hana mume) ndio huwa nasema ni kosa lake.
 
Kama mpo kwenye ndoa, mzigo sio wa mwanamke peke yake, na mara nyingi lazima mshauriane kwanza kabla ya kufanya abortion, huwezi kumbebesha mwanamke kisa yeye ndio kabeba mimba.

Mistakes za namna hiyo zikifanywa na mdada single(ambaye hana mume) ndio huwa nasema ni kosa lake.
Nimesema kwa mtazamo wangu, neno langu sio sheria mkuu

Nikitoa mimba kwa makubaliano na aliyenipa nastahili lawama zote kwenye hilo, tumeaminiwa sisi kutoa uhai sasa unaposhawishiwa na ukaitoa chozi la uliyemuua litatulilia sisi wanawake siku zote

Hapa sizungumzii wale wanaotoa kwa lazima labda afya ya mama kubeba ujauzito inahatarisha uhai wake na sababu nyingine mfanano na hiyo

Uwe na kichanga cha mwezi ukaidaka mimba na kuitoa hili ni zigo na hakuna wa kwenda kumtulia akakubebea

Wanawake tunahusika kwenye hili
 
Nimesema kwa mtazamo wangu, neno langu sio sheria mkuu

Nikitoa mimba kwa makubaliano na aliyenipa nastahili lawama zote kwenye hilo, tumeaminiwa sisi kutoa uhai sasa unaposhawishiwa na ukaitoa chozi la uliyemuua litatulilia sisi wanawake siku zote

Hapa sizungumzii wale wanaotoa kwa lazima labda afya ya mama kubeba ujauzito inahatarisha uhai wake na sababu nyingine mfanano na hiyo

Uwe na kichanga cha mwezi ukaidaka mimba na kuitoa hili ni zigo na hakuna wa kwenda kumtulia akakubebea

Wanawake tunahusika kwenye hili
Of course neno lako sio sheria, hata langu sio sheria. Tunabadilshana mawazo tu sista...
 
Mie situmii hayo macontraceptives kamwe,I love my body
Nina kababy boy kamoja 4 years now,then most of the time natumia condoms
Siku moja my man akanivizia akavua ndomu juu Kwa juu,nikaconcive
Kushtuka mimba ina 2 months nikasema it's ok nitazaa
Akaja na hoja tujadiliane tunafanyaje,nikasema noway that is my boy,and my body and mie ndio Nina last say kwenye body yangu.
Nikamwambia nazaa and will be my last born,ila toka siku hiyo nimemnyima game na nimemwambia tutasex nitakapo taka mie,ili niweze control idadi ya watoto otherwise atanigeuza incubator ilhal kampuni yangu yanisubiri.
Is that company au wewe ndio unataka mshahara? Your company doesnt love you, usijidanganye. Pata leo ulemavu wa kudumu utakaokufanya ushindwe kuifanya kazi hiyo kazi yako uone namna gani the company will replace you ASAP. Love your job. Don't love your company.
 
Mie situmii hayo macontraceptives kamwe,I love my body
Nina kababy boy kamoja 4 years now,then most of the time natumia condoms
Siku moja my man akanivizia akavua ndomu juu Kwa juu,nikaconcive
Kushtuka mimba ina 2 months nikasema it's ok nitazaa
Akaja na hoja tujadiliane tunafanyaje,nikasema noway that is my boy,and my body and mie ndio Nina last say kwenye body yangu.
Nikamwambia nazaa and will be my last born,ila toka siku hiyo nimemnyima game na nimemwambia tutasex nitakapo taka mie,ili niweze control idadi ya watoto otherwise atanigeuza incubator ilhal kampuni yangu yanisubiri.
Is that company au wewe ndio unataka mshahara? Your company doesnt love you, usijidanganye. Pata leo ulemavu wa kudumu utakaokufanya ushindwe kuifanya kazi hiyo kazi yako uone namna gani the company will replace you ASAP. Love your job. Don't love your company.
 
Duh!sijawahi kuona vidonge vinaekwa katika uchi
Pole ukiugua utakuja kwetu tunakuwekea kuna fungus huwa wanasumbua Sana wanawake kwa hiyo kinga yako ikishuka tuu kidogo wanalipuka unakuja kwa hospital tunakuingizia hivo vidonge ni vikubwa Kwel Kwel
Vinaitwa pessaries
Vipo vya Aina nyingi tuu
 
Siku moja niliskiza mawaidha ya Waislam kuhusu kujikinga na mimba. Shekhe akasema waislam wanaruhusiwa kumwaga nje. Na karuhusu Mtume (S.A.W). Watu wake mtume wakauliza, sasa mkuu huoni hiyo ni kama uuwaji. Akawajibu....huo sio uuwaji, kimsingi wewe huwezi kuzuia kitu alichopanga Mungu kizaliwe. Hapa ndio nikagundua kuna mimba huwa zinatolewa na zinagoma.
Ila hawaruhusiwi kutoa mimba iliyokwisha tungwa.

Kwa style hii, kama umetiana leo na mumeo na unahisi huenda ukatungisha mimba kuna vidonge ukimeza mimba haitungi....hii inafaa zaidi kuliko kutoa mimba iliyokwisha tungwa. Hayo ni maoni yangu.
 
Mkuu kuua ni kuua tu sio lazima kawe ka-embroy or zygote ndo ihesabiwe umeua. Kumwaga manii/shahawa chini au kwenye kondom nayo ni kuua pia. Kwenye hili dawa ni kusoma kalenda vizuri basi
Acha uongo bas mzee baba
Vip ukimwaga manii ndan halafu hakushika mimba yupo Siku safe Vp nako nikuuua???
 
Mie situmii hayo macontraceptives kamwe,I love my body
Nina kababy boy kamoja 4 years now,then most of the time natumia condoms
Siku moja my man akanivizia akavua ndomu juu Kwa juu,nikaconcive
Kushtuka mimba ina 2 months nikasema it's ok nitazaa
Akaja na hoja tujadiliane tunafanyaje,nikasema noway that is my boy,and my body and mie ndio Nina last say kwenye body yangu.
Nikamwambia nazaa and will be my last born,ila toka siku hiyo nimemnyima game na nimemwambia tutasex nitakapo taka mie,ili niweze control idadi ya watoto otherwise atanigeuza incubator ilhal kampuni yangu yanisubiri.
Hujawa mke wangu bado kabisa eti unaninyima gemu ..!!
Nitakuchapa matukio mpaka uone aibu mtaani
 
Hapa mnatulaumu wanaume bure, mtu mwenye maamuzi ya mwisho kujilinda ni mwanamke, tatizo wanawake kwa asilimia kubwa wanapenda uji wa moto unavyomiminika kwa bibi, sasa ukivaa utasikia mara fangasi, inanichubua, sijakojoa ilimradi iwe kero tu kwa mvaaji.

Matokeo yake mimba
Ni Kwel condoms zina facilitate grow of fungus especially Zile zenye mafuta ila hazisababish fungus au uti but zinawezesha hao wadudu kuzaliana kwa wingi
 
Veeeeeery true, kuna dada yeye hata mtoto hakuwa mdogo ila alipoconcive mumewe akamwambia atoe as hayupo tayari kupata mtoto mwingine kwa wakati huo as ana mambo mengi ya kufanya. Bibie akakomaa akagoma kutoa, mtafaruku ulikuwa mkubwa hadi binti akarudi kwao kwa muda. Ila alikomaa hadi akajifungua, baadae akarudi kwa mumewe.

Mimba zinachoropolewa sanaaa na walio ndoani i think kuliko hata ambao hawako ndoani.
 
Back
Top Bottom