Mie situmii hayo macontraceptives kamwe,I love my body
Nina kababy boy kamoja 4 years now,then most of the time natumia condoms
Siku moja my man akanivizia akavua ndomu juu Kwa juu,nikaconcive
Kushtuka mimba ina 2 months nikasema it's ok nitazaa
Akaja na hoja tujadiliane tunafanyaje,nikasema noway that is my boy,and my body and mie ndio Nina last say kwenye body yangu.
Nikamwambia nazaa and will be my last born,ila toka siku hiyo nimemnyima game na nimemwambia tutasex nitakapo taka mie,ili niweze control idadi ya watoto otherwise atanigeuza incubator ilhal kampuni yangu yanisubiri.